Nikweli kwamba katika eneo hilo Magufuli hafanyi vizuri sana, na ninaweza kusema tangu magufuli ameingia madarakani, Tanzania imekua ikiporomoka kimataifa katika viwango vya demokrasia hasahasa katika kipengele cha uhuru wa kujieleza, yaani freedom of expression, lakini bado ipo juu ya Kenya, mwenye kutaka kujua zaidi anaweza kwenda kwenye websites za transparency international ajionee,Mkuu ninyi mna uhuru wa kuongea sana, nilishangaa majuzi kusikia watu wakimshutumu Uhuru waziwazi kwa magazeti na redio kwa kitendo cha kuwatolea majaji lugha mbaya.
Tz ya sasa huwezi, malaika haguswi hata kama akikosea.
Can you please give out the impact of those blabla made by tundu .Opposition MP Tundu Lissu's condition is improving at a hospital in Kenya's Nairobi, his party says.
Tanzanian opposition legislator Tundu Lissu is recovering in a Kenyan hospital after being wounded in a gun attack at his residence in Tanzania's administrative capital, Dodoma, according to his party.
Abdallah Safari, the vice president of main opposition party CHADEMA, said at a news conference on Friday that Lissu was taken to the Aga Khan hospital in neighbouring Kenya's capital, Nairobi, "after a decision by his family and his party".
"His health is improving," he said.
Vincent Mashinji, CHADEMA secretary-general, said: "Those who wanted to kill him have failed."
The motive for the shooting by unknown gunmen was unclear.
READ MORE: Tanzania: Opposition MP Tundu Lissu wounded by gunmen
Lissu, 49, was attacked at his home in Dodoma on Thursday, after returning from a parliamentary session.
He was shot in the stomach and leg, according to local media reports, with party spokesman Tumaini Makene describing his condition as "critical".
According to party leaders, Lissu had previously complained to being "tailed" by a car and repeatedly said he feared assassination.
"Party members are afraid," Safari said.
Police said on Thursday they had opened an investigation.
Rights groups, Tanzania's government and others have condemned the shooting.
In a statement, President John Magufuli's ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) party also condemned "this cruel and inhuman act".
Magufuli tweeted that he was "shocked to hear the news of the attack on Tundu Lissu and I pray to God almighty that he will soon recover".
Government critic
Lissu has had a series of run-ins with Magufuli's government, and has been arrested at least six times this year, accused of insulting the president and disturbing public order, among other charges.
He serves as chief whip for the parliamentary opposition and is president of Tanzania's bar association, the Tanganyika Law Society, as well as being CHADEMA's attorney general.
His most recent arrest was in August, after revealing that a plane bought for the national carrier had been impounded in Canada over unpaid government debts.
Mimi nataka sisi miAfrika tufike pale nchi ya Israel imefika kidemokrasia na kisheria.Sasa hivi bibi wa Waziri Mkuu anachunguzwa kwa sababu ya rushwa na Waziri Mkuu wa zamani Ehud Olmert ametoka jela juzi tu kwa shtaka alilopewa la kula rushwa.That's real rule of law example kutoka Israel.Mkuu ninyi mna uhuru wa kuongea sana, nilishangaa majuzi kusikia watu wakimshutumu Uhuru waziwazi kwa magazeti na redio kwa kitendo cha kuwatolea majaji lugha mbaya.
Tz ya sasa huwezi, malaika haguswi hata kama akikosea.
...Well said [emoji106]Kwani unadhani alienda kwa miguu huko Nairobi toka Dodoma? Walikodi private jet na kuna mipango ya kumsafirisha overseas for further check ups.
Kingine ni namna ya kupeleka political statement kwa watawala wa CCM baada ya Bunge kukataa kumpeleka India on his critical situation na kulazimisha Muhimbili ambapo usalama wake ungewekwa rehani . Ikumbukwe wananchi wameomba kuchangia wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
impact???Can you please give out the impact of those blabla made by tundu .
Sent using Jamii Forums mobile app
Enlightenmentimpact???
1. enlightement
2. government accountability
3. Instigated need for Transparency in other goverment dealings among others
so lisu has no actions to go simultaneously with his beliefs??? we all know lisu is one of the bes lawyers and in the parliament he is the most vital MP when it comes to ammendment of bills at the same time he has enlightened masses abt legal issues in Tanzania from constitution to basic rights now basing on this fact what has lissu believed/said but didnt execute it in real life setting!!Enlightenment
Acountability
Transparency.
Those are not the agendas of Tundu.
Refers to Mr Zito action s, goes with subjects EAT.
Sent using Jamii Forums mobile app
With what references to call him best lawyer?so lisu has no actions to go simultaneously with his beliefs??? we all know lisu is one of the bes lawyers and in the parliament he is the most vital MP when it comes to ammendment of bills at the same time he has enlightened masses abt legal issues in Tanzania from constitution to basic rights now basing on this fact what has lissu believed/said but didnt execute it in real life setting!!
Geza ulole sio kweli kwamba serikali imekataa kumtibu, sheria na kanuni tulizojiwekea ni kwamba ni lazima mtu yeyote ili apelekwe nje, ni hadi pale itakapothibitishwa kwamba hawezi kutibiwa hapa nchini, na hiyo ni lazima madaktari bingwa wa serikali wathibitishe na kumpa uhamishao, hivyo basi ilimpasa apelekwe Muhimbili kwanza, na bunge lilishaanda usafiri wa ndege kumpeleka Muhimbili ambako madaktari bingwa wangemfanyia assessment na endapo wangeona hawawezi kumtibu wangetoa referral ambay inatumika kama supporting document ya kuruhusu wiza husika zitoe pesa na kufanya logistics nyingine ikiwemo kulipia madaktari na nurses wa kumsindikiza, watu wote wamepitia mfumo huo.Kwani unadhani alienda kwa miguu huko Nairobi toka Dodoma? Walikodi private jet na kuna mipango ya kumsafirisha overseas for further check ups.
Kingine ni namna ya kupeleka political statement kwa watawala wa CCM baada ya Bunge kukataa kumpeleka India on his critical situation na kulazimisha Muhimbili ambapo usalama wake ungewekwa rehani . Ikumbukwe wananchi wameomba kuchangia wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
WORST LAWYER.are you happy?
due to his impact in the parliament in giving out super alternatives to different sections of various acts in parliament refering to cybercrime act chief opposition critic from CCM Hon lusinde stressed out that no matter how he hated lisu and opposition but due to lisu's contribution towards that act he officialy declared him the best MP in tanzania
Those are personal achievementsdue to his impact in the parliament in giving out super alternatives to different sections of various acts in parliament refering to cybercrime act chief opposition critic from CCM Hon lusinde stressed out that no matter how he hated lisu and opposition but due to lisu's contribution towards that act he officialy declared him the best MP in tanzania
Reference 2 was during his time in "kamati ya kanuni" during constitutional assembly he was termed by the speaker and cc mps as an asset in Tanzania and thus he should be appointed AG of Tanzania/legal affairs minister
reference 3 was his landslide victory during the bar association election whereby his fellow lawyers gave him a majority to be thr leader hence showin that all most lawyers appreciate his efforts in Tanzania especially in the legal field
what else do i need to say so as to believ that lisu is indeed the best!!!
Wewe ni wa Sisiemu au Chadema?Kwani unadhani alienda kwa miguu huko Nairobi toka Dodoma? Walikodi private jet na kuna mipango ya kumsafirisha overseas for further check ups.
Kingine ni namna ya kupeleka political statement kwa watawala wa CCM baada ya Bunge kukataa kumpeleka India on his critical situation na kulazimisha Muhimbili ambapo usalama wake ungewekwa rehani . Ikumbukwe wananchi wameomba kuchangia wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona nyinyi mwafanya Harambee! Watanganyika huwa tunajaliana hata kwa kidogoAstaghfirullah.
Muqtasari wote huu wa nini!!!? Mimi nimeuliza tu!! Huenda gharama pale Agha Khan ipo juu?? Sijaona hata siku moja, hata MCA Kenya akaomba msaada waaina hiyo hata kama anaenda matibabu India au USA au UK.
Mfano Anyang Nyongo, Alienda London matibabu akalazwa miezi sikusikia mchango.
Governor wa Bomet Isaac Rutto alienda Matibabu Africa Kusini, sikuona mchango. Na wengi wengine.
Kuuliza maana hapo Agha Khan, sidhani kama atatumia milioni zaidi ya tatu pesa za Kenya, ongeza milioni mbili za usafari na matumizi. Yaani kama imezidi sana, milioni sita pesa za kenya (milioni mia moja pesa za Tanzania) Hivi hawezi hizo yeye kama mbunge tena rais wa chama cha wanasheria kule Tanzani?
Wabunge Bongo hulipwa hela ngapi kwa mwezi?
Huyu jamaa anapitia magumu, mara anapimwa mkojo, mara anakamatwa kamatwa, mara anapigwa marisasi... Dah inabidi uwe na moyo wa simba ili maisha ya huyu, maana mimi hata kwa mabilioni siwezi, haya mambo ya kupambana yana wenyewe.
Nilipambana enzi za rais Moi, lakini mabomu ya machozi yalinitosha, huyu bwana Lissu haachi hata akilimwa vipi.
Hongera sana Lissu, ushujaa wako utaandikwa kwenye vitabu vya historia za Afrika. Watu wa kihivi ni wachache na huja na kutuaga duniani, lakini michango yao inabaki ikisomwa na vizazi baada ya vizazi.
Unaweza kutupa udhibitisho kwambaGeza ulole sio kweli kwamba serikali imekataa kumtibu, sheria na kanuni tulizojiwekea ni kwamba ni lazima mtu yeyote ili apelekwe nje, ni hadi pale itakapothibitishwa kwamba hawezi kutibiwa hapa nchini, na hiyo ni lazima madaktari bingwa wa serikali wathibitishe na kumpa uhamishao, hivyo basi ilimpasa apelekwe Muhimbili kwanza, na bunge lilishaanda usafiri wa ndege kumpeleka Muhimbili ambako madaktari bingwa wangemfanyia assessment na endapo wangeona hawawezi kumtibu wangetoa referral ambay inatumika kama supporting document ya kuruhusu wiza husika zitoe pesa na kufanya logistics nyingine ikiwemo kulipia madaktari na nurses wa kumsindikiza, watu wote wamepitia mfumo huo.
Sasa kama mtu anataka asipitie mfumo huo ina maana yupo tayari kujilipia, serikali haina kipingamizi katika hilo, ila haitohusika kulipia gharama. Kwa taarifa yako, kama angepelekwa Muhimbili wala asingepelekwa nje kwa sababu Dodoma walikuwa wameshafanya sehemu kubwa ya kutoa risasi tumboni na kwa kuwa alipoteza damu nyingi, walishamuwekea damu, condition yake ilishakuwa stable kwa hiyo muhimu ni kumfanyia monitoring tu, ndicho anachofanyiwa huko Nairobi.
Sababu kubwa ya Lisu kupelekwa Nairobi ni za kiusalama, hilo linaeleweka kwamba hakuna kuaminiana kati ya Chadema na serikali, sasa haiwezikani tena mtu usiyeaminiana naye usikilize ushauri wake, Chadema imekataa ushauri wa kumpeleka Muhimbili, na Serikali haiwezi kusikiliza Chadema vile wanavyotaka, hasa kwa sababu ni kinyume na taratibu za serikali
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila shaka, muulize Zitto alivyopelekwa India kipindi kile cha Kikwete ambapo system zilikua loose sio kama sasa hivi zilivyo tight, na bado atakuambia kwamba alipitia mlolongo huo huoUnaweza kutupa kwamba s
Speaker Ndungai anavyoenda India hupewa vibali kwanza Muhimbili?
Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app