TanzaniaOne, Tanzanite and those Tanzanians! Stealing of Natural Resources

Enigma

Senior Member
Joined
Feb 29, 2008
Posts
109
Reaction score
62
Greetings dear friends!

It has been months since I was here last time. M has received the following documents from reliable and impeccable sources that wish Tanzanians, the media and our leadership to be aware of. We are losing at an incredible pace and way one of the most precious stones in our country; Tanzanite through one an eleborate scheme of criminal nature. If we don't stop them according to the report, mafisadi win!

The report begins... Read at your own misery.
 

Attachments

Mhh..haya bana kainzi. Hizo hesabu zimenisikitisha sana. Kama kweli hizo hisabu ziko sawa nazidi kuamini kuwa Tz hakuna uongozi. Viongozi waliopo ni warlords wa magenge ya wanyang'anyi yanaotawala ktk mfumo huu wa anarchy.
 
Thanks.. ka-nzi.. nilidhani hamtaweza kuifanyia kazi na kuithibitisha kutoka upande wenu. Good job once again.
 
Mhh..haya bana kainzi. Hizo hesabu zimenisikitisha sana. Kama kweli hizo hisabu ziko sawa nazidi kuamini kuwa Tz hakuna uongozi. Viongozi waliopo ni warlords wa magenge ya wanyang'anyi yanaotawala ktk mfumo huu wa anarchy.

Yaani ukiangalia dili kama la RADA tu peke yake utaona kuwa hatuna viongozi...............kabisa......ni ujambazi tu unaendelea.......

Asante sana Enigma
 
Mhh..haya bana kainzi. Hizo hesabu zimenisikitisha sana. Kama kweli hizo hisabu ziko sawa nazidi kuamini kuwa Tz hakuna uongozi. Viongozi waliopo ni warlords wa magenge ya wanyang'anyi yanaotawala ktk mfumo huu wa anarchy.

It's a mafia mob that need to be thrown out immediately.
 
mshukurani Enigma.. he has a lot in stores this week.. unless wakate vimbawa vyake..
 
Balozi AM haya unaweza kuyasemea? Wewe unaheshimika sana ndani na nje ya nchi - Na SA ulikaa sana kwahiyo unafahamu sana kuhusu mambo ya madini - Tunaomba mchango wako hapa mheshimiwa!
 
Mwanakijiji kuna kitengo cha Serikali ambacho sasa ni Agency; (TMAA) Tanzania Mineral Audit Agency http://www.tmaa.go.tz/index.php miezi michache ijayo inategewa watapanua shughuli zao na kukagua madini ya aina nyingi yanayopatikana Tanzania. Hapa chini nimeweka maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa TMAA kupitia Habari Leo.

Kitengo cha ukaguzi wa dhahabu chaboreshwa kuhakiki usafirishaji dhahabu


Kwenye Daily News ya January 13, 2010 Mkurugenzi wa TMAA ameelezea mafanikio yaliyopatikana mpaka sasa tangu agency iliponzishwa.

Lengo ya kuweka hizi habari mbili hapa ni kuonyesha namna ambavyo iwapo vyomba vya serikali vinafanya kazi inavyotakiwa matunda yanaweza kupatikana....hawa TMAA wanahitajika kuanza kukagua mapato yanayopatikana kutokana na Tanzanite mapema sana.

 
Yaani hao jamaa hawaangalii Tanzanite? sijui kwanini tusiombe wawekezaji wa nje waongoze taifa kwa next 20 years!!
 
Yaani hao jamaa hawaangalii Tanzanite? sijui kwanini tusiombe wawekezaji wa nje waongoze taifa kwa next 20 years!!
Hata mimi nashangaa, kaa kila kitu kizuri tunampa mwekezaji..wa kigeni avune na kutengeza faida aende zake, sasa hawa jamaa tunaowaita viongozi wanafanya kazi gani au wana faida gani hasa? kazi kufacilitate exploitation ya rasilimali zetu (madalali)? kaa ni hivo basi tuondoe gharama ya madalali..
 
