Tanzanians, show us your roads

Kijana acha domo na uangalie picha.
Hahahahaha, eti hiyo ndio mnaita interchange, sasa ninaelewa tupo katika level tofauti, kama mlivyochora barabara na mkaziita BRT, Hahahahaha
 
You must be sick in the head table down real facts from a credible source to ascertain your claims .
kenyas paved road network coverage is almost twice that of Tanzania despite Tanzania having a huge landmass.

Still hallucinating over 20 years old fantasies [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Ndo zao wakishikwa pabaya wanaanza kutukana [emoji23][emoji23][emoji23]mm wananifurashaga bhana wanazanigi hizo chuki zao zinaeza vuka border, Tanzania ni kubwa na ina barabara kila mkoa, nchi yao sasa[emoji23][emoji23][emoji23]achana na hizi vipande vipande wanavyotuma tembelea kwao
 
Hahahahaha, eti hiyo ndio mnaita interchange, sasa ninaelewa tupo katika level tofauti, kama mlivyochora barabara na mkaziita BRT, Hahahahaha
Siku bongolala ikijenga barabara na interchange uniquote
 
Which this video na uache Julia. In 2013 when Uhuru came to power Kenya had 14,000km of tarmacked roads. They had a plan of adding 10,000km but unfortunate he has added only 7,000 km bringing the total to 21,000km. Listen to the speaker very well.
 
Na pia barabara za bongo ni poor quality yaani kiufupi bongo bado mnatambaa,roads za kwenye miji ndo kabisaa hakuna cha maana
Wewe endelea kujidanganya na kudanganywa na mbongo in disguise, kenya lami zenu za kawaida, kenya ya zamani, sasa hivi hamna kitu kipya mazee, najua ni ngumu sana kumeza, but with time taratibu tu, mtaelewa.
 
You must be sick in the head table down real facts from a credible source to ascertain your claims .
kenyas paved road network coverage is almost twice that of Tanzania despite Tanzania having a huge landmass.
Hehee, you are a fool for believing that bs
 
Mavi ya kuku, Uhuru yupi anayeweza kujenga barabara 7,000Km?, hukusikia kipindi cha kampeni za uchaguzi wa 2017 alivyokua anakosolewa na Raila kwa kutojenga hata KM 3,000.

Ninyi mumezoea kudanganywa na corrupt Jubilee yenu. Kama ambavyo mliahidiwa kujengewa 5 big stadia za michezo, hakuna hata moja ilijengwa, hivyo hivyo kwa barabara, hakuna hata 3000km iliyojengwa. Tanzania kwa barabara hamuiwezi acheni kujilinganisha na Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…