Tanzania’s big win at the Oscars a plus for tourism

Tanzania’s big win at the Oscars a plus for tourism

Nyumbu njooni huku mtoe povu au bado mnasubiri kwanza Mange Kimambi atasemaje?
 
Usishangilie kama mama jusi.

Jiulize kwanza hizo hotels ni za nani?
Owner ni nani?

Ni mtanzania?

Wafanyakazi wangapi ni watanzania?

Owner- Mzungu/kaburu
Chef mkuu-mhindi.
General Manager -mhindi.


Wafagiaji walinzi waosha vyombo-Watanzania.

Hapo cha kushangilia ni nini??
.nyau kabisa.
26/04/2018
Wewe kweli tako kama mpaka sasa hujui tu kwa kutajwa Serengeti Tanzania kwenye platforms kubwa kama Hollywood duniani hata wasingekuja lakini hivyo tu Serengeti imetajwa kama eneo lenye hotels za kuwapagawisha celebrities wakubwa kama hao basi we ni taahira.

Millions of people around the world now know about Serengeti in Tanzania
 
Wewe kweli tako kama mpaka sasa hujui tu kwa kutajwa Serengeti Tanzania kwenye platforms kubwa kama Hollywood duniani hata wasingekuja lakini hivyo tu Serengeti imetajwa kama eneo lenye hotels za kuwapagawisha celebrities wakubwa kama hao basi we ni taahira.

Millions of people around the world now know about Serengeti in Tanzania
nakubali mimi tako.
ila ungejua ninachokiongea.. sijasema kuwa 100% hakuna faida.. kipindi cha JK sereneti ilitangazwa hadi kwenye underground train za UK mpaka kwenye EPL.. wewe ulipata hata sh mia?
mimi naendaga hadi kwenye Worlid International Tourism Exhibition. Beijing, Brussels etc.
I know Better than you. Mange wewe
 
nakubali mimi tako.
ila ungejua ninachokiongea.. sijasema kuwa 100% hakuna faida.. kipindi cha JK sereneti ilitangazwa hadi kwenye underground train za UK mpaka kwenye EPL.. wewe ulipata hata sh mia?
mimi naendaga hadi kwenye Worlid International Tourism Exhibition. Beijing, Brussels etc.
I know Better than you. Mange wewe
Ficha upumabuvu wako kwenye mambo ya kitaifa unaonekana zuzu tu
 
Hizi ndio habari za kusoma na kuchangia, zina maslahi kwa Taifa, siyo thread udaku ambazo watu wanapeana like kuhimiza ujinga. Hongera sana National Tourism Board. Itachangia uchumi wetu na ukuaji wa sector ya utalii.....
 
nakubali mimi tako.
ila ungejua ninachokiongea.. sijasema kuwa 100% hakuna faida.. kipindi cha JK sereneti ilitangazwa hadi kwenye underground train za UK mpaka kwenye EPL.. wewe ulipata hata sh mia?
mimi naendaga hadi kwenye Worlid International Tourism Exhibition. Beijing, Brussels etc.
I know Better than you. Mange wewe
Uende wapi weye wakati masaa 24 upo shilawadu, kwahiyo ulivyokua ukienda huko Beijing ilifuata nini wakati unajua matangazo hayalisaidii chochote tourism industry?

Umeshapiga mswaki Kwanzaa?
 
Uende wapi weye wakati masaa 24 upo shilawadu, kwahiyo ulivyokua ukienda huko Beijing ilifuata nini wakati unajua matangazo hayalisaidii chochote tourism industry?

Umeshapiga mswaki Kwanzaa?
You know nothing.
 
nakubali mimi tako.
ila ungejua ninachokiongea.. sijasema kuwa 100% hakuna faida.. kipindi cha JK sereneti ilitangazwa hadi kwenye underground train za UK mpaka kwenye EPL.. wewe ulipata hata sh mia?
mimi naendaga hadi kwenye Worlid International Tourism Exhibition. Beijing, Brussels etc.
I know Better than you. Mange wewe
mpaka nyang'au kasifia wewe unabisha kama nani?
 
The potential for Tourism TZ is massive, problem is little/ ineffective advertising. Hamna safari rally, hamna athletics, hamna rhyno charge, hamna football, rugby 7's. Halafu wengi wenu wenye kwa hospitality industry hawajui Kimombo ama lugha zingine kama french german etc, wanaenzi kiswahili sana
Sasa watalii watajuaje TZ? - Serikali yenu ikiwekeza kwa haya mavutio hizi projects za miundo mbinu zingefanywa bila hata shilingi moja ya mkopo.
 
The potential for Tourism TZ is massive, problem is little/ ineffective advertising. Hamna safari rally, hamna athletics, hamna rhyno charge, hamna football, rugby 7's. Halafu wengi wenu wenye kwa hospitality industry hawajui Kimombo ama lugha zingine kama french german etc, wanaenzi kiswahili sana
Sasa watalii watajuaje TZ? - Serikali yenu ikiwekeza kwa haya mavutio hizi projects za miundo mbinu zingefanywa bila hata shilingi moja ya mkopo.
Hahaha Tanzania inatangaza kwenye premier League, London subways, cnn international, androids ads, kuhusu hizo hahaha lugha ndio upo OP vibaya tour guides wa Tanzania wanaongea hizo lugha zote na nyingine hata hujazitaja hapo, Chinese, Japanese, Russian, Portuguese usiongee usilolijua nawajua tour guides wanaongea lugha 5 fluently like mother tongues
 
Uende wapi weye wakati masaa 24 upo shilawadu, kwahiyo ulivyokua ukienda huko Beijing ilifuata nini wakati unajua matangazo hayalisaidii chochote tourism industry?

Umeshapiga mswaki Kwanzaa?
You made my day[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Eti "conflict free diamond necklace", my brothers, nothing is conflict free, not even the food you eat, farmers and pastoralists have had to kill each other to produce eat.
 
Tunataka watalii wenye AKILI. Siyo MASS tourism hapa.
 
Back
Top Bottom