ndio hapoo yani info za uongo watu wanashabikia ili udharirike [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] aah hii ilikuwa sehemu ya kutoa stresssLakin walikosea sio matola na matola hana mtoto anaeitwa Samira
Walikosea watuulize wambea hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] usiombe sasa ikifika zamu yako kuchambwa mtu anatoa info za uongoo dah jf ilikuwa zamani bana hatari sana
hahahah kipindi hicho nilikuwa simpendi wemaa yani mrembo by nature ilikuwa tunapambana mpaka uturnAhahahhahahahahahaah ilikuwa balaa mrembo by nature akikukuta unamsema vibaya wema utakoma warumi alikuwa anaipata
Mada inaanza vizuri ikifika katikati mada inabadilika ahahah
Hahahahahaha kulikuwa na ushabiki na haya mambo yanaendelea sana tu sema siku hizi sio kama zamani watu walishabikia mnoondio hapoo yani info za uongo watu wanashabikia ili udharirike [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] aah hii ilikuwa sehemu ya kutoa stresss
Ulikuwaga unanifata pm binam mimi warumi nimeshindwa kuvumilia aisee jf unaipendaa kujizuia kutukana huwezii unafungiwa tenaaa naikumbuka gossipwarumiMi ndo nilikua nakula ban kila siku, nafungua fekero nashindwa kujizuia kujificha nilivyo mbea najifanyia umbea hadi Mimi mwenyewe, najitaja kabisa Mimi warumi naanza kuchambwa wanani ban tena, yan ilikua balaaa uwiii
hahah binamu wewe hata uandikaje tulikuwa tunakujua tu yani hufichiki na kuna team yako ya kukushambulia ulikuwa unajitahidi lakiniMi ndo nilikua nakula ban kila siku, nafungua fekero nashindwa kujizuia kujificha nilivyo mbea najifanyia umbea hadi Mimi mwenyewe, najitaja kabisa Mimi warumi naanza kuchambwa wanani ban tena, yan ilikua balaaa uwiii
Enzi hizo Uturn imepamba moto mangd anachamba watu mpaka wanazimiaahahahah kipindi hicho nilikuwa simpendi wemaa yani mrembo by nature ilikuwa tunapambana mpaka uturn
siku hizi naona mada za kitoto naogopa nisijechambwa na wadogo zangu aibuuuHahahahahaha kulikuwa na ushabiki na haya mambo yanaendelea sana tu sema siku hizi sio kama zamani watu walishabikia mnoo
Ahahahahahahah umekuwa muhenga miss strong wapi jamanisiku hizi naona mada za kitoto naogopa nisijechambwa na wadogo zangu aibuuu
Matola"pumbavu nyinyi mmekalia umbea tu rudini shule alitupiga mkwara jamani tukawa tuanaitana pm tusaidiane kumtukana matola wapii anatupangua woteeew basi tukaona isiwe shida tuakajipendekza akawa rafiki yetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na matumbo unamkumbuka sijui kafia wapii alikuwa akimuona warumi tu kosa jamani
Haahahahahah walikuwa wanamsakama halaf siku moja akatuchamba sileti ubuyu hamnisaidii nikichambwaa nakumbuka tukaanza kuwa tunamsaiidia na kina evelyn salt hahahahahahah binamu wewe hata uandikaje tulikuwa tunakujua tu yani hufichiki na kuna team yako ya kukushambulia ulikuwa unajitahidi lakini
binti magufuli yupo humu?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Enzi hizo Uturn imepamba moto mangd anachamba watu mpaka wanazimiaa
Mrembo by nature siku hzi yupo busy anajiita bint magufuli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uturn ilikuwa na raha yake,mange akianza kutukanana na sinta lo
Yupoo,eve yupo nae huingia ingia sio kama nyiebinti magufuli yupo humu?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
aisee nimefurahi kama nimeingiza madolare leo jf idumu tu jamani
evelyn salt yukwapi nae?
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] daah raha sana,ubuyu wa warumi nilikuwa nauamini 100% yani siushuku wala warumi na jukwaa lake pendwaHaahahahahah walikuwa wanamsakama halaf siku moja akatuchamba sileti ubuyu hamnisaidii nikichambwaa nakumbuka tukaanza kuwa tunamsaiidia na kina evelyn salt hahahaha
Ahahahahahahah lusungo yupo anapoteaga anakuwepo hivyo hivyo alitusaidia kwelii kipindi hichoMmmh matola alikua kiboko, sisi tulikua tuna midomo tunaongea kama chiriku, matola akija dakika mbili anatukausha uzazi Mimi na binamu, mpka tunakimbilia inbox kujipanga jinsi ya kumchamba, Ila lusungo alikua anatusaidia walikua wanawezana paka na panya, cjui Lusungo yuko wapi, alikua ananipenda mno binamu yangu
dah majukumu hata unakosa mda wa kujichanganya mamyYupoo,eve yupo nae huingia ingia sio kama nyie
Anabeba mabolo, hujamwelewa tu bado?Binam unabeba box
Warumi akipigwa ban muda mrefu tunaenda kwa mods kule jukwaa la malalamiko afunguliwee anafunguliwa akifunguliwa kidogo tu anatukana ban tena[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] daah raha sana,ubuyu wa warumi nilikuwa nauamini 100% yani siushuku wala warumi na jukwaa lake pendwa
Kuna siku walifanya birthday pale mi casa Ubungo walikua kama 6 hivi mashoga gani wengine wana vitambiDizaini kama wamefanana ila yule wanayeongozana sana na sepenga ni huyuView attachment 771130
Binam yangu msomii ana masters sasa anapiga zake box sema tu umemmissAnabeba mabolo, hujamwelewa tu bado?
Tumeshapoteza nguvukazi ya Taifa hapo, watu wabaya sana.