Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haki ya Mungu kuna baadhi ya Comments, zimenifanya nizidi kununa!
Why are people like this?
Nikipata nafasi ya kuhama bongo ntashukuru
Hahaha tunachekesha.Usinune bhana, unaona Wakenya walivyofurahia hii report...lol
Ateeeeeh???They need savior, may be you should go to save them, before they are disappeared
Hahaha tunachekesha.
Hii nchi kwa kweli wananchi hawana furaha mwee!
I cant wait to go abroad and be loughing at them from there.
HahahahaShauri yako, ngoja chichi em waone hii.
Watakununia through the keyboard..[emoji1]
ni vile nchini kwetu risasi zinakata kona... kwani kwenyu zinakataga pia?
Hahahaha
Halaf wanajuaga kusababisha stresa kweli ngoja nitulie tuu na huzuni zangu.
ni vile nchini kwetu risasi zinakata kona... kwani kwenyu zinakataga pia?
Watakataza tusiseme hzo takwimu [emoji23]Hahah!, I wish wangetoa Tamko kutokana na hizi habari.
Halafu pia ningefurahi zaidi kama Mkulu angewajibu hawa watoa taarifa hizi.
Sipati picha atakavyo wagombeza! [emoji1]
Watakataza tusiseme hzo takwimu [emoji23]
Hazija toka NBS
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaha!, apparently NBS is better than UN...lol!
Nani kasema tumeipita Germany, nyie mlivyokuwa LDC mlienda kwa asilimia ngapi.Ni mwendo wa konokono mkiwa LDC. Germany hukuwa kwa less than 2% hivyo si kumaanisha Tz Wameishinda au kuipita Germany au vipi kaka? Tafakari hayo kabla utokwe povu.