TANZIA: Ephraim Kibonde afiwa na Mke wake Sara Kibonde

apumzike anapostahili
na wafiwa watiwe nguvu wote tunapita cha muhimu kutenda mama na kukumbuka wote tunapita .... ujumbe huu umfikie nabii aliyetabirwa
 
Hadi huruma kumbe ndio kisa cha yeye kurudi south kabla mechi hazijaisha
Eeh ,bro Kibs wakiwa na mkewe pale London pub au escape one,utadhani ndio wanaanza uchumba ,binafsi bro Kibs alikua MC ktk harusi yangu,na mkewe Sarah alinitengenezea Keki na vyote walifanya kishikaji tu km rafiki yao ,nasikitika niko mbali ila msiba umeniuma sana huu
 
Pole sana mzee wa "Maisha ni Nyumba", sasa itakubidi uelewe kwamba maisha si nyumba bali ni familia; nyumba ni ZIADA maana hata ndege Kipanga ana nyumba! Rest in peace Mama Kibonde

 
Mungu ni mwema ana mipango yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…