Markberry1555
Senior Member
- Jan 6, 2019
- 147
- 164
Hao no low level agents.Labda zamani siku hizi tunashindanae kwenye Pub kama kawa na tunawajua
Sent using Jamii Forums mobile app
Yap wapo. Lakin ndio hivyo their true identities au kazi wanayoifanya eneo husika huto fahamu.Public wapo ila kujitambulisha huwa haipo wanakuwa ni watu wenye majukumu mengine nje ya ukweli wa majukumu yao.
Kwa nilie kuwa namjib anashani kuwa hawa qatu qana uniform . Kwamba wamzike mwenzao kama wanajeshi. Lakin taratib za kazi yao haziend hivyo.Usalama wanaonekana ila huwezi kuwatambua kuwa ni usalama maana hawana vibandiko usoni.
Mtu yoyote anaweza kuwa usalama katika mazingira yako ila kumtambua ni bidii yako.
Umeona like yangu huko?Pengine ni mgawanyo wa majukumu ama ni usia wa marehemu
Jr[emoji769]
Acha umbea mwache akaririMkuu hao ni TSS, sio mgambo. Jamaa hao huwa hawana mavazi maalumu. Hawapendi kuwa defined
Aisee....
Usalama wanaonekana ila huwezi kuwatambua kuwa ni usalama maana hawana vibandiko usoni.
Mtu yoyote anaweza kuwa usalama katika mazingira yako ila kumtambua ni bidii yako.
Ili iweje?Umtambue wa nini?
Hoja ya maana. utapata jibukwanza naanza kutoa pole kwa Taifa la Tanzania, kwa kupotelewa na mwanadiplomasia nguri, Kachero mbobezi,Mwalimu, waziri wa katiba na sheria, yani nina sifa nyingi za kuandika katika zoteeeee kupita zote alikuwa mgombea Urais kupitia Ccm mwaka 2015.
Sifa zote nilizozitaja, moja mubwa ni miongoni mwa makachero wazuri ni mjeshi huyu inakuaje mwili wake leo unabebwa na Jeshi La akiba?
ili limekaaje? mkuu wa TIS kubebwa na mgambo kwenda kuzikwa? jana tumeshuhudia Brigedia Jenerali Agustino Ramadhani akibebwa na Wanajeshi wenzake nina hakika ndie walio mzika.
Naomba kujua kwa nini Mkuu wa TIS abebwe na Mgambo?
Sent using Jamii Forums mobile app