Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yah, Makamba also emphisized in one of his speech that " ... Kelele za mpangaji hazimuzuii mwenye nyumba ....." refering JK to mwenye nyumba and others esp. those belonging to the opposition camp as Wapangaji .I'm a bit confused. If we keep complaining it wont help! JK once said with arrogance "kelele za chura hazimzui ng'ombe kunywa maji"...
Yah, Makamba also emphisized in one of his speech that " ... Kelele za mpangaji hazimuzuii mwenye nyumba ....." refering JK to mwenye nyumba and others esp. those belonging to the opposition camp as Wapangaji .
This is a national security issue, just like a Cholera, TB or AIDS outbreak. We need to treat it with high importance.
Tanzania government need to split Tanesco into three segment. Generation, Transmission and Distribution. Then privatize the whole thing, no government in the world can run any company for profit.
Makampuni binafsi yawe na kazi ya kuuza na kusambaza na kuhakikisha kuwa hakuna kampuni ambayo inasambaza umeme zaidi ya asilimia 25 ya nchi; lengo ni kuondoa monopoly. Upande mwingine Tanesco pia inaweza kubakia katika kusambaza njia za umeme na makampuni yenye kuuza umeme yanakodisha njia za Tanesco na kulipa (capacity charges).
This is a national security issue, just like a Cholera, TB or AIDS outbreak. We need to treat it with high importance.
Stiegler Gorge mkuu ipo mto rufiji na ina uwezo wa kuzalisha umeme tukaondoa tatizo la umeme tanzania na maji yake hayaitaji mvua kunyesha sasa la kushangaza watu wanafikiria kujenga a Nuclear Power Plant badala ya kuangalia a cheaper option kama hii. Vilevile kuna umeme wa makaa ya mawe kwanini wasiufufue kuzalisha umeme. Tanzania if they are serious tunaweza kuzalisha umeme tukawauzia hata majirani zetu, but viongozi wetu wanataka kujifanya hawayaoni haya kwani wanaopt katika project ambazo wanajua na wao wanafaidika.
In Egypt, people revolted demanding better living conditions. Let us not find comfort on Mkaa, Vibartari and Mishumaa and declare there is no need for electricity!
If we could be together, this problem could have been solved since then. But the decision makers and implementers have two different thoughts and acts. The biggest problem in our system is political relying style of every plans. Nothing is considered and treated technically.
Wazo ni zuri sana lakini inabidi tuwe waangalifu sana itakuwa monopolised na wakubwa tu kama vile kazi za parking (Ngombale Mwiru) au TICTS (Karamagi) etc etc...