Kafrican
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 7,251
- 7,037
Turkey bado haijasema itatoa pesa ngapi, kwasasa ni pesa za Tz pekee ndo zinatumika, za turkey bado hazijaingia kama nilivyosema hapo awaliAcha upuuzi wewe na kujifanya mjuaji wakati hujui kitu, hizo US$500m ni kwa bajeti ya 2016/2017 tu, 2017/2018 zitaongezwa US$500m nyingine na 2018/2019 zitatolewa pesa zilizobaki.
Soma bango hilo uone nani ni mtoa pesa.
![]()
Sitaweka hata article moja ya Kenya, Nita quote zile ambazo si za Kenya
Tuanzie hapa ambapo serikali ya tz yenyewe kupitia JPM akiri kwamba hataweza kutoa zaidi ya $500m.
Mota Engil bags Tanzanian railway construction contract
FIRST BUGESERA AND NOW TANZANIA’S SGR CONSTRUCTION AS MOTA ENGIL SPREADS ITS WINGS
(Posted 05th February 2017)

image29

image30
Regular sources in Dar es Salaam have confirmed that the Tanzanian government has wasted no time following the visit of Turkish President Erdogan two weeks ago.
It is understood that a Turkish company, Yapi Merkezi, has emerged as the top contender to help construct some 300 kilometres of the new SGR, short for Standard Gauge Railway along Tanzania’s central transport corridor.
The company signed relevant contracts with the Railway Assets Holding Company on Friday, alongside Portuguese company Mota Engil, which rose to sudden prominence outside Portuguese speaking countries in Africa last year when it signed a major deal with the Rwandan government to construct and manage under a concession agreement, the new international airport in Bugesera outside Kigali.
The deals are worth some 2.7 trillion Tanzania Shillings and cover a portion of the line which will eventually be 1.300 kilometres long, linking the port of Dar es Salaam with hinterland countries like Rwanda and Burundi and possibly extend as far as Eastern Congo.
Construction, due to start within two months, is estimated to take some 2 1/2 years to complete but other sections too need to be constructed at the same time to make the entire line operational.
It could not be established to what extend Turkey will step up in co-financing the project as the sources claim Tanzania at present will only be able to inject 1 trillion Tanzania Shillings into the project, needed additional financial resources to complete the project in time.
It is expected that contracts for other sections of the new central SGR line will be awarded over the coming weeks to fast track the project and bring the railway connection to Rwanda in on time, ahead of the Mombasa – Nairobi – Naivasha – Malaba – Kampala line
----------------------
1 Trillion Tanzanian shillions is approximately $450 Million dollars.......
---------------------------------
Hii hapa reference nyengine, Soma hapo hio paragraph left of 9, The govt already has the 1 trillion but will start the Construction and the rest will come from lenders.... And they were appealing for donors!!
Turkey company signs $1.1bn TZ railway deal
GCR - News - Tanzania courts Turkey for its rail megaproject, casting doubt on China’s role
Magafuli also asked Erdogan for a Turkish loan to finance a 400km stretch of the track, Daily News reports, and received in return a pledge from Erdogan that Turkey’s finance minister would “work on it”.
The government of Tanzania has allocated $500m of its own money in its current budget to fund the scheme.
Kwasasa mmetoa $500 pekeyake, Dili mliyopiga na campuni ya turkey ni ya $1.2B, Construction yenyewe inatarajiwa kuchukua Miezi 30 au mwaka mmoja na nusu, Sasa we niambie kutoka sasa hadi juni mwaka ujao ambapo bajeti itasomwa tena, mnatarajia watatumia chini ya $500 kweli? ela hamtabaki mkisongeza deadline ya completion?Huo mkopo ni kwa awamu ya pili ya ujenzi, Morogoro-Makutupora, Dodoma. Awamu ya kwanza Dar-Moro pesa yote inatolewa na serikali ya Tanzania.
Tena isitoshe hizo pesa zengine kama bado mnapanga kulipia SGR zitatoka kwa Eurobond, Eurobond bado ni loan ya aina nyengine ambayo ukipewa unaeza itumia kwa lolote lile utakalo bila condition..
http://sadc.einnews.com/article__de...or-sgr-funds-leaves-china-in-limbo?vcode=XIbw
Tanzania's turn to Turkey for SGR funds leaves China in limbo
Jan 30, 2017
A railway line that once linked Kenya’s coast to Tanzania is no longer in use. Tanzania will use proceeds from a Eurobond and concessional loans to fund its standard gauge line. PHOTO | FILE Tanzania is looking at using proceeds from its $700 million Eurobond and concessional loans to fund the construction of its standard gauge railway, making a big policy shift from its regional … (continue reading)
Kwahivyo mnaeza mnaruhusiwa kuandika mabango mkisema government funded, Lakini pale kwa wizara ya afya kuna recite inaokota interest polepole tu