Tanzanians have a longer life expectancy than Kenyans and Nigerians!

nyie mko wapi...mpumbavu mkubwa wee...nchi kavu imeendelea kuliko nchi yenye Diamond mineral, na mvua tele...wavivu kupindukia
Nchi ipi imeendelea?
Nchi ipi kame? Mbona mnatenga mabilioni ya kilimo cha Mirungi? Hiyo mirungi mnalima kwenye Makalio ?
Israel is 100% desert lakini wamewapa msaada hapo Galana.
Kwa nini Wakenya hamshirikishi ubongo kukomenti?
 
Life expectance ndo kipimo sahihi cha maisha ya binadamu na maendeleo!
Kenya ubepari umewakaba koo hawapumui, wanaishi na mikopo mikubwa wanashida acheni tu wafe mapema.
Tanzania sisi tuna natural economy tunaishi bila presha, acheni tuwe na maisha marefu!
Kenya wanajenga magorofa marefu kwa mikopo
Tanzania tunajenga kwa pesa zetu
 
Hivi wakenya kwanini hampendi Tanzania iwazidi? Yaani mko tayar Rwanda iwe juu yenu kuliko Tanzania. Mna chuki binafsi
Hatutaki kushindwa na nchi zilizo nyuma yetu iwe Rwanda wala nini. Mshindani siku zote lazima uwaze washindani walio mbele yako. Japo pia Tanzania iko nyuma yetu kwa ajili ya uvivu tu, sioni sababu nyingine yoyote
 
Hata HDI mmezidiwa na Congo na Zambia na Bangladesh.. Hehehe. Kenya is Just as poor as Tz. Tena bora sisi tupo na standards.. The gap btn poor and rich is small and is narrowing day to day.
Alafu wanajikuta eti wameendelea.....si maajabu hayo?!!
Kenya largest this Kenya most that....aibuu tupu!
 
Hatutaki kushindwa na nchi zilizo nyuma yetu iwe Rwanda wala nini. Mshindani siku zote lazima uwaze washindani walio mbele yako. Japo pia Tanzania iko nyuma yetu kwa ajili ya uvivu tu, sioni sababu nyingine yoyote
Sababu ziko nyingi wewe tu umechagua kutoziona.
Nchi uchumi ulikufa kabisa baada ya the failed experiment that was socialism na bado tumecatch up.
Na kwa taarifa yako nchi yenye rasilimali nyingi ni ngumu kuendelea hata kuliko nchi isiyokuwa na kitu. Stop thinking mechanically for once. Hii sio 1+1.
 

Waapi kila siku vijisababu uchwara mara ujamaa mara uongozi mara Kagera mara hiki mara kile. Hamna njia ya mkato, chapa kazi wacha kubweteka, mna kila sababu ya kutoka kwenye hiyo aibu ya LDC.
Tatizo ushirikina na uvivu tu.
 
Waapi kila siku vijisababu uchwara mara ujamaa mara uongozi mara Kagera mara hiki mara kile. Hamna njia ya mkato, chapa kazi wacha kubweteka, mna kila sababu ya kutoka kwenye hiyo aibu ya LDC.
Tatizo ushirikina na uvivu tu.
Eti uvivu. Nitaleta hapa takwimu za productivity ya the average Tanzanian worker vs the Kenyan one.
Hamna kitu kama uvivu. Especially eti mkenya anamwita mbongo mvivu. Nyie mna nini mlichofanya na huo uchapakazi wenu? Absolutely nothing. na ndio maana mnashika mkia kwenye middle HDI na middle income. Yaani kukitokea shocks kidogo tu mnarudi where you belong: LDCs.
Ombeni MUNGU uchaguzi wenu uwe wa amani otherwise LDC itawahusu.
 
wadau,, naomba msaada kumpata Daktari mmoja kutoka Pemba
 

Halafu siku fulani niliona mnamlaumu Mjerumani, hamuishi vijisababu. Miaka zaidi ya 50 mumejaa vijisababu.
 
Nikisomaga comments kama hizi ndio nathibitisha uwezo wenu mdogo wa kudadavua mambo. Ndio maana mnatembea na mbolea kwenye makalio yenu na Magovi.
Wewe unafikiri hii amani ilikuja naturally? Hayo pia ni mafanikio. Nyie wakenya ni Vila.za sana,
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hatutaki kushindwa na nchi zilizo nyuma yetu iwe Rwanda wala nini. Mshindani siku zote lazima uwaze washindani walio mbele yako. Japo pia Tanzania iko nyuma yetu kwa ajili ya uvivu tu, sioni sababu nyingine yoyote

Waapi kila siku vijisababu uchwara mara ujamaa mara uongozi mara Kagera mara hiki mara kile. Hamna njia ya mkato, chapa kazi wacha kubweteka, mna kila sababu ya kutoka kwenye hiyo aibu ya LDC.
Tatizo ushirikina na uvivu tu.

Halafu siku fulani niliona mnamlaumu Mjerumani, hamuishi vijisababu. Miaka zaidi ya 50 mumejaa vijisababu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mnajipa moyo, subirini mtaisoma2
 
nyie mko wapi...mpumbavu mkubwa wee...nchi kavu imeendelea kuliko nchi yenye Diamond mineral, na mvua tele...wavivu kupindukia
Punguza povu, na mwaka huu nina wasiwasi mtanyukana tu maana mnajifanyaga kujua jua.
 
ndio inachangiwa na mabo hayo sijakataa ila hamna la kushabikia hapo...jipeni sifa wakati mnajenga reli...hilo ni jambo la msingi...sio kutuletea upuuzi huu apa...
Hivi reli yenu ikoje kweli!!!! Aah nimekosea kweli nauriza zile train ni za karne gani kweli! Je zinaendana na technology ya sasa.
 
Kweli waliofanya hii research hawakukosea
 
Mnajipa moyo, subirini mtaisoma2

Waliimba babu zenu kuhusu kutusomesha namba, huo wimbo wamewapokeza nyie vitukuu na bado tutawalisha vumbi miaka yote.
Mlituambia mwaka wa kwanza wa Magu mtakua mumetuputa, leo hii mnaisoma namba wenyewe.
 
Waliimba babu zenu kuhusu kutusomesha namba, huo wimbo wamewapokeza nyie vitukuu na bado tutawalisha vumbi miaka yote.
Mlituambia mwaka wa kwanza wa Magu mtakua mumetuputa, leo hii mnaisoma namba wenyewe.
unaruhusiwa kuendelea kujipa faraja.
[emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…