Tanzanians Show us your Estates

Kaka ya kweli hayo
 
Kaka ya kweli hayo
Kenyan wana vituko sana walitakiwa wawaze mambo ya kiuchumi wanaleta mapicha ya estate ambayo katika maisha yao yote mpaka wanazikwa hawatokaa waweze kujenga wala kuishi hapo
 
Then huyo chokoraa hajui km huku kigamboni viwanja vinauzwa bei ya pipi tena vikuuuubwa anataka kulinganisha sisi na wao wanaofurahia utajir wa wachache
unauziwa au unakodishiwa..baada ya miaka kadhaa unatakiwa uka renew.....bwahahaaa
 
unauziwa au unakodishiwa..baada ya miaka kadhaa unatakiwa uka renew.....bwahahaaa
Tz na kenya wapi wananchi wanamilik ardhi kwa wing km sio tz unaongea nn ww mla sukuma week
 
unauziwa au unakodishiwa..baada ya miaka kadhaa unatakiwa uka renew.....bwahahaaa
Wewe ndo hujui kitu kabisa ungetulia tu, eti kukodishiwa au unacomment tu ili uonekane unacomment utumbo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…