Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Its true asipotoka this week Feza akatambike but there is possibility kuwa anatoka on sunday yeye pamoja na bwana wake...Feza alianza vizuri sana i don't know what went wrong...i like the other girl Dillish that girl is smart anajua amekwenda pale kutafuta nini na siyo kuendekeza mapenzi...Feza badala ya ku-play game anabakia kuangalia maisha ya watu na kuendekeza gossip...play your game...its all about money girl....at the end of the day huyu mwanaume atakupeleka wapi....mapenzi ya long distance Botswana na Tanzania mmh.....Mwanaume mwenyewe anaonekana very controlling...
yaani kapoteza muelekeo wote wa game....
anadhani yatatokea kama yale ya Kelvin na Eliza Gupta