Kiukwel Tz unplanned housing ni tatizo kubwa ni bora kuwa na slums za mabati au maboksi kama kule kibera kuliko kuwa na nyumba bora lakin ziko unplanned, sababu slums kama za India,Kenya na southafrica au kule Namibia, zimejitenga na city au towns hivo miji inavutia kiasi flani lakini Tz is to much unplanned housing is all over tha city , NB Mimi ni mtz halisi with a huge travel experience, pia open minded ,sijaponda Tz am stand on truth right??;'