Tanzania's cheap railway may be of poor quality

Tanzania's cheap railway may be of poor quality

Wamekuwa wakitumia kuni lazima wataimprove ikuwe ya makaa. Wadanganyika si watatuonyesha mambo
 
Wamekuwa wakitumia kuni lazima wataimprove ikuwe ya makaa. Wadanganyika si watatuonyesha mambo
Hahahahahhhaa!! Jamaa wa Bongo kweli, aina yake tu!! Vituko uswahilini! Hata kwa majini, eti Pugu??? dahh
 
Watanzania mnajishuku sana! sijui ni hamjiamini au vipi.....

Anyway, wengi wenu mmeshinda mki imba imba eti tuko a wivu.... Hii inamaanisha hizi siku zote tangu 2015 reli ya Kenya ilipoanza kujengwa mmekua na viazi kooni,, wivu tele mmemezea hizi siku zote mkiona mapicha ya reli ya Kenya kila siku,....hahahahah..... Sasa mwafikiria eti kwavile mmeanza yenu eti ni wakati wa sisi nasi tuwe na wivu...... poleni sana binadamu hua na wivu na kitu ambacho hana, reli yetu ishajengwa phase one, mapicha yanafurahisha ajabu, hata juzi niliota niko pale Nairobi South nafanya check in kwenda Mombasa na kisho flani... Sina mda na kuwa na wivu ya kitu hata sijakiona kiko vipi....

Hebu ni kuulize, mtu flani kama wewe ukinunua gari jipya alafu jirani yako hana (ashikwe na wivu)..... baada ya miezi/miaka kadhaa, uskie jirani yako naye ananunua gari lipya na bado hata hujaliona ni gari la aina gani, je utashikwa na wivu wakati una gari lako tayari ambalo unalipenda???????
Wivu na kuumia roho inaanza pale umenunua gari kwa $3,000 tena hela umechukua loan na jiran yako kanunua kama lako but its new model kwa $1,500 kwa pesa yake hapo ndio utaanza kuumia na wivu na ukizidiwa utasema tu gari bovu lile nayajua mimi..sisi tupo na Jembe Magufuli hana mzaha na mtu waulize wajapan waliotengeza bara bara chini ya kiwango magufuli akiwa waziri walimjua ye ni nani na bara bara wakairudia kwa gharama zao.!..wenye akili washapata ten percent yao from exim bank ya china nyie kulen stress na jiandaen kulipa deni hilo hadi watoto wenu sisi tumejenga kwa pesa yetu wenyewe hapo ndio tofauti ipo hapo..!...Polen na sisi hatujasema kitu ni nyie ndio mmeanza kutushambulia mara itakuwa chini ya kiwango subirin iishe ndio muongee...ila wakenya wenye akili wanahoji hii imekuwaje kuliko kutetea ufisadi ambao hufaidiki nao.!
 
Mlifanya ground breaking juzi (ama ni jana?)
Ujenzi rasmi utaanza karibuni, hio mlio onyeshwa ilikua model (nafiki hata wachina ndo waliijenga pale mwanzoni kabla muwadukuze kwa hio dili)
Hua waijenga tu ili wawaonyeshe vile reli yenyewe itakua, kama mita 500 hivi ....
Hata huku kenya kabla waanza kujenga reli yenyewe waligenga model pale mombasa ambayo ndo ilitumika kwa ground braking,,, alafu baadae ndo walianza actual construction


View attachment 495220
hiii ni ya m7 mkuu,ambayo inaelekea kukamilika😀😀
 
Wivu na kuumia roho inaanza pale umenunua gari kwa $3,000 tena hela umechukua loan na jiran yako kanunua kama lako but its new model kwa $1,500 kwa pesa yake hapo ndio utaanza kuumia na wivu na ukizidiwa utasema tu gari bovu lile nayajua mimi..sisi tupo na Jembe Magufuli hana mzaha na mtu waulize wajapan waliotengeza bara bara chini ya kiwango magufuli akiwa waziri walimjua ye ni nani na bara bara wakairudia kwa gharama zao.!..wenye akili washapata ten percent yao from exim bank ya china nyie kulen stress na jiandaen kulipa deni hilo hadi watoto wenu sisi tumejenga kwa pesa yetu wenyewe hapo ndio tofauti ipo hapo..!...Polen na sisi hatujasema kitu ni nyie ndio mmeanza kutushambulia mara itakuwa chini ya kiwango subirin iishe ndio muongee...ila wakenya wenye akili wanahoji hii imekuwaje kuliko kutetea ufisadi ambao hufaidiki nao.!
nasubIri makala ya Makau Mutua the Standard..
 
