TANZIA: Ephraim Kibonde afiwa na Mke wake Sara Kibonde

TANZIA: Ephraim Kibonde afiwa na Mke wake Sara Kibonde

apumzike anapostahili
na wafiwa watiwe nguvu wote tunapita cha muhimu kutenda mama na kukumbuka wote tunapita .... ujumbe huu umfikie nabii aliyetabirwa
 
Hadi huruma kumbe ndio kisa cha yeye kurudi south kabla mechi hazijaisha
Eeh ,bro Kibs wakiwa na mkewe pale London pub au escape one,utadhani ndio wanaanza uchumba ,binafsi bro Kibs alikua MC ktk harusi yangu,na mkewe Sarah alinitengenezea Keki na vyote walifanya kishikaji tu km rafiki yao ,nasikitika niko mbali ila msiba umeniuma sana huu
 
Pole sana mzee wa "Maisha ni Nyumba", sasa itakubidi uelewe kwamba maisha si nyumba bali ni familia; nyumba ni ZIADA maana hata ndege Kipanga ana nyumba! Rest in peace Mama Kibonde

Mtangazaji maarufu Ephraim Kibonde amefiwa