Mwanakijiji,
sijui kwanini tusiombe wawekezaji wa nje waongoze taifa kwa next 20 years!!
Kwani Museveni atakapokuwa Rais wa Shirikisho la Afrika Mashariki, atakuwa hatawali Tanzania?
 
If we don't stop them according to the report, mafisadi win!

Again, let's go slowly.

For example, 'mwekezaji' akibaini kwamba cubic km nzima ni pure tanzanite, what is our cut? "kodi"?

In short, hapa tunaangalia tulipoangukia, sipo tulipojikwaia. Tatizo ni mkataba. Hiyo nayo ni dalili ya tatizo lingine: hakuna "ideology" ambayo hiyo mikataba itakuwa inabase. Watawala wetu wapendwa hawatofautishi STAMICO na Tanzanite One / Barric Gold, etc.
 
Kweli inauma jamani, sisi watanzania tumezidi kuwa makondoo mno kwa nini tuanwachagua hawa mafisadi, kweli nchii hii ni tajiri sana lkn inaporwa mchana kweupe
 
Balozi AM haya unaweza kuyasemea? Wewe unaheshimika sana ndani na nje ya nchi - Na SA ulikaa sana kwahiyo unafahamu sana kuhusu mambo ya madini - Tunaomba mchango wako hapa mheshimiwa!

Anaheshimika wapi mtu ambaye maovu kama haya tuliyoyasoma ya udhalilishaji wa Watanzania wenziwe na hujuma kwa Taifa yanapita usoni pake? Viongozi kama hawa wanaojali kujitajirisha tu bila kujali afya za watanzania wenzao na maslahi ya Taifa wanapaswa wao na familia zao nao kuchomwa na hiyo mionzi!
 
Tanzanite issue is just a scam. Everyone seems to be pocketing someting at top level!
 
Yaani hao jamaa hawaangalii Tanzanite? sijui kwanini tusiombe wawekezaji wa nje waongoze taifa kwa next 20 years!!

Mwanakijiji,

Kwa uelewa wangu hii agency ni mpya ambapo lengo lao la mwanzo ni kushughulika na wachimbaji wakubwa wa dhahamu, sasa tangu wamekuwa agency jina nalo limebadilika kutoka "Gold" Audit Program (GAP) na kuwa Tanzania Mineral Audit Agency (TMAA). I can only speculate; miezi na miaka ijayo watakuwa wanakagua uchimbaji, mauzo na utunzaji mazingira n.k katika migodi ya madini yote Tanzania.
 
Kwangu mimi naona labda tuanzishe vita kati ya hawa so called wawekezaji ili CCM iamke vinginevyo sioni kama kuna mafanikio. Fikiria serikali ya CCM bado inasema mikataba baina yake na wezi ni siri hata kwa wabunge.

Hii nchi itaweza kubadili mwelekeo baada tu ya CCM kuondoka madarakani na vibaraka wake.
 

Hii agency (TMAA) wataalamu wake wametoka wapi au ndo wale wale wa ile kampuni ya Alex Stewart tumebadilishiwa jina?

Na hiyo competency /Training ya ku audit Madini wameipatia botswana, canada , Australia au RSA . Wasije wakakuta wamefundishwa na walimu amabao ndio majambazi.

Mtazamo wangu Nadhani TMAA itakuwa na tija zaidi kama ingekuwa ni idara ndani ya ya ofisi Natinal Audit Office kuliko kila ofisi kujitegemea. Accounting audit and technical audit zikiwa corninated wajanja watabanwa.

Otheriwse tuwatakie TMAA mafanikio na tone mabadiliko chanya ya uwepo wao?
 

..and at that time hasara isiyomithilika ambayo tumeshaingia itafidiwa vipi? Huu ndo umbumbumbu wa kukimbilia uwekezaji kichwakicchwa. Theoretically speaking, agency kaa hii ilitakiwa iwe ameanza kabla ya kusaini mikataba na hawa wavunaji wa rasilimali zetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…