hahahahaha mbavu zangu akirudi tu wanamtikisa kidogo huyo kashadakwa tenaWarumi akipigwa ban muda mrefu tunaenda kwa mods kule jukwaa la malalamiko afunguliwee anafunguliwa akifunguliwa kidogo tu anatukana ban tena
Alikuwa anatuudhiiiiiihahahahaha mbavu zangu akirudi tu wanamtikisa kidogo huyo kashadakwa tena
Don't believe everything you read, sina mawasiliano wala ushikaji na kichaa yeyote hapa JF, watu wote ambao tunajuwana ni watu wanaojiheshimu, sifa ya mtu kujiheshimu ni pamoja na kuheshimu wengine.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka mpaka chozi nyie huwezi amini matola nae alikuwa na wababe wake walileta mpaka screenshot ya no yake,yani walimnyanyasa alafu ilikuwa ukijifanya kumsaidia wanakumix na wewe sijui ilikuwa ni nyie ila hapana wale walijipanga haswa alafu walikua vijana nahisi wasio na kazi
ni kweli jf ilikuwa unaweza kuzushiwa lolote na watu wakashabikiaDon't believe everything you read, sina mawasiliano wala ushikaji na kichaa yeyote hapa JF, watu wote ambao tunajuwana ni watu wanaojiheshimu, sifa ya mtu kujiheshimu ni pamoja na kuheshimu wengine.
By the way ngoma za watoto hazikeshi wako wapi leo?
Magufuli sometimes anastahili pongezi kwa kutunyooshea mijitu mijinga lazy they're good for nothing kushinda mitandaoni kumwaga matusi, kwa sasa wanasomeshwa namba za kirumi na Jiwe letu.
Huyo Mrembo by Nature si ndio Mange? Kama siyo yeye basi ni maajabu makubwa.Enzi hizo Uturn imepamba moto mangd anachamba watu mpaka wanazimiaa
Mrembo by nature siku hzi yupo busy anajiita bint magufuli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uturn ilikuwa na raha yake,mange akianza kutukanana na sinta lo
Mh!Mwanamke
Mi ndo nilikua nakula ban kila siku, nafungua fekero nashindwa kujizuia kujificha nilivyo mbea najifanyia umbea hadi Mimi mwenyewe, najitaja kabisa Mimi warumi naanza kuchambwa wanani ban tena, yan ilikua balaaa uwiii
Sidhanii jamaniiHuyo Mrembo by Nature si ndio Mange? Kama siyo yeye basi ni maajabu makubwa.
Duh kwa hiyo ni shoga?Mimi kungwi nimekubuhu, mdangaji maarufu
Anabeba mabolo, hujamwelewa tu bado?
Tumeshapoteza nguvukazi ya Taifa hapo, watu wabaya sana.
Warumi akipigwa ban muda mrefu tunaenda kwa mods kule jukwaa la malalamiko afunguliwee anafunguliwa akifunguliwa kidogo tu anatukana ban tena
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] We Warumi embu acha ujinga.Mbona ulikua unanitongoza inbox, au kwa kuwa nimekukataa, tatizo huna pesa binamu
Hahahahahaaaaa....Yaaaani umenichekesha saaana. Kweli wewe umekubuhu kwa umbea.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] We Warumi embu acha ujinga.