Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,806
Na wanasapoti.Wanachukulia ni makosa tu ya kimaumbile...yani wanafanya ni ulemavu wa kawaida kama alivyo mlemavu wa miguuWanajionea kawaida tu wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wanasapoti.Wanachukulia ni makosa tu ya kimaumbile...yani wanafanya ni ulemavu wa kawaida kama alivyo mlemavu wa miguuWanajionea kawaida tu wenyewe
umbea gani jamani sasa bilayla alijenga na ukubwa wooote wa ushoga wake na ukuwadi!Jamani acheni umbea? Kaacha watoto?
Eti ndio kumkazia chini!teh teh teh teh!!kumkafini ndio nini tena jamani?
HahahaSperms zitakua zina sumu mbaya sana. [emoji23][emoji23][emoji23]
Inasikitisha sanaNa wanasapoti.Wanachukulia ni makosa tu ya kimaumbile...yani wanafanya ni ulemavu wa kawaida kama alivyo mlemavu wa miguu
Upufungu huo unasababishwa na nini?...wanatumia anticancer?,wana kuwa wana ukimwi,hawali vizuri? Au nini hasa,maana ni wanakata kamba mapema sanaMatatizo makubwa yanayoikumba jamii ya hawa jamaa ni upungufu wa kinga mwilini. Hili tatizo liko dunia nzima
Mkuu,,naungana na mchangiaji mmoja anedai kua hakuelewi,,,mbona unaonekana kama vile unaunga mkono tabia hii chafu ? ,samahani lakiniAcha umbea, Elton John kawa shoga miaka mingapi? Nae kafa ? Mxiew uchawi tu , kila Nafsi itaonja umauti
Mazishi yalikuwa kama ya mtoto mchangaHivi kumbe waligoma kumzika?
@glass amo nimekutag
Heee!!!!sikuisikia hiyo maporomokoni huku...ataniambia nani na shoga sina.Kwa hiyo alizikwa na mashostito wenzake?Heee Upo wapi mwenzangu wewe? Yaani msiba wanaume walizira jeneza wakabeba mashosti zake aliokuwa anadanga nao
Ndo naambiwa hapaMuda tuu
Kwa kweliKumuomba Mungu tu maana