Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 18,216
- 12,774
these danganyikans will think this is somewhere I the heart of Runda. wanasau this is a normal estate in Embakasi in the heart of eastlands
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
these danganyikans will think this is somewhere I the heart of Runda. wanasau this is a normal estate in Embakasi in the heart of eastlands
Oyster Bay ni jina ya kinyamwezi?Na majina hadi ya kibeberu
Hahah
Ukiona mtu anasifia snaaa vzur ujue yeye hana.siku zote mwenye nacho hajisifu.nahisi ww unakaa kibera slums ndio maana limbukeni hv.Took this with my phone. Show us where you guys live. View attachment 1109156View attachment 1109157View attachment 1109158View attachment 1109159View attachment 1109160View attachment 1109161
Ndio maan kenya inabakia na sifa za zaman kwa kulewa sifa kijinga.Watanzania tufanyeni kazi, maswala ya kuingia google na fb kutafuta nyumba nzuri ili tuwaonyeshe awa wakenya na sisi tupo vizuri ni ujinga....
Tufanye kazi tukawasaidie wakenya wanaokufa na njaa, sisi nchi yetu imebarikiwa na hilo tunalijuwa na hakuna haja ya kuwaonyesha wakenya kama tupo vizuri... Waacheni watapetape
Tandale sio kubaya km kibera.Hiyo sasa ni sauti ya Mdanganyika wakati amefinywa kabisa.Tulishazoea hiyo.Mtuonyeshe Tandale na Mwananyamala kwa Kopa
Ukweli unaumaa frustrated poor Danganyikan talking
Nadhani mlisema estates ni mfumo wa kibepari ilyowachiwa wakenya Na wazungu na kwamba mfumo Kama huo wa ubepari Haipo Tanzania. Iweje tena mko na estates nyingi sana kama vile ulivyotaja hapo juu? Kweli siku ya nyani kufa kila mti hutelezaMnawauzia waarabu dhahabu feki mnakwapusa pesa za serikali na ufisadi wenu
Mnajenga wkt sio fedha zenu. Sisi estates zipo nyingi kuanzia masaki oysterbay msasani mikocheni nk hatuna muda wa kuwaonyesha kujeni TanzAnia mjionee na mlipe fedha za kutalii
Mubadilishe TZ itoke LDC Kwanzaa,hapo mtakuwa mmefanya jambo la busaraNdio maan kenya inabakia na sifa za zaman kwa kulewa sifa kijinga.
Tz tuendeleen kuibadilisha tz yetu tuwaache hao wala sukuma week wabaki na ujinga wao
Kazi tunafanya kila siku kuijenga nchi yetu wala usiwe na hofu kuhusu hilo hata siku moja ndo maana tuko na uchumi mkubwa kuwaliko. Mngekuwa wachapakazi kutuliko, hatungekuwa mbele yenu kiuchumi na kimaendeleo, na Nairobi haingekuwa ndio mjii muhimu zaidi ukanda huu kuliko zote. Ugua poleWakenya mbona mna akili za kitoto sana
Mlianza barabara
Mmekuja na nyumba
Kesho mtakuja na wake za WaTz na Wakenya
Shida ni nini?
Mmeumia South Africa Zimbabwe Namibia watafundishwa Kiswahili na WaTz
Wapi shida?
Hebu fanyeni kazi mlijenge Taifa lenu
Hizi ni stori za vijiweni kupoteza muda
Kuweni serious kha mnaboa mjue!
[emoji75] [emoji75]Oyster Bay ni jina ya kinyamwezi?
Hizi wanakaa junior policemen pale Keko.....View attachment 1114640View attachment 1114643View attachment 1114654
Greenspan Estate in Donholm, Eastlands
Hizi zimekaa geza ulole hata walimu hawazitakiMadhara ya GDP ya kupika. Mapishi kila mahali mtaua wenzenu kwa pressure bure.View attachment 1112298
![]()
Housing and Property Market in a free fall. - Nairobi Business Monthly
A few days ago, the Kenya Bankers Association, released the latest House Price Index (HPI) of the 1st Q of 2019. This report marks clearly the declining trend that the housing market has been experiencing over the last two years in the most incontrovertible and uncontested way, a negative growth...www.nairobibusinessmonthly.com
Hizi wanakaa junior policemen pale Keko.....
Hizi zimekaa geza ulole hata walimu hawazitaki