miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
Mimi nafikiri wa bodaboda ndio aliesababisha kifo na sio ukosefu wa dawa...Kama aliumia vibaya na damu ikavuja sana bado angekufa tu hata kama angepelekwa Apollo India....Halafu 2020 utamkuta jukwaa la ccm anatumbuiza kuipigia kampeni ccm wakati baba yake amepoteza uhai kwa uzembe wa ccm kutojali kuweka dawa za kutosha mahospitalini.
Hapana sio Bangi mkuu. Ni pombe kali ndio zinawafanya wawe hivyo(viroba vya kimya kimya ) RIP MZEE.Waendesha bodaboda wengi wao wanaendeshwa na akili za bange.
Hapana sio Bangi mkuu. Ni pombe kali ndio zinawafanya wawe hivyo(viroba vya kimya kimya ) RIP MZEE.Waendesha bodaboda wengi wao wanaendeshwa na akili za bange.