Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi kabisa.Matatizo makubwa yanayoikumba jamii ya hawa jamaa ni upungufu wa kinga mwilini. Hili tatizo liko dunia nzima
Ohooooo!!!Wako kwenye double stigma
1 kuwa shoga
2 una ngwengwe
Vyote viwili vinakufanya jamii ikunyanyapae
Ohooooo!!!Na inabidi watumie dawa kwa kujificha hasa hawa macelebrate wetu, akienda clinic tu watu wana pasi ana massage insta na WhatsApp
huyu Shoga . walikuwa wanaliwa sana kiboga pale A.M Guest and Bar, yeye na Anti Kibabu wa shinyanga. walikuwa wanafanya mapart mengi mango gardenAhsante binamu , nichangien jaman nimeumia kweli warumi Mimi
Ndio huyu nini nilioa wanampromote kawapikia msosi kwenye sherehe ya mtoto wa HamisaShoga mzee yupo block 41 anapika mahanjumati.na anajua kupika .alivyozaa hamisa shoga ndie aliyepika kwenye shuhuli yake .yupo mwengine anaitwa abdalla mapilau mzee ila sijui kama bado yupo hai.alikuwa anakaa sio mbali na Best bite .
Uko kama mimi mkuu.Nachukia ninapoona mtu anamisuli kakamavu na body ya kazi alafu anakua punga
Nimejikuta naushika moyo.Unamfaham Martin Kadinda??? Acha kujiapiza na kuushuhudia ulimwengu uongo hiyo ni dhambi kwa mungu.
Nenda mitaa ya ubungo maeneo ya kagame hotel uliza Martin kadinda ni mchele au sio ndio uje hapa kutetea watu usiowajua
Dizaini kama wamefanana ila yule wanayeongozana sana na sepenga ni huyuHuyu ndiyo yule anayeongozana na Wema muda wote?
Duh!!!sasa angepelekwa magereza ingekuwa shangwe.Niliwahi kukaa selo obay police mwaka fulani, akaletwa huyu kwa kufanya fujo nightclub. Palikuwa hapakaliki ndani jīnsi wahunī walivyokuwa wanamsumbua. Ilibidi abane mbele kabisa karībia na geti. Alidhaminīwa na kuachîwa baada ya masaa machache.
Ohooooo!!!Duhh!! Jamaa walikosea kumweka selo ya wanaume. Ni bora wangemweka selo ya kina mama.
Kuna tetesi huwa anatumwa kuchafua watu juzi aliomba msamaha kwa njemba moja na kudai alitumwa kumchafua.Madanga yenyewe yana moyo maana James wakimvuruga anawawekaga na picha zao akianza kuwadai
Ni shoga na yeye ujue lakini anawakula mashoga wenzie atakuwa mchicha mwiba
Duh!!!noma sana.Hivi pesa wanapelekaga wapi? Maana James hata hakai mwenyewe wamebebana na machokoraa wenzake Sinza chumba kimoja.
Mi sitaki mazoea hayo. Kuna shoga angu mmoja ananipigiaga simu eti anamtaka mkaka mmoja hivi sasa nimwambie afanyaje. Akishapiga simu nikajua ni yeye namwambia niko busy.Weeee.
Mashoga wanapenda sana wadada.
Usiseme hivyo.
Tena wanakuwaga mashosti wa maana wanakupa mumbea na mastori hadi basi
Nani anaolewaDuuhh!ana kweli ndoa ni riziki tu!
Shangingi lile linaolewa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]