'Tanzanian women footballers look like men and unsuitable for marriage', says Samia Suluhu.

Kkkkkk! Ina maana wote wanafanana kama wapinga ndondi na baadhi ya wanawake wa kikurya?
 
Kiswahili jamani duuuuu...... SSH akumanisha hayo mnasema. Maisha baada ya mpira yatakuaje? Na naumbile yao. Je? Wanaume watawapenda kwenye ndoa? Basi serekali au viongozi waangalie Maisha ya wachezaji hao wakati wa kustaafu kucheza. Hasa kwa wale TomBoy's
 
SSH ni mwanamke, hawezi kuengea kwa niaba ya wanaume kwamba eti hawataolewa kwasababu ya maumbile au kukaa kama tomboy... Mimi binafsi nishawahi kuona wanaume sura mbaya wanakaa vibaya wanafwata demu mrembo! Nikifikiri hakuna vile watakubalika, baada ya mda Unaona jamaa anaondoka na demu, wiki moja baadae jambaa bado wako pamoja.... Mwishowe nikakubali kwamba vile mwanamme anavyoona wanaume wenzao ni tofauti na vile wanawake hutuona sisi... Kila mtu ana type yake... Kwahivyo SSH anavyowaona hao wanawake sio vile Kila mwanamme anavyowaona... Utakuta Kuna wanaume kibao ambao wameangukia hao wachezaji na wakipewa nafasi ya kuoa watashukuru Mungu kwa kuishi nyumba moja na kiumbe kilichoumbwa kikaumbika!
 
Wanaounga mkono wanaitwa MATAGA Kama Hamza
 
CCM leadership is a disgrace.See what happened two days ago near French embassy.The guy Mr Hamza is CCM popular cadre,a comrade therefore as they refer to themselves.Ask yourself what was the issue between him and police officers? They all share common interest ,CCM youth wing and the Tan - police.
 
Daaa..... binadamu. SSH ni bibi, anaweza akawa kungwi. Anajua, wavulana na wasichana.
 

Hivi Kenya kwani kuna wanawake wenye sifa zozote za urembo? Let's be honest, hakuna wanawake Kenya warembo hata kidogo. Wanawake wenu wagumu, weusi kuliko wauza mkaa. Kwa suala la wanawake, Kenya mfunge midomo yenu.



Kenyan genetically hamuwezi kuwa na warembo milele, huyu ndio mrembo namba one Kenya, imagine..!! βŒβŒβŒπŸ”΄
 
Mkuu shida ni pale yeye mwenyewe amejazia mbele tu halafu nyuma ni samsung smart
 
Ila kenya kuna wanawake wabaya kichizi sio poa yaani ipo kifente fente mitandamu ya hovyo na wakijua we ni mtz unawala kinoma yani wanajirahisisha hao dadekii sio poa yani
 
Hajakosea!
Mpira wa miguu ni kwa ajili ya Wanaume!
Binafsi nachukia wanawake kucheza Mpira wa miguu.
 
Mabondia kwa wingi. Wanawake wanamaguvu kama vifaru. Kwa mfano huyu hapa juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…