Tanzanians show us your Universities

Tanzanians show us your Universities

Hawa wenye wako hapa kw hii thread niwale ccm wenye elimu ya st magufuli...hawafanyi kitu mpaka rais aseme..
 
Ahaaa haaa haaa

Flying toilet technical university
 
Nyang'auz mmekosa kazi ya kufanya mmeminywa kordn mmesalia na "Tanzanians show us sijui nn nn"
Braifoot
 
Ila nafurahi tu hii ligi ni kama simba na yanga...lakini Tanzania mbabe wenu mbona hamsumbuki na Ug au Rwanda...mmeshikwa pabaya!
 
Leta za kwenu bwana wee Acha porojo.
Leo tumewapata.
Unazungumzia Architecture ya vyuo hapa ama Prospectus za vyuo husika, kama ni majengo ya vyuo zunguka Kenya yote upige picha majengo kisha upost hapa! Kutoweka Majengo haimaanishi Tanzania hatuna Vyuo na kama una elimu japo kiasi utagundua wanazuoni wengi na viongozi wa Kenya wamesoma Tanzania!
 
Back
Top Bottom