Tanzanians, show us your roads

Tanzanians, show us your roads

Manyara Region
1099179


1099180
 
Eti HATA TUJENGE VIPI???
Umepost pics gani humu mpaka uanze kukatisha wa Tz wenzako Tamaa. Traitor of the Nation!!!
Kaa kimya wanajeshi wapambane.
Wewe una kichaa cha mbwa mwitu asiyejua kuua kabla ya kula anafika na kuanza kula kabla hajaua. Tembea ujionee ndo uje umwage upupu humu. Kuna nchi zilipata uhuru wakati mmoja na TZ lakini sasa hivi utadhani zilipata uhuru miaka mia tano iliyopita sisi tumekalia ndiyooooo. Kaeni na ndiyo zenu mtajiju. Heri yao wanaochapana na kuuana kila kukicha lakini wanajiletea maendeleo kuliko sisi tunaosema kiswa cha salama wakati tunachinja watoto, albino na wazee tukisingizia amani.
 
Tunduma - Sumbawanga highway [225 km]
1099201


Korogwe - Mombo
1099202


78 km Peramiho - Mbinga
1099203


To Iringa:
1099204
 
Wewe una kichaa cha mbwa mwitu asiyejua kuua kabla ya kula anafika na kuanza kula kabla hajaua. Tembea ujionee ndo uje umwage upupu humu. Kuna nchi zilipata uhuru wakati mmoja na TZ lakini sasa hivi utadhani zilipata uhuru miaka mia tano iliyopita sisi tumekalia ndiyooooo. Kaeni na ndiyo zenu mtajiju. Heri yao wanaochapana na kuuana kila kukicha lakini wanajiletea maendeleo kuliko sisi tunaosema kiswa cha salama wakati tunachinja watoto, albino na wazee tukisingizia amani.
Hapo Nairobi ndipo Ulitembea kupatA exposure sio??🤣🤣🤣
 
Hizo ulizoposti usidhani zinatutisha Kenya. Hiyo ni capital city yenu, linganisha na Kakamega - Kamji kadogo hapa Kenya.

View attachment 1099223
Hahaha!! umeenda kujificha na kuja na kamoja hako!? 🤣 🤣 🤣
Leta barabara za nchi nzima. Mimi nimekuletea all corners of Tanzania.
Tukianzia Turkana. Sema kutoka wapi kwenda wapi.
 
Hahaha!! umeenda kujificha na kuja na kamoja hako!? 🤣 🤣 🤣
Leta barabara za nchi nzima. Mimi nimekuletea all corners of Tanzania.
Tukianzia Turkana. Sema kutoka wapi kwenda wapi.
Kwani hujakua ukifuatilia thread wee malenge? Anzia mwanzo uone picha tulizoposti. Hivi vijibarabara viwili ulivyoposti ndivyo vinakutia kiwewe?
 
Kwani hujakua ukifuatilia thread wee malenge? Anzia mwanzo uone picha tulizoposti. Hivi vijibarabara viwili ulivyoposti ndivyo vinakutia kiwewe?
Pwahahaha. Mzee mimi nipiga kazi siyo kama wewe jobless 24/7 upo JF, JamiiForums.com and Nairaland.
From Nairaland.com
1099245


From KanyaTalk
1099246


From JF
1099251
 
Back
Top Bottom