Tanzanians, why are u guys so sad?

Tanzanians, why are u guys so sad?

Haki ya Mungu kuna baadhi ya Comments, zimenifanya nizidi kununa!
Why are people like this?
Nikipata nafasi ya kuhama bongo ntashukuru
So sad!
 
mulisaa naona umefunguuuuka mwenyewe, ila vizuri kuongea ya moyoni maana lake mtu halimtapishi..

furaha na hali ya siasa sehemu fulani kwa namna moja ama nyingine inachangia kwenye hilo jambo...

furaha ya mtu na hali ya demokrasia sehemu fulani inaweza kuchangia kwa namna moja ama nyingine...

binafsi, Tanzania kwa sasa hatujafikia hatua ambayo tuseme ndo tupo dhofu li hali kwenye suala la furaha...

mtu ataikubali hii taarifa kwa kuoanisha hali ya demokrasia na siasa kwa ujumla nchini, atatolea mfano wa Tundu Lissu, Akwilina Akwelina(R.I.P), Ben Saanane, Azroy n.k

hiyo ni baadahi ya mifano tuu, sasa kwa mifanp hiyo kwa namna moja ama nyingine utasema ni kweli Tanzania hakuna kitu kinachowafanya wafurahi kwa kua hali si shwari nchini...

kwani zipi ni viashiria vya furaha kwa binadamu, siasa na demokrasia pekee??

binafsi ili nisiwe na furaha, matatizo ya kifamilia, mienendo ya kibiashara au masomo kwenda kombo, kushindwa kufikia malengo kadhaa, masuala ya mapenzi n.k...

sasa mulisaaa umekuja hapa kumwaga mchele kwenye kuku wengi, tena kuku wenyewe ni broila...

fujo walizozileta hapa ni zaidi ya kutaka kujua kwanini hatuna furaha...

umefurahisha baraza hongera kwa hilo pia

Binafsi Mimi nina furaha, hakuna kinitatizacho kwa sasa mpaka nisiwe na furaha, nimemuuliza Mama yangu pia ameniambia ana furaha pia...
 
Tetesi baada ya CCM kushitushwa na Habari ya huzuni ya mtanzania makamanda wa Lumumba kuzindua operation be happy don't worry don't worry don't worry nchi nzima.
 
They need savior, may be you should go to save them, before they are disappeared
 
They need savior, may be you should go to save them, before they are disappeared
Ateeeeeh???
qt0kgmnhg7lg9h6nr8js
 
Hahaha tunachekesha.
Hii nchi kwa kweli wananchi hawana furaha mwee!
I cant wait to go abroad and be loughing at them from there.

Shauri yako, ngoja chichi em waone hii.
Watakununia through the keyboard..[emoji1]
 
Lumumba this's perfect for damage control. Muupigage kila siku.

 
Hahahaha
Halaf wanajuaga kusababisha stresa kweli ngoja nitulie tuu na huzuni zangu.

Hahah!, I wish wangetoa Tamko kutokana na hizi habari.
Halafu pia ningefurahi zaidi kama Mkulu angewajibu hawa watoa taarifa hizi.

Sipati picha atakavyo wagombeza! [emoji1]
 
Baby I'm a savage I ain't romantic
When I come around these rappers niggas start to panic
And they pockets going under like the Titanic
Got some head last night and it was outstanding
They was hatin' on me then and they hatin' now
She was playing with me then but she waitin' now
Used to sleep inside a den I got acres now
 
Hahah!, I wish wangetoa Tamko kutokana na hizi habari.
Halafu pia ningefurahi zaidi kama Mkulu angewajibu hawa watoa taarifa hizi.

Sipati picha atakavyo wagombeza! [emoji1]
Watakataza tusiseme hzo takwimu [emoji23]
Hazija toka NBS
 
Ni mwendo wa konokono mkiwa LDC. Germany hukuwa kwa less than 2% hivyo si kumaanisha Tz Wameishinda au kuipita Germany au vipi kaka? Tafakari hayo kabla utokwe povu.
Nani kasema tumeipita Germany, nyie mlivyokuwa LDC mlienda kwa asilimia ngapi.
 
Back
Top Bottom