TANZIA: Bilali Mashauzi afariki dunia

TANZIA: Bilali Mashauzi afariki dunia

Binamu pole na msiba, sikuwa na lengo la kukuumiza kwenye kipindi kigumu.

Ila ishu yangu ilikuwa ni watu wengi mashoga hasa nchi zetu za kimaskini wako na hatari ya kupata magonjwa mengine kama HIV na Cancer na life span yao ni ndogo kuliko wasio mashoiga. Hili limethibitishwa kisayansi kabisa. Simtakii binadam yeyote afariki.
Mambo madogo haya ndugu yangu. Poleni
Mmh...3D....una majibu kuntu!
 
Shoga mzee yupo block 41 anapika mahanjumati.na anajua kupika .alivyozaa hamisa shoga ndie aliyepika kwenye shuhuli yake .yupo mwengine anaitwa abdalla mapilau mzee ila sijui kama bado yupo hai.alikuwa anakaa sio mbali na Best bite .
Ahahahah..yule mpishi nilimwangalia nikasema kalegea nae au labda sababu ana kaudongo ka Mecca kwa mbali kumbe....
 
Shoga mzee yupo block 41 anapika mahanjumati.na anajua kupika .alivyozaa hamisa shoga ndie aliyepika kwenye shuhuli yake .yupo mwengine anaitwa abdalla mapilau mzee ila sijui kama bado yupo hai.alikuwa anakaa sio mbali na Best bite .
uncle Khasimu ila hanaga neno na mtu masikini,vyakula vitamu ila nikikumbukaga anafukuliwa hamu sina ya midikodiko yake
 
Kama ni punga afe tu maana wanatuhatibia watoto wetu, hata sodoma na gomora waliangamizwa, Awekwe anapostahili
 
Back
Top Bottom