Tanzania's Nando has been Disqualified from the Big Brother House

Tanzania's Nando has been Disqualified from the Big Brother House

Its true asipotoka this week Feza akatambike but there is possibility kuwa anatoka on sunday yeye pamoja na bwana wake...Feza alianza vizuri sana i don't know what went wrong...i like the other girl Dillish that girl is smart anajua amekwenda pale kutafuta nini na siyo kuendekeza mapenzi...Feza badala ya ku-play game anabakia kuangalia maisha ya watu na kuendekeza gossip...play your game...its all about money girl....at the end of the day huyu mwanaume atakupeleka wapi....mapenzi ya long distance Botswana na Tanzania mmh.....Mwanaume mwenyewe anaonekana very controlling...

yaani kapoteza muelekeo wote wa game....

anadhani yatatokea kama yale ya Kelvin na Eliza Gupta
 
yaani kapoteza muelekeo wote wa game....

anadhani yatatokea kama yale ya Kelvin na Eliza Gupta


Hahaha atashangaa yatatokea kama ya Richard na Tatiyana...Bahati ya mwenzako usiilalie mlango wazi....The guy is smart but he is very very controlling and insecure....I hate a man who is insecure ina maana hana confidence
 
Hahaha atashangaa yatatokea kama ya Richard na Tatiyana...Bahati ya mwenzako usiilalie mlango wazi....The guy is smart but he is very very controlling and insecure....I hate a man who is insecure ina maana hana confidence

Sie yetu macho tutamsubiri pale Kipawa......

maana ye tunajua lazima akanyage TZ sio ka Nando
anaeza pitiliza zake Marekani
 
hapo kwenye nyekundu siyo kweli , hakuna watu waoga kama watanzania.

Uoga au ujasiri wa mtu hautokani na utaifa wake ni tabia ambayo kila mwanadamu anayo indendepently kwaiyo unataka kusema taifa gan duniani hakuna mtu muoga?
 
Uoga au ujasiri wa mtu hautokani na utaifa wake ni tabia ambayo kila mwanadamu anayo indendepently kwaiyo unataka kusema taifa gan duniani hakuna mtu muoga?


kasome vizuri mjadala ulipoanzia.........

ila pia yes watanzania wengi ni waoga kuchukua maamuzi magumu.
 
Back
Top Bottom