kila baya anatupiwa Wema huyu ni shoga wa kuazimana nguo za ndani na Kajala ila leo kafa kawa shogaake Wema makubwa!Acha uzushi Mkuu hata kama unamchukia sema sio hvo. Wema haongozanagi na michele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kila baya anatupiwa Wema huyu ni shoga wa kuazimana nguo za ndani na Kajala ila leo kafa kawa shogaake Wema makubwa!Acha uzushi Mkuu hata kama unamchukia sema sio hvo. Wema haongozanagi na michele
Sijui wema kawafanyejekila baya anatupiwa Wema huyu ni shoga wa kuazimana nguo za ndani na Kajala ila leo kafa kawa shogaake Wema makubwa!
Mmh...3D....una majibu kuntu!Binamu pole na msiba, sikuwa na lengo la kukuumiza kwenye kipindi kigumu.
Ila ishu yangu ilikuwa ni watu wengi mashoga hasa nchi zetu za kimaskini wako na hatari ya kupata magonjwa mengine kama HIV na Cancer na life span yao ni ndogo kuliko wasio mashoiga. Hili limethibitishwa kisayansi kabisa. Simtakii binadam yeyote afariki.
Mambo madogo haya ndugu yangu. Poleni
HahahaMmh...3D....una majibu kuntu!
Ni protein kwa mwanamkeMdomoni je?
Wakidanga pole pole...inakuwa haina tatizo ??Tatizo wanadanga kwa nguvu
Ahahahah..yule mpishi nilimwangalia nikasema kalegea nae au labda sababu ana kaudongo ka Mecca kwa mbali kumbe....Shoga mzee yupo block 41 anapika mahanjumati.na anajua kupika .alivyozaa hamisa shoga ndie aliyepika kwenye shuhuli yake .yupo mwengine anaitwa abdalla mapilau mzee ila sijui kama bado yupo hai.alikuwa anakaa sio mbali na Best bite .
Kinga inapotelea wapi Sky? Ni kweli wengi huwa hawatoboi over 55yrs.Matatizo makubwa yanayoikumba jamii ya hawa jamaa ni upungufu wa kinga mwilini. Hili tatizo liko dunia nzima
uncle Khasimu ila hanaga neno na mtu masikini,vyakula vitamu ila nikikumbukaga anafukuliwa hamu sina ya midikodiko yakeShoga mzee yupo block 41 anapika mahanjumati.na anajua kupika .alivyozaa hamisa shoga ndie aliyepika kwenye shuhuli yake .yupo mwengine anaitwa abdalla mapilau mzee ila sijui kama bado yupo hai.alikuwa anakaa sio mbali na Best bite .
Wanaume ndio wanawapenda zaidi na ndio wanachangia uwepo wao kwa kuwapumulia!Dah,,sijui kwann nyie ke mnawapenda hao watu,,namuona sana wema nae yuko karibu nao huko insta
Si ushaambiwa kuwa ni Vidole Juu!?, hasa unataka nini zaidi?Ndio nani. ???
Kafa na nini..??
Binamu missss u mwaaaaa naomba unipe umbeyaa siku hizi upo SA binam unatuona takataka sawaa sawaa tu na utafilisika kama mbwaaJamani kifo hiki, juzi tu nilikua nachat nae jamani alikuwa anataka kuja South Africa. Uwii Warumi sina nguvu nimeishiwa.
View attachment 770348
Rest In Peace best wangu!
Binam njoo pmAhsante binamu , nichangien jaman nimeumia kweli warumi Mimi
HahahahahPoleni wafiwa
Nadhani Mungu ata deal na mwendazake
Ahahahahahahah ice si katoa taarifa tuAlikuwa mtu wako wa karibu?
Kaa nao mbali nawaogopa hawaMi urafiki wa karibu na mashoga hapana. Sio mwanangu anakua anakutana na marafiki wa mama hawaeleweki jinsia