Tanzanians Show us your Estates

Tanzanians Show us your Estates

Watanzania tufanyeni kazi, maswala ya kuingia google na fb kutafuta nyumba nzuri ili tuwaonyeshe awa wakenya na sisi tupo vizuri ni ujinga....


Tufanye kazi tukawasaidie wakenya wanaokufa na njaa, sisi nchi yetu imebarikiwa na hilo tunalijuwa na hakuna haja ya kuwaonyesha wakenya kama tupo vizuri... Waacheni watapetape
Mkuu umesema kweli. Tuchape kazi hawa nyang'auz tuachane nao
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Those are just ordinary apartments which you selected them and took pictures, yaani Kenya mmechoka tu wala hamna jipya, Sijawahi kuona watu wenye majivuno kama Wakenya, hebu piga picha kibera slums uweke hapa kisha ndo tuongee yaani umepiga picha some areas tu kisha unajivuna nini sasa Kama siyo ushamba?
 
Those are just ordinary apartments which you selected them and took pictures, yaani Kenya mmechoka tu wala hamna jipya, Sijawahi kuona watu wenye majivuno kama Wakenya, hebu piga picha kibera slums uweke hapa kisha ndo tuongee yaani umepiga picha some areas tu kisha unajivuna nini sasa Kama siyo ushamba?
show us what u got man sitaki maneno nataka mapicha
 
Yaani wewe jamaa bule kabisa, zile nyumba mlijengewa na Uhuru pale kibera mlikodisha na nyia mkaamia huko kweusi . Sasa unapita huko Runda na kupiga picha estate za watu unatuma humu.
nani kakwambia hapo ni Runda?
 
Ridgeways Windsor
1110758
 
Back
Top Bottom