Tanzanians Show us your Estates

Tanzanians Show us your Estates

Kaka ya kweli hayo
Kenya is one of the most unequal countries in the sub-region. Forty two percent of its population of 44 million, live below the poverty line. ... Large segments of the population, including the burgeoning urban poor, are highly vulnerable to climatic, economic and social shocks.
 
Kaka ya kweli hayo
Kenyan wana vituko sana walitakiwa wawaze mambo ya kiuchumi wanaleta mapicha ya estate ambayo katika maisha yao yote mpaka wanazikwa hawatokaa waweze kujenga wala kuishi hapo
 
Hii pic haionekan vema then ya mwaka gan na ni wap.maana hatuna slums km hzo tz kwa sasa
Dar yote tunajua ni slum
tapatalk_1559499006252.jpeg
 
Then huyo chokoraa hajui km huku kigamboni viwanja vinauzwa bei ya pipi tena vikuuuubwa anataka kulinganisha sisi na wao wanaofurahia utajir wa wachache
unauziwa au unakodishiwa..baada ya miaka kadhaa unatakiwa uka renew.....bwahahaaa
 
unauziwa au unakodishiwa..baada ya miaka kadhaa unatakiwa uka renew.....bwahahaaa
Wewe ndo hujui kitu kabisa ungetulia tu, eti kukodishiwa au unacomment tu ili uonekane unacomment utumbo
 
Back
Top Bottom