Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Kuna mambo huwa nikawaza na kuwazua naona vitukuu watatushangaa Sana..., De Beers ameweza kupata pesa nyingi sana na kuwa Kampuni kubwa ambayo ni (Cartel) kwa kuweza kuwaaminisha watu kwamba Almasi ni Adimu sana na inapatikana kwa shida na sehemu chache sana (Ingawa ukweli Almasi ni nyingi ila wao ndio wanao-control soko) na wamewajengea watu fikra kwamba Diamonds are Forever na kwamba ni zawadi adhimu sana kumpa mpenzi wako mfano kwenye ndoa (yaani unamthamini zaidi)
Ila ukweli ni kwamba Tanzanite ni Adimu kiuhalisia na wala sio artificially kama Almasi, na inapatikana Tanzania tu (single source) na huenda miaka kadhaa ijayo kukawa hakuna tena Tanzanite ya kuchimba ingawa Almasi hata maabara unaweza kuzitengeneza na kuna watu wanazitengeneza....
Sasa cha kujiuliza kweli hili taifa letu ni la kuendelea kulalamika na wananchi wake kulialia njaa ? Ifike wakati kama taifa tuangalie jinsi ya kutatua matatizo yetu from within na sio kutafuta mchawi nje....
www.jamiiforums.com
Ila ukweli ni kwamba Tanzanite ni Adimu kiuhalisia na wala sio artificially kama Almasi, na inapatikana Tanzania tu (single source) na huenda miaka kadhaa ijayo kukawa hakuna tena Tanzanite ya kuchimba ingawa Almasi hata maabara unaweza kuzitengeneza na kuna watu wanazitengeneza....
Sasa cha kujiuliza kweli hili taifa letu ni la kuendelea kulalamika na wananchi wake kulialia njaa ? Ifike wakati kama taifa tuangalie jinsi ya kutatua matatizo yetu from within na sio kutafuta mchawi nje....
Tanzania (Cradle of Humanity na Moja ya Chimbuko la Mapinduzi Afrika) - The Untapped Cash Cow kupitia Utalii
Tanzania - Chanzo cha Binadamu Kwanza kabisa ya Kaisari tumuachie Kaisari....; Tukifuata Historia Tanzania ni kwamba Chimbuko la Binadamu wa Kwanza ni nchini Tanzania Olduvai Gorge.., Ni kwamba hapa ndio Chanzo cha Binadamu na wote tumetokea hapa....; - Sasa hapo utaona kama vile watu...