Arnold mrass cannambo
JF-Expert Member
- Apr 13, 2018
- 4,067
- 2,640
With true African architecture.Took this with my phone. Show us where you guys live. View attachment 1109156View attachment 1109157View attachment 1109158View attachment 1109159View attachment 1109160View attachment 1109161
Yaani wewe jamaa bule kabisa, zile nyumba mlijengewa na Uhuru pale kibera mlikodisha na nyia mkaamia huko kweusi . Sasa unapita huko Runda na kupiga picha estate za watu unatuma humu.Took this with my phone. Show us where you guys live. View attachment 1109156View attachment 1109157View attachment 1109158View attachment 1109159View attachment 1109160View attachment 1109161
Mkuu umesema kweli. Tuchape kazi hawa nyang'auz tuachane naoWatanzania tufanyeni kazi, maswala ya kuingia google na fb kutafuta nyumba nzuri ili tuwaonyeshe awa wakenya na sisi tupo vizuri ni ujinga....
Tufanye kazi tukawasaidie wakenya wanaokufa na njaa, sisi nchi yetu imebarikiwa na hilo tunalijuwa na hakuna haja ya kuwaonyesha wakenya kama tupo vizuri... Waacheni watapetape
Mlishinda lini?Acha masiharaKenya won the roads battle by a huge Margin.. Tanzanians please redeem yourselves with this although it's quite tricky.
Hzi ndio nyumba bora kabisa kwa standard zenu?Took this with my phone. Show us where you guys live. View attachment 1109156View attachment 1109157View attachment 1109158View attachment 1109159View attachment 1109160View attachment 1109161
Those are just ordinary apartments which you selected them and took pictures, yaani Kenya mmechoka tu wala hamna jipya, Sijawahi kuona watu wenye majivuno kama Wakenya, hebu piga picha kibera slums uweke hapa kisha ndo tuongee yaani umepiga picha some areas tu kisha unajivuna nini sasa Kama siyo ushamba?Took this with my phone. Show us where you guys live. View attachment 1109156View attachment 1109157View attachment 1109158View attachment 1109159View attachment 1109160View attachment 1109161
Anza na slum za kibera,korogocho,na kwingineko kwanzaHiyo sasa ni sauti ya Mdanganyika wakati amefinywa kabisa.Tulishazoea hiyo.Mtuonyeshe Tandale na Mwananyamala kwa Kopa
show us what u got man sitaki maneno nataka mapichaThose are just ordinary apartments which you selected them and took pictures, yaani Kenya mmechoka tu wala hamna jipya, Sijawahi kuona watu wenye majivuno kama Wakenya, hebu piga picha kibera slums uweke hapa kisha ndo tuongee yaani umepiga picha some areas tu kisha unajivuna nini sasa Kama siyo ushamba?
nionyeshe yenu hii niya middle class NairobianHzi ndio nyumba bora kabisa kwa standard zenu?
nani kakwambia hapo ni Runda?Yaani wewe jamaa bule kabisa, zile nyumba mlijengewa na Uhuru pale kibera mlikodisha na nyia mkaamia huko kweusi . Sasa unapita huko Runda na kupiga picha estate za watu unatuma humu.
Hivi Wakenya hamuwezi kufanya chocgote bila kufanya comparisona na Tanzania?
Phenom Park Karen
Wizi ata Dar iko wacha kuongea kama mjingaUko proud na gated community? Kwa nini gated? Wanakuogopa wewe nini utawaibia?
Low IQ!