misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,244
- 10,073
Pia shoga yake WarumiHuyu si alikua Shoga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia shoga yake WarumiHuyu si alikua Shoga
juzi tu kafa yule afidhi mvutooBinamu nae umeanza , anapostahili wapi , si useme tu apumzike kwa Amani , mxieew
afidhi alawi teh tehKuna mmoja alikufa haraka haraka juz kati shoga maarufu bongo nimemsahau jinaa
Kwanini wanakufa mapema? Sababu ni IPI?Its not healthy huwa wanakufa mapema sana.
Yaan marekani Life span ya mtu wa kawaida ni miaka 89, ila mashoga ni miaka 54 na hapo ni nchi za wenzetu.wana mifumo ya afya mizuri na mashoga hupewa care.
Kwa nchi maskini unadhani inakuwaje.
Duhh!! Jamaa walikosea kumweka selo ya wanaume. Ni bora wangemweka selo ya kina mama.Niliwahi kukaa selo obay police mwaka fulani, akaletwa huyu kwa kufanya fujo nightclub. Palikuwa hapakaliki ndani jīnsi wahunī walivyokuwa wanamsumbua. Ilibidi abane mbele kabisa karībia na geti. Alidhaminīwa na kuachîwa baada ya masaa machache.
Kkkkkkkkkk dada mmbeya kweli[emoji1] [emoji1] umeniuganishia majina hadi nikabaki nachekaMuimba taarabu shoga ake Wema Sinta na Junaithar.
Napenda kiswahili chako ingekuwa Instagram ningekuflowNawaza kale ka James sijui kama katagonga kote maana anatembeza tako hatari
Kapicha ka huyu George tafadhali!Mbona George kakaa kidada sana?
Muimba taarabu Bilal Mashauzi ameaga dunia jioni hii. Msiniulize chanzo hata mimi sijui.Pumziko jema Bilal.
Moja ya kazi za Marehemu Bilal enzi za uhai wake
haaaahaaahaaaa!!Pole kwa kumpoteza shogayako
bila shaka ni wali nazi huyo hata ukifuatlia insta walionung'unika wengi ni mademu tuAisee mbona anaonekana wali maharagwe?
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Nawaza kale ka James sijui kama katagonga kote maana anatembeza tako hatari
Unaona sasa wanaume ndio chanzo wanapenda sana ushogaNiliwahi kukaa selo obay police mwaka fulani, akaletwa huyu kwa kufanya fujo nightclub. Palikuwa hapakaliki ndani jīnsi wahunī walivyokuwa wanamsumbua. Ilibidi abane mbele kabisa karībia na geti. Alidhaminīwa na kuachîwa baada ya masaa machache.