TANZIA: Bi. Asha B. Makame afariki dunia

TANZIA: Bi. Asha B. Makame afariki dunia


Halafu umeona jamaa walikuwa wanamshangilia kabisa. Yaani kama Bungeni la kawaida nako kunakuwaga vile, matusi nje nje, Hatuna wawakilishi.
Yaani sinema ya Bunge Maalumu la Katiba Tanzania litabaki kwenye historia kwa kipindi kirefu sana na I am sure vizazi vijavyo vitasikitika sana kama vitashuhudia clips kama za Bi Asha Makame na Bw Sita
 
Alisema labda waipindue vinginevyo hawatoi nchi kwa makaratasi !sasa kapinduka yeye! Mungu mkubwa makaafir watangulie wasituharibie nchi.
Kwani na yeye alikuwa Kafir si alikuwa mwislam au kafir ina maana tofauti? Naomba kuelimishwa bandugu mimi ni mbara.
 
Apelekwe anapostahili
Yeye, waziri wa katiba toka Moro, Mzee wa kwenda msituni wametangulia. Tujifunze kuwa maisha ni pale unapopumua siyo utakuwa nani kesho. Mla mla leo mla jana kalani?
 
Unachanganya baina ya kafiri na mkristo. Kafiri ni mtu ambaye anakwenda kinyume na maadili ya Mungu, yaani kumkufuru. Kwa hiyo kafiri anaweza akawa mkristo, muislamu, pagan etc.
 
Natamani nipate comment ya Mh. Jusa baada ya huyu mama kufariki. Bila shaka kafariki bila kuiona katiba mpya aliyokuwa anaipigania kwa kuwatukana waliokuwa na mawazo tofauti na ya chama chake. RIP Mama Yetu!
 
Alisisitiza kuwa CCM haiwezi kuitoa Zanzibar kwa makaratasi labda mpaka zipigwe kavu kavu.
Sijaona tofauti ya kauli ya mama Asha na ile iliyofanya gazeti la Mawio lifungiwe.Kauli ya mama Asha na ya gazeti la Mawio zote zinaonyesha tunaelekea kubaya.
Apumzike kwa amani.
 
Alisisitiza kuwa CCM haiwezi kuitoa Zanzibar kwa makaratasi labda mpaka zipigwe kavu kavu.
Sijaona tofauti ya kauli ya mama Asha na ile iliyofanya gazeti la Mawio lifungiwe.Kauli ya mama Asha na ya gazeti la Mawio zote zinaonyesha tunaelekea kubaya.
Apumzike kwa amani.
Waziri kapata jibu toka ahera kuwa hata bara waliopata uhuru kwa karatasi ni binadamu wenye hesma kama wale walomwaga damu. Yaonekana walopata kwa makaratasi tu wanaishi kwa raha zao na wameweza kuwastiri wale walokimbia damu toka Zenj wamejaa pale Namanga Msasani na wana raha tu. Je wale walowakaribishwa kuhifadhiwa si wanadai haki ya nchi nzima? Nani mbara anaweza kudai kipande cha ardhi ya visiwani??? Nisamehe kama nimesema vibaya lakini nimekuwa zanzibar miaka ya 90 niliitwa sana kizota sababu ya kutovaa kitambaa kichwani najua machungu ya ubaguzi huko visiwani.
 
Kwani na yeye alikuwa Kafir si alikuwa mwislam au kafir ina maana tofauti? Naomba kuelimishwa bandugu mimi ni mbara.
Mtu asiyetambua utu na haki ya mty kupiga kura ni kafir tu acha afe.
 
Waziri kapata jibu toka ahera kuwa hata bara waliopata uhuru kwa karatasi ni binadamu wenye hesma kama wale walomwaga damu. Yaonekana walopata kwa makaratasi tu wanaishi kwa raha zao na wameweza kuwastiri wale walokimbia damu toka Zenj wamejaa pale Namanga Msasani na wana raha tu. Je wale walowakaribishwa kuhifadhiwa si wanadai haki ya nchi nzima? Nani mbara anaweza kudai kipande cha ardhi ya visiwani??? Nisamehe kama nimesema vibaya lakini nimekuwa zanzibar miaka ya 90 niliitwa sana kizota sababu ya kutovaa kitambaa kichwani najua machungu ya ubaguzi huko visiwani.

ZANZIBAR hali ni tete.Walianza kwa kuwabagua wabara na sasa wanabaguana wao kwa wao.Dhambi ya ubaguzi inaendelea kuwatafuna.Mgogoro wa kikatiba ni mkubwa na unazidi kustawi.Ukiongeza na huu mgogoro wa Uchaguzi inakuwa ni balaa.Yote haya ni kwa hisani ya uongozi mahiri wa CCM.
 
Alisisitiza kuwa CCM haiwezi kuitoa Zanzibar kwa makaratasi labda mpaka zipigwe kavu kavu.
Sijaona tofauti ya kauli ya mama Asha na ile iliyofanya gazeti la Mawio lifungiwe.Kauli ya mama Asha na ya gazeti la Mawio zote zinaonyesha tunaelekea kubaya.
Apumzike kwa amani.
Sio tu kauli ya Bi Asha Bakari (PKA) wala ya MAWIO, bali ni ukweli ambao Jecha na Shein (kwa kuungwa mkono na Mwenyekiti wa CCM, JMK, pamoja na Rais wa JMT, JPM) wamenajisi demokrasia. Wananchi wa Zanzibar walijitokeza kwa wingi na kupiga kura (makaratasi hayo) kwa amani, na kurejea majumbani wakiwa na matumaini kuwa haki yao ya kuweka alama kwenye makaratasi itaheshimiwa. Kilichotokea dunia nzima imekiona! Bi Asha alikuwa anapaza sauti ya CCM na Mawio waliandika hiyo sauti. Sijui madai ya uchochezi wa Mawio unatoka wapai? Kwani ni nani Rais wa Zanzibar aliyechaguliwa? Kwa nini Shein anafurahia sana kurudia uchaguzi? Siasa za kijima za bongo ukiziweka sana maanani, unaweza kuwa kichaa!
 
Bado utasikia pengo la marehemu ni vigumu kuzibika. Kama vile aliyokuwa anatamka na kufanya yalikuwa mema. Tufike mahali tuwe wakweli, kama jambazi kafa tunasema kifo cha marehemu ni faraja kwa raia wema! Sio unafiki msibani
Kabisa mkuu

Utasikia marehemu alikuwa mtu mzuri sana...mtu mzuri my toe
 
Wabunge wa ccm siku wakijua kuwa siasa za ulaghai, ujanjaujanga , ghilba na matusi hazzifai, ccm itakuwa imekufa
 
Ila huyu mama hakuwa mtu mzuri kabisa kwa ustawi wa demokrasia. Nasema tena hakuwa mtu mzuri, mimi namsema kwa mabaya yake maana mema yake siyajui. Alikuwa mtu hatari sana kutokana na kauli zake ambazo zingeweza kulivuruga na kuliharibu kabisa taifa hili kwa kulinda maslahi yake na familia yake. Kwakweli na aende tu maana sidhani kama ana msaada kwa wananchi labda kwa CCM wenzake. Apumzike anapostahili kwakweli. Narudia tena hakuwa mtu mwema kwa watanzania. Hata kama ni ulevi wa madaraka si kwa kiwango kile...Mwenyezi Mungu amhukumu kwa haki.
 
Ila huyu mama hakuwa mtu mzuri kabisa kwa ustawi wa demokrasia. Nasema tena hakuwa mtu mzuri, mimi namsema kwa mabaya yake maana mema yake siyajui. Alikuwa mtu hatari sana kutokana na kauli zake ambazo zingeweza kulivuruga na kuliharibu kabisa taifa hili kwa kulinda maslahi yake na familia yake. Kwakweli na aende tu maana sidhani kama ana msaada kwa wananchi labda kwa CCM wenzake. Apumzike anapostahili kwakweli. Narudia tena hakuwa mtu mwema kwa watanzania. Hata kama ni ulevi wa madaraka si kwa kiwango kile...Mwenyezi Mungu amhukumu kwa haki.

NI kweli mkuu upo sahihi huyu mama alionyesha ubaguzi wa wazi ktk bunge la katiba dhidi ya wazanzibari weupe sijui ndo hao wanawaita Hisbu. Alisema Zenji ni ya watu weusi. Aiseee akapumzike panapostahili. Huenda Mungu ana maskusudi yake kumtwaa sasa hv ktk kipindi ambacho Zanzibar inapita pagumu kwenye viashiria vya ubaguzi.
 
Back
Top Bottom