Tanzanians, why are u guys so sad?


Wewe hii kauli yako iwekwe kwenye kaburi la sahau. Ati mko intelligent???
 
Naelewa hilo. Lakini ukweli ni kwamba watz wengi hawafurahishwi na sera fulani za rais aliyepo kwa sasa, imebainika hivo katika comments tumeona hapa na pia kwenye nyuzi nyingine nyingi.
Hilo halina ubishi! Sera hasa za udikiteta zinakera kabisa.

Ila hata hapo kwenu kuna baadhi ya sera za rais wenu hamzipendi, si ndio?
 
Fafanua mkuu, utofauti uliopo.
Ni vitu viwili tofauti:kuwa na furaha kuna factor zake ambazo ni tofauti kabisa na kujiua,mfano,kwa upande wa kujiua,unaweza ukawa na furaha ila ukafsnya od,au anomie which inapalekea mtu kujiua,ambayo inapandisha level ya watu wanaojiua mkuu
 
Theres nothing like denials.. Tanzania tunapiga hatua kwa kasi na majirani + wazungu hawapendi hilo, tumewanyanganya migodi, tumewabana vilivyoo unafkiri watapenda??, Aliyeandika hiyo stori atakua na madhumuni yake, ameiacha wapi Syria, Congo, South Sudan, Sierra lione, Kenya???
 
Naelewa hilo. Lakini ukweli ni kwamba watz wengi hawafurahishwi na sera fulani za rais aliyepo kwa sasa, imebainika hivo katika comments tumeona hapa na pia kwenye nyuzi nyingine nyingi.

Wanachosahau watu ni KUWA JPM ni mtu na anamapungufu, lkn tunapaswa tukubaliane ili twende MBELE. Uhuru unaosemwa hapa tulikuwa nao since 1985 lkn haukutusaidia, let's try something different.
 
Hilo halina ubishi! Sera hasa za udikiteta zinakera kabisa.

Ila hata hapo kwenu kuna baadhi ya sera za rais wenu hamzipendi, si ndio?
Kabisaaa. Kuna mambo fulani hawa viongozi wetu hutenda jamani...

Lakini kinyume na watz, wakenya hawachelei kuonyesha kukerwa kwao kwa njia lolote lile, hata kama ni kuanzisha vurugu mitaani na kupambana na majeshi ya serikali. Hatutishiki kamwe.

Watz wao huchagua kuvumilia dhulma na kutishika kwa urahisi.
 
Mhhh ndugu inamaana tunamzidi hadi Congo, south Sudan Syria, Afghanistan na kwingineko? Sikatai kama furaha imepungua ila sio kuzidi hizo nchi nyingine.. Hii ripoti ni ya maslahi ya watu Fulani..
 
Wanachosahau watu ni KUWA JPM ni mtu na anamapungufu, lkn tunapaswa tukubaliane ili twende MBELE. Uhuru unaosemwa hapa tulikuwa nao since 1985 lkn haukutusaidia, let's try something different.
And is a dictatorship is the way to go? Na sikubaliani na wewe ya kwamba Tz imewahi kuwa na uhuru wa kweli.
 
Wanachosahau watu ni KUWA JPM ni mtu na anamapungufu, lkn tunapaswa tukubaliane ili twende MBELE. Uhuru unaosemwa hapa tulikuwa nao since 1985 lkn haukutusaidia, let's try something different.

So is dictatorship the way to go really?
 
Ni vitu viwili tofauti:kuwa na furaha kuna factor zake ambazo ni tofauti kabisa na kujiua,mfano,kwa upande wa kujiua,unaweza ukawa na furaha ila ukafsnya od,au anomie which inapalekea mtu kujiua,ambayo inapandisha level ya watu wanaojiua mkuu

Mtu anaweza kufikiria kujiua kwa dk moja tu??
 
There is no way to depict the general mood of an entire nation(50 million+), after all its easy to know who is popular than knowing who is happy/sad
 

Kinachowasibu Watanzania ni unafiki wao, nawajua sana hawa, wanapenda kumeza kila kitu na kusifia sifia na kushobokea lakini moyoni wanaumia balaa. Mtanzania hata umfanyie mabaya gani, atakenua meno na kukusifia tu, japo kimya kimya anaumia na chuki za kufa mtu, akipata fursa ya kukusema wakati haupo, atatiririka machungu yote.

Kingine, Mtanzania ni mtu mwenye asili ya uwoga, ni vigumu sana ayatoe yaliyo moyoni kwa kuogopa usimchukie. Tofauti na ilivyo Kenya ambapo tunaambizana ukweli, umeze au uteme lakini nakupa ya moyoni live ili yaniondoke, sasa Mtanzania atatunza chuki ndani, atayabeba mengi tu. Nenda kwenye JF upande wa siasa, jamaa huwa wanatiririka yote, lakini siku mmiliki wa JF alipelekwa mahakamani kwamba aweke bayana majina ya wachangiaji, jamaa walihaha balaa.

Leo hii wanamsema sana rais wao, lakini thubutu kuwaambia waiseme hadharani....utabaki mwenyewe maana wanatoweka wote. Sasa Magufuli naye alivyo mbabe, kila akipata fursa ya kusema, anatokwa na mikwara tu na vijembe kila siku, anaonekana mwenye visasi na hasira fulani isiyoeleweka chanzo chake, ukimskliza halafu ulinganishe na maisha wanayopitia Watanzania wa kawaida kwenye mateso ya umaskini, hadi unawahurumia. Maana rais anafaa kuwa mwenye kutoa kauli za matumaini, hata kama maisha magumu, lakini inafaa ukimskliza kwenye runinga unapata faraja, alkini sio full vitisho na kufoka foka.

Juzi nilimsikia anasema kuna nchi imechukua mkopo wa Mchina kujenga reli ya ovyo, hapo najua alikua anamlenga Uhuru, sasa nawaza imagine rais Uhuru akiongea kitu kama hicho, hawezi kabisa kujishusha kwenye level kama hiyo, maana hayo ni maongezi ya vijana vijana wa Mazense hutegemei kuyaskia kutoka kwa rais.

Nimeona kule kwenye jukwaa la siasa wanajitutumua kwamba watafanya maanadamano ifikapo tarehe 26, niwajuavyo hawa, hakuna atakayethubutu hata kuandamana ndani ya nyumba yake. Kwanza rais wao ametoa mikwara kwamba wathubutu tu, yaani wamjaribu.
 

Sasa mara useme wanafiki mara RAIS wao hana kauli za matumaini. Ni kutuchanganya, sisi RAIS wetu hamung'unyi maneno. Yeye ni kukupa live upende usipende utachagua wewe.
Mfano, kuna siku alisema nyie mabarozi, ikitokea kuna mTanzania kakamatwa na madawa ya kulevya ughaibuni bila ya kusingiziwa au akiweza, huyo msihangaike naye, hata akifungwa miaka 30 muache hata maisha muache hata akinyongwa achana naye. Nakwambia kuna watu walitokwa povu balaa. Eti huyu ni mkatili. SASA unajiuliza ukatili WAKE uko wapi? Kwani kawatuma Yeye. Au wakikamatwa SERIKALI ianze kujiingiza kwa KITU ambacho ni balaa au haramu?? Ukimuelewa JPM utaishi maisha raha mstarehe. Wee piga kazi YAKO MAMBO yatafunguka. Ule uongo uongo tuliozoea ndiyo MAANA tunaathirika.
 
Eti syria inafuraha kuzidi Tanzania.....haya bwana,wamesema wazungu tufanyeje sasa maana hao wakisema lolote tunawaamini tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…