Tanzania’s mobile money transactions totals $22.5 billion

Hilo swali limekua irrelevant, it doesnt matter how many months or quaters iwe 2 quarters or one quarter or even 3 quarters, muhimu is the yearly total tranaction,,,, at the end of the day the fact is $35B was transacted
M-Pesa continues to dominate Kenyan market - Mobile World Live
Angalia GDP ya Kenya according to WB report ya 2017 katika hii article

mnatafuta kila aina ya escape route lakini wapi, eti unajaribu kutumia link ya gazeti kama source ya WB, kwani hao WB hawana tovuti yao ilyo na data za GDP 2017.....

ungekua uliangalia date ya hio taarifa ungeona kwamba ni ya 25 JAN 2017 which means GDP inayoongelewa hapo ni ya 2016... jamaa wa kujifanya na akili nyingi cant figure that out
 
Acha kutujazia server bila sababu, ili upate total amount transected according to your formular, ni lazima ujumlishe Q1+Q2+Q3+Q4 =$35B, if Q3=$17, then Q1+Q2+Q3=$18B
this means
Q1 = $6B
Q2 = $6B
Q3 = $17B
Q4 = $6B
Total =$35B

This trend can only occur in Kibera sub continent [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 

bravo brother.
thanks for your critical thinking, interpretation, conceptualization and linking ideas.
 
Jiwe linalowaka moto sikiliza.Kwa mfano, kama ningekuambia kuwa hio $17 B ni ya quarter mbili, basi so what? Hio haibadilishi the fact that KE imetrade over $30 B through Mpesa in one full year. Sasa fanya hivi, niletee yearly figures ya T.Z halafu ikiwa nyingi kushinda KE, nitakuwa wa kwanza kukubali na kukupa heshima unayostahili, la si hivyo basi kila mtu afyate ndimi
 
Tofauti yetu kati ya mimi na wewe, na inawezekana kati ya Kenya na Tanzania ni kwamba sisi tunaeleza mambo scientifically, sifa kubwa ya scientific approaches ni kwamba results can be reproduced, yaani unaweza kuelezea ni jinsi gani umeweza kupata hayo matokea, na hata ukirudia tena utafikia matokeo yale yale. Wewe unatumia ushabiki, patriotism, siasa na kutaka sifa katika kujenga hoja zako, hutaki wala huna uwezo wa kuelezea umewezaji kupata last results(last figures).

Mimi nimekuambia kwamba hizi data ni cummulative, yaani results ya Q3 inapatikana baada ya kujumlisha transactions zote za Q1,Q2 na Q3, wewe unasema hapana kila moja inajitegemea, kutokana na hoja yako ni kwamba Q3 pekee Kenya mobile Money transected ni $17B, unapaswa utuambie Q1pekee ni kiasi gani, na Q2 pekee ni kiasi gani, ili itakapofika Q4 tukijua ni kiasi gani, haitokua siri wa vigumu kujua kwa mwaka mzima kiasikilichopatikana, ukishindwa kuelezea kwa uwazi jinsi ya kufikia total amount of Money transected per year kwa njia hii badala yake unatuletea just a figure bila maelezo, sio rahisi kuaminika.

Hadi sasa umeshindwa kutaja amounts za Q1 na Q2, kwa hiyo hiyo Q3=$17B itabaki kuwa cumulative sum of Q1+Q2+Q3, kwa maani hiyo, Tanzania Q3=$17+B; Kenya Q3=$17+B, unless you produce evidence.
 
Unasema sijatumia evidence? Haya basi, Kafrican amepost report from central bank inayosema Kenya imetrade more than $34 B per year. Soma hiyo report yake hapo juu kisha utupee report ya T.Z full year transaction. Usiongee kuhusu $17B, wewe leta data ya T.Z ya one full year tucompare na yetu.
 
Mimi ninataka kwanza tukubaliane kwamba hizi ripoti ni cummulative au not, huko ndiko ambako mjadala wetu ulikotokea, mimi nimesema ni cummulative, wewe unasema kila Quoter inajitegemea, usikimbilie kwenye total amount ya mwaka, kwanza mwaka haujatimia bado Q4, na hadi sasa Q3, Tanzania $22B, Kenya $17B, tusubiri report ya Q4 ndiyo tuweze linganisha amounts za mwaka mzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…