Uki shinda any tanzanian argumemt Default ni Alshabaab ...si mlete JWTZ tuone kutaendaje IDIOT
Tatizo lenu mna wivu sana hamtaki kuona wenzenu wakifanya vitu vya kimaendeleo ..... halafu acha kufananisha JWTZ na vitu vya kijinga waulize M23 walichofanyiwa ndo uzungumze ombeni msaada JWTZ ije kuwasaidia in short nyie wakenya mnajisifu sana na mnajiona mpo juu .....IDIOT mwenyewe
 
Usd 4.05/km ? Kilam unamatatizo wewe. Hii dola 4.05 ni sawa na shilling ngapi. Hata elfu 10 haifiki ndo utengeneze kilometre ya SGR mmmmh

Binadamu watu wa ajabu sana. Mwenzio kaandika 4.05m/km wewe unaandika 4.05/km halafu unajifanya kumshangaa na kumwona mjinga wkt ni kinyume chake
 
Wivu na kuumia roho inaanza pale umenunua gari kwa $3,000 tena hela umechukua loan na jiran yako kanunua kama lako but its new model kwa $1,500 kwa pesa yake hapo ndio utaanza kuumia na wivu na ukizidiwa utasema tu gari bovu lile nayajua mimi..sisi tupo na Jembe Magufuli hana mzaha na mtu waulize wajapan waliotengeza bara bara chini ya kiwango magufuli akiwa waziri walimjua ye ni nani na bara bara wakairudia kwa gharama zao.!..wenye akili washapata ten percent yao from exim bank ya china nyie kulen stress na jiandaen kulipa deni hilo hadi watoto wenu sisi tumejenga kwa pesa yetu wenyewe hapo ndio tofauti ipo hapo..!...Polen na sisi hatujasema kitu ni nyie ndio mmeanza kutushambulia mara itakuwa chini ya kiwango subirin iishe ndio muongee...ila wakenya wenye akili wanahoji hii imekuwaje kuliko kutetea ufisadi ambao hufaidiki nao.!
Hiyo kadanganye wenzako kule vijiweni, sio sisi..... GoT imetoa $500million pekee ili ianze ujenzi ikingojea loan ya turkey iingie..... Turkey inawapatia loan ya $1.2Billion yote kwa pamoja inafika karibia $1.8Billion............ Narudia tena, nyinyi mmetoa $500m pekee!
Tene Kenya imejenga stesheni ningi zaidi tena kubwa kubwa, isitoshe, kwa pesa hizo hizo, Kenya inanunua vichwa vya treni 54 na mabehewa zaidi ya 1,600... Sasa tuone dar itanunua treni ngapi na loan ya $1.2B kutoka turkey
 
RE: “Poor collaboration is hindering regional railway project – report” (The New Times Rwanda, March 13).

Last time we learned that President (John) Magufuli (of Tanzania) has been able to negotiate a similar standard gauge railroad at $1.5 million per kilometre.

Dear EALA MPs, it is too early to conclude that Tanzania got a better deal. There is no way you can finance the construction of a one-kilometre Standard Gauge railroad for $1.5 million. Just imagine the cost of the steel rails alone, and without even including the cost of cement, rocks, excavation and labour.

I am not a civil engineer but common sense tells me that the Tanzania deal will end up being so bad that their railway will be of poor quality, very dangerous and more costly in the long run.
read more at Beware of cheap rail projects
Ju.ha ubongo wa mende akili kisoda nyumbu popoma mifi we[emoji23][emoji23]
 
Hiyo kadanganye wenzako kule vijiweni, sio sisi..... GoT imetoa $500million pekee ili ianze ujenzi ikingojea loan ya turkey iingie..... Turkey inawapatia loan ya $1.2Billion yote kwa pamoja inafika karibia $1.8Billion............ Narudia tena, nyinyi mmetoa $500m pekee!
Tene Kenya imejenga stesheni ningi zaidi tena kubwa kubwa, isitoshe, kwa pesa hizo hizo, Kenya inanunua vichwa vya treni 54 na mabehewa zaidi ya 1,600... Sasa tuone dar itanunua treni ngapi na loan ya $1.2B kutoka turkey

Acha upuuzi wewe na kujifanya mjuaji wakati hujui kitu, hizo US$500m ni kwa bajeti ya 2016/2017 tu, 2017/2018 zitaongezwa US$500m nyingine na 2018/2019 zitatolewa pesa zilizobaki.

Soma bango hilo uone nani ni mtoa pesa.

17883931_10155282774897318_4051073152020393186_n.jpg
 
Hiyo kadanganye wenzako kule vijiweni, sio sisi..... GoT imetoa $500million pekee ili ianze ujenzi ikingojea loan ya turkey iingie..... Turkey inawapatia loan ya $1.2Billion yote kwa pamoja inafika karibia $1.8Billion............ Narudia tena, nyinyi mmetoa $500m pekee!
Tene Kenya imejenga stesheni ningi zaidi tena kubwa kubwa, isitoshe, kwa pesa hizo hizo, Kenya inanunua vichwa vya treni 54 na mabehewa zaidi ya 1,600... Sasa tuone dar itanunua treni ngapi na loan ya $1.2B kutoka turkey

Hizo habari umeziokota wapi?? Kujitia ujuaji ndiyo maana mmetapeliwa na wajanja, mpaka reli yenu ikamilike mtauza mbuga zenu za wanyama( Masai Mara na Tsavo)
 
Hizo habari umeziokota wapi?? Kujitia ujuaji ndiyo maana mmetapeliwa na wajanja, mpaka reli yenu ikamilike mtauza mbuga zenu za wanyama( Masai Mara na Tsavo)
Kama hata hujui mliomba loan kutoka turkey jameni.. Nikusaidieje wewe mtanzania hujui hata inchi yenu imeomba pes angapi...
 
Kama hata hujui mliomba loan kutoka turkey jameni.. Nikusaidieje wewe mtanzania hujui hata inchi yenu imeomba pes angapi...

Huo mkopo ni kwa awamu ya pili ya ujenzi, Morogoro-Makutupora, Dodoma. Awamu ya kwanza Dar-Moro pesa yote inatolewa na serikali ya Tanzania.
 
Kama hata hujui mliomba loan kutoka turkey jameni.. Nikusaidieje wewe mtanzania hujui hata inchi yenu imeomba pes angapi...

The problem with some of you Guys is always trying to be bigger than your heads, an inflated view of you importance in East Africa ndiyo itawamaliza nawambieni.
 
Huo mkopo ni kwa awamu ya pili ya ujenzi, Morogoro-Makutupora, Dodoma. Awamu ya kwanza Dar-Moro pesa yote inatolewa na serikali ya Tanzania.

Mkuu don't waste your precious time ku reason na jamaa huyu, kinacho msumbua ni wivu tu hana lolote - kujitia ujuaji mwingii, unaweza kuwa na a meaningful discussion na mtu kama MK254 lakini siyo huyu kilaza.
 
Kama hata hujui mliomba loan kutoka turkey jameni.. Nikusaidieje wewe mtanzania hujui hata inchi yenu imeomba pes angapi...

Ndiyo maana bado na insist kwa kusema kwamba your analytical mind is insanely skewed, honestry!! Yaani wewe Mkenya unajitia kujua masuala ya Tanzania kuliko Watanzania wenyewe - strange, don't you think??
 
Hiyo kadanganye wenzako kule vijiweni, sio sisi..... GoT imetoa $500million pekee ili ianze ujenzi ikingojea loan ya turkey iingie..... Turkey inawapatia loan ya $1.2Billion yote kwa pamoja inafika karibia $1.8Billion............ Narudia tena, nyinyi mmetoa $500m pekee!
Tene Kenya imejenga stesheni ningi zaidi tena kubwa kubwa, isitoshe, kwa pesa hizo hizo, Kenya inanunua vichwa vya treni 54 na mabehewa zaidi ya 1,600... Sasa tuone dar itanunua treni ngapi na loan ya $1.2B kutoka turkey
Ngoja nipunguze ujinga wako, kipande cha Dar- Moro ni 300km, chote kitagharimu 2.8tr Tsh(1.3bn $ ) na pesa yote itatolewa na GoT, ujenzi utachukua miezi 30 na GoT imeshatoa 500ml $ kwa bajeti inayoisha. Kwa bajeti mbili zinazofuata 2017/2018 na 2018/2019 itatoa tena 500ml $ na 300ml $ respectively.

Kipande cha Moro- Dodoma ndicho serikali inategemea kupata mkopo wa masharti nafuu kutoka benki za Uturuki na Dom na kuendelea watachukua mkopo kutoka world bank. Ni matumaini yangu nimepunguza ujinga wako na utakuwa balozi mzuri wa Reli ya Tz.
 
Back
Top Bottom