TANZIA: Bi. Asha B. Makame afariki dunia

Atangulie tu.alikuwa mbabe sana.
 
Ni kweli kabisa mkuu, watu aina ya huyu mama ni hatari sana, hawapaswi kuwepo kwakweli, wanaweza wakatusabishia machungu yasiyopimika, wako tayari nchi isambaratike kwa kulinda maslahi yao.
 
Watu wengine na Mungu wao.
Huyu kiumbe alitesa sana watu. Hata kupendekeza mapinduzi na kumwaga Damu ndio wachukue serikali.
Alikuwa chombo kizuri kwa Shetani na Damu za watu.
Alitamani sana watu wauane kwa mstakabali wa Zanzibar. Sio mfano wa kuiga na wala kupewa nafasi tena FINDISHO KWA KATIBA YA TANZANIA
 
Pumzika Kwa Amani Mama.Wewe Ni Mwanamke Shujaa Na Ulipigania Kwa Nguvu Zote Ulichokiamini.#RIP
 
Namnukuu: na mimi namwambia jussa sasa zanzibarrrrr ni nchi ya kimapinduzi serikali ya kimapinduzi haitolewi kwa karatasiiiiii labda watupindue na uwezo huo hawana maana sisi ndio wenye mamlaka. CHUNGENI NDIMI ZENU
Hapa kwenye mamlalaka mimi ndio palinisumbua ni sisi binadamu au akiye juu?
 
Aka kumbe mwanawe abaishi dubai kwa waarabu /machotara ?
 
Mimi nashangaa sana .hata marehemu alipanga foleni na akapewa karatasi za kupigia kura .lakini kulikuwa na umuhimu gani kwa mama yetu kupanga foleni ya kupiga kura wakati kura haitaleta mabadiliko
 
Hii ardhi iko siku kila mtu ataiwacha .tupendane na tusifarajane kwa sababu ya kuitawala ardhi
Hii ardhi mtawala wake ni mmoja tu .
 
akapate haki yake huko aendako kutokana na alivyoishi hapa duniani
 
Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajiuun

Sisi Sote Ni Waja Wa MWENYEZI MUNGU Na kwake Tutarejea
 
Sema huyu Mama alikuwa na maneno makali sana.
 
kuwa na UTU japo kwa sekunde moja. siasa isikufanye ukawa na chuki kiasi hicho. unafurahia kifo cha binaadam mwenzio?
mimi naona yupo sahihi, mtu anayesema hawatatoa nchi kwa njia ya karatasi labda mapinduzi huyo ni mchochezi hafai kabisa kuendelea kuwepo, angeweza sababisha hata vita kwa haya maneno, ila wa tz ni wapole, alipaswa kushtakiwa huyu
 
mimi naona yupo sahihi, mtu anayesema hawatatoa nchi kwa njia ya karatasi labda mapinduzi huyo ni mchochezi hafai kabisa kuendelea kuwepo, angeweza sababisha hata vita kwa haya maneno, ila wa tz ni wapole, alipaswa kushtakiwa huyu
Huyo mama alikuwa sahihi kwa 100% kuwa serikali ya mapinduzi haiwezi ondolewa madarakani kwa makaratasi labda kwa mapinduzi, na aliwapa challenge kuwa wapindue, na mimi nasema wapindue ili waingie madarakani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…