Ni mafuriko ya kiwango cha kati tu. You can find that situation in Ghana, Uganda, Gabon, Sudan, Haiti, Tahiti, Ecuador and co.
Anatakiwa kujuwa kuna mambo sio ya ajabu. Kijiografia huwezi kukwepa hayo mafuriko kwa sasa maana hawakupanga mapema mfumo vizuri wa maji na barabara au makazi.Huyu jamaa alianzisha uzi wa barabara akapigwa miti ya kutosha ikabidi afungue huu uzi now
Anatakiwa kujuwa kuna mambo sio ya ajabu. Kijiografia huwezi kukwepa hayo mafuriko kwa sasa maana hawakupanga mapema mfumo vizuri wa maji na barabara au makazi.
stil imetupa salamu kwanzaNgoja mvua yenu iliyokwama Tz ianze rasmi
Unacheka maafa yetu sio, tukicheka ya kwenu msilalamikePoleni sana lamina lazima tucheke kidogo juu tunajuana mtatucheka pia.View attachment 1096868View attachment 1096869View attachment 1096870
π π π Hahaa! Nimeshindwa kujizuia aisee... We Teargass hizi picha unazifukunyua wapi?...Hehehe mvua imesaidia slayqueens wa Dar wakapata swimming pool. View attachment 1096974
Hahhaha,hii sio bongo aiseeHehehe mvua imesaidia slayqueens wa Dar wakapata swimming pool. View attachment 1096974