Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,938
Alex Ssempijja mwenye miaka 14 kutoka Katwe amefariki siku ya Jana Jumatatu usiku baada ya ajali ya Baiskeli Mjini Kampala, Mwanamuziki Eddy Kenzo amethibitisha.
Kwa wale wasiomfahamu marehemu ni kwamba ni mmoja wa dancers wa kundi Ghetto Kids ambalo linaundwa na watoto wakali wa kutoa burudani.Wana video nyingi sana lakini nitashare nanyi moja iliyobamba sana.
Rest In Peace Alex
Kwa wale wasiomfahamu marehemu ni kwamba ni mmoja wa dancers wa kundi Ghetto Kids ambalo linaundwa na watoto wakali wa kutoa burudani.Wana video nyingi sana lakini nitashare nanyi moja iliyobamba sana.
Rest In Peace Alex
Ghetto kids pay last respects to Alex Ssempijja![]()
![]()
Source: bigeye
Attachments
Last edited by a moderator:


