Tanzanians to pay much more for power

Tanzanians to pay much more for power

Ningeshauri tuwaache tanesco wajiendeshe kibiashara zaidi, kama kunahaja ya kuongeza bei ili kukidhi gharama za uendeshaji basi waongeze. mie pamoja na kuwa na umeme wa tanesco natumia solar energy, taa fridge tv radio zinatumia solar energy, huu mwezi wa nne sasa sijanunua vocha ya luku!

...congratulation,naona its time tuanze kuelimishana kuhusu hizi alt. energy nafikiri kwa bei ya umeme huu wa Tanesco zinaweza kuwa cheaper hata kama sio cheaper they're good for envir.
 
kama makampuni hewa yanayokinga pesa kila siku kutoka katika akaunti za tanesco ambazo zinategemea malipo ya wazalendo yakikomeshwa basi TANESCO wanaweza kujiendesha na wabongo wataweza kukidhi manunuzi ya umeme...

ila kama hayo makampuni hayatakoma basi ni wazi kuwa maumivu na gharama za kuendesha ataendelea kuangushiwa mzalendo
 
Back
Top Bottom