TANZIA: Bilali Mashauzi afariki dunia

Acha uzushi Mkuu hata kama unamchukia sema sio hvo. Wema haongozanagi na michele
kila baya anatupiwa Wema huyu ni shoga wa kuazimana nguo za ndani na Kajala ila leo kafa kawa shogaake Wema makubwa!
 
Mmh...3D....una majibu kuntu!
 
Shoga mzee yupo block 41 anapika mahanjumati.na anajua kupika .alivyozaa hamisa shoga ndie aliyepika kwenye shuhuli yake .yupo mwengine anaitwa abdalla mapilau mzee ila sijui kama bado yupo hai.alikuwa anakaa sio mbali na Best bite .
Ahahahah..yule mpishi nilimwangalia nikasema kalegea nae au labda sababu ana kaudongo ka Mecca kwa mbali kumbe....
 
Shoga mzee yupo block 41 anapika mahanjumati.na anajua kupika .alivyozaa hamisa shoga ndie aliyepika kwenye shuhuli yake .yupo mwengine anaitwa abdalla mapilau mzee ila sijui kama bado yupo hai.alikuwa anakaa sio mbali na Best bite .
uncle Khasimu ila hanaga neno na mtu masikini,vyakula vitamu ila nikikumbukaga anafukuliwa hamu sina ya midikodiko yake
 
Kama ni punga afe tu maana wanatuhatibia watoto wetu, hata sodoma na gomora waliangamizwa, Awekwe anapostahili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…