De Queensess Najuh
Member
- Feb 7, 2012
- 31
- 15
Sio hivyo bana. Sasa tufanye vipi wakati sio kawaida yetu kununa??? πUsinune bhana, unaona Wakenya walivyofurahia hii report...lol
Sio hivyo bana. Sasa tufanye vipi wakati sio kawaida yetu kununa??? π
Stress zipo wakati mwingine. Mara nyingi huwa zinaletwa na wanasiasa, wengi wao ambao ni wachochezi. Midomo yao huwa ni kama imelaaniwa wakiongea tu ni chuki pekee yake. Ndio maana wengi wao, kutoka kwa vyama vyote viwili, wamenuna baada ya Raila na rais Uhuru kuketi pamoja na kuongea zao kwa amani. An African politician in action is just like a cheap canine dancing to the whiffs of a roasting chicken. ~Wise African proverb(one of my many contributions). πHaha, kwa kweli. Nyie hamna muda wa hivyo, either kieleweke au furaha tu wakati wote! [emoji3]
Stress zipo wakati mwingine. Mara nyingi huwa zinaletwa na wanasiasa, wengi wao ambao ni wachochezi. Midomo yao huwa ni kama imelaaniwa wakiongea tu ni chuki pekee yake. Ndio maana wengi wao, kutoka kwa vyama vyote viwili, wamenuna baada ya Raila na rais Uhuru kuketi pamoja na kuongea zao kwa amani. An African politician in action is just like a cheap canine dancing to the whiffs of a roasting chicken. ~Wise African proverb(one of my many contributions). π