Mbona zetu za vijijini zina markings?
Achana na hawa, unajua ni waongo waongo wa kupenda sifa kiasi kwamba ukiwaambia ukweli wanadhani na ww unawadanganya [emoji23][emoji23][emoji23]Zipi hizo? Nimesafiri toka Lungalunga Hadi nafika ukunda hakuna hata alama za Barabarani, The road is thin (extremely thin) kama Uchochoro, Hakuna Police wala vibao vya spidi, Hata kupishana inabidi kusubiriana,
What a Failed state
Macho unayo, kutazama umeshindwa.Zipi hizo? Nimesafiri toka Lungalunga Hadi nafika ukunda hakuna hata alama za Barabarani, The road is thin (extremely thin) kama Uchochoro, Hakuna Police wala vibao vya spidi, Hata kupishana inabidi kusubiriana,
What a Failed state
Wewe ni jinga tu, kwani hujaona pctr ya roads zenu hazina markings, au unageuka kipofu zikitokea.Barabara mnazopost ni barabara zilizokamilika kitambo. Usitufanye wajinga wewe.
Mt Ololokwe, Samburu, nahuko rural, kuna markingsWewe ni jinga tu, kwani hujaona pctr ya roads zenu hazina markings, au unageuka kipofu zikitokea.
Hivi ina maana hujaona picha ya roads zenu ambazo hazina markingsHii ya Kenya pia ipo Kijijini. Mbona ina road markings?
Barabara zenu ni za standard ya chini Sana hata kule upande wa horohoro hadi tanga .kama hujui kabila linaloishi korogwe unasema hujui nitakwelewa sio eti lisinisumbue.
Okay nilidhani ni wadigo pekee, kumbe kuna makabila mengi,ebu taja kasoro ya barabara zetu,Sisi hujenga class A roads.Hata zenu zinakasoro kibao Au wadau waliofika Kenya hadi waziseme hapa,
BTW Mkoa wa Tanga hukaliwa na wasambaa,wadigo,wabondei,makabila mengine pia yapo
Hii road mbona iko posted like mara 20Mt Ololokwe, Samburu, nahuko rural, kuna markingsView attachment 1098120
Barabara ya kutoka lungalunga hadi Mombasa inafanyiwa upgrading ujenzi tiyari umeanza , kutoka lungalunga hadi ukunda si nzuri vile lakini kutokea ukunda hadi Mombasa ipo Sawa,Ile ya kwenu kutoka tanga Hadi horohoro haina potholes lakini quality yake ni poor.Lingamisha ile barabara ya kutoka Tanga hadi Horohoro na kile kiuchochoro Toka LungaLunga Hadi Mombasa,
Barabara ya kutoka lungalunga hadi Mombasa inafanyiwa upgrading ujenzi tiyari umeanza , kutoka lungalunga hadi ukunda si nzuri vile lakini kutokea ukunda hadi Mombasa ipo Sawa,Ile ya kwenu kutoka tanga Hadi horohoro haina potholes lakini quality yake ni poor.
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
you've humbly downsized it for him. from 16 to 6 and from 18 to 8. Kenya is overratedThe biggest road in Kakamega is 4 lane (6 max) and in Kisumu is 6 lanes (8 max).
Wewe ni jinga tu, kwani hujaona pctr ya roads zenu hazina markings, au unageuka kipofu zikitokea.