TANZIA: Bilali Mashauzi afariki dunia

TANZIA: Bilali Mashauzi afariki dunia

Shoga mzee yupo block 41 anapika mahanjumati.na anajua kupika .alivyozaa hamisa shoga ndie aliyepika kwenye shuhuli yake .yupo mwengine anaitwa abdalla mapilau mzee ila sijui kama bado yupo hai.alikuwa anakaa sio mbali na Best bite .
Ndio huyu nini nilioa wanampromote kawapikia msosi kwenye sherehe ya mtoto wa Hamisa
IMG_20180509_102020.JPG
 
Unamfaham Martin Kadinda??? Acha kujiapiza na kuushuhudia ulimwengu uongo hiyo ni dhambi kwa mungu.


Nenda mitaa ya ubungo maeneo ya kagame hotel uliza Martin kadinda ni mchele au sio ndio uje hapa kutetea watu usiowajua
Nimejikuta naushika moyo.
 
Niliwahi kukaa selo obay police mwaka fulani, akaletwa huyu kwa kufanya fujo nightclub. Palikuwa hapakaliki ndani jīnsi wahunī walivyokuwa wanamsumbua. Ilibidi abane mbele kabisa karībia na geti. Alidhaminīwa na kuachîwa baada ya masaa machache.
Duh!!!sasa angepelekwa magereza ingekuwa shangwe.
 
Ni shoga na yeye ujue lakini anawakula mashoga wenzie atakuwa mchicha mwiba

Kuna mashoga wa aina tatu. Ya kwanza ni 'top' hawa wao ni wanaume wanaowakula wanaume wenzao. Wa pili ni 'bottom' hawa ni wanaume wanaogeuzwa kuwa wanawake na kuingiliwa kimwili na wanaume wenzao. Wa tatu ni 'both' hawa wako kote kote, wanakula na kuliwa na wanaume wenzao kutegemeana na timing, kuna wakati wanaingiliwa na kuna wakati wanawaingilia wenzao kimwili.
 
Weeee.
Mashoga wanapenda sana wadada.
Usiseme hivyo.

Tena wanakuwaga mashosti wa maana wanakupa mumbea na mastori hadi basi
Mi sitaki mazoea hayo. Kuna shoga angu mmoja ananipigiaga simu eti anamtaka mkaka mmoja hivi sasa nimwambie afanyaje. Akishapiga simu nikajua ni yeye namwambia niko busy.
 
Back
Top Bottom