Tanzanians, show us your roads

Vipi umechungulia Nairaland you have 5 posts per day. Jobless.
You spend 8hr/day is JF, Nairaland and kanyaTalk.

TANZANIA TANZANIA NAKUPENDA KWA MOYO WOTE




 
Vipi umechungulia Nairaland you have 5 posts per day. Jobless.
You spend 8hr/day is JF, Nairaland and kanyaTalk.

TANZANIA TANZANIA NAKUPENDA KWA MOYO WOTE
View attachment 1099320

View attachment 1099323

View attachment 1099324
Malaya wa sare, najua kwengine huwezani, ni JF tuu kwenye maboya kama wewe. Haya endelea kunitafuta mitandaoni wa bwege. Achana na picha za kurudia. Malenge umejua mtandao last year December unaingia hivyo hivyo badala ya kuuliza magwiji huwa kunaenda vipi. FYI, nipo tena SSC. Wacha nikuache sasa niendelee na kazi yangu ya kudesign barabara. Hii hapa ndio kazi yangu, wee endelea na kazi zako za umalaya na ushoga. Kaangalie mambo.

 
Stupid Stupid. Tukianza kukuonesha vitu tunavyofanya utaihama JF.
 
Ukiona mkenya kaanza matusi ujue umeshika penyewe [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bora umekuja kutusaidia hizi barabara zinatakiwa ziwe zimechukuliwa na camera nzuri na zenye kiwango.Sasa sisi tulikuwa tunapambana na huyu mrusha mapicha ya Barabara za kenya anafanya kazi mamlaka ya barabara anatuma picha zenye kung'aa sana sisi tulikuwa tunapiga picha barabara na simu zetu za TECNO na INFINIX imetufanya tuonekane tuna barabara za kutisha.
 
Bora umekuja kutusaidia hizi barabara zinatakiwa ziwe zimechukuliwa na camera nzuri na zenye kiwango.Sasa sisi tulikuwa tunapambana na huyu mrusha mapicha ya Barabara za kenya anafanya kazi mamlaka ya barabara anatuma picha zenye kung'aa sana sisi tulikuwa tunapiga picha barabara na simu zetu za TECNO na INFINIX imetufanya tuonekane tuna barabara za kutisha.
 
Lol!!
Kumbe una Design then ndio unakuja kupost!!!
U might be crazy!!!
Hivi unajua Design za Road ni Project Mgt process. It needs starting from Feasibility studies; Survey analysis; plan ( Team selection); Stakeholders approve ( eg Funds allocation)
Una Design hizo road kujifurahisha au???
Kweli tuna urgue with a mad person
🤣🤣🤣🤣
 
Hiyo auto CAD ulioyo display huku Tz wanatumia Std IV primary!!!
Kenya hamna kitu nyie
This yr ndo mmeanza ku implement IFMS ( Integrated Financial Management System) -ERP kwenye Gvt Offices.
Wakati Tz since 90's
 
Soo hivyo vipicha ndio vinathibitishaje kua hiyo ndio kazi yako
 
Nionyeshe turkana town bro[emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…