Tanzanians to pay much more for power


...congratulation,naona its time tuanze kuelimishana kuhusu hizi alt. energy nafikiri kwa bei ya umeme huu wa Tanesco zinaweza kuwa cheaper hata kama sio cheaper they're good for envir.
 
kama makampuni hewa yanayokinga pesa kila siku kutoka katika akaunti za tanesco ambazo zinategemea malipo ya wazalendo yakikomeshwa basi TANESCO wanaweza kujiendesha na wabongo wataweza kukidhi manunuzi ya umeme...

ila kama hayo makampuni hayatakoma basi ni wazi kuwa maumivu na gharama za kuendesha ataendelea kuangushiwa mzalendo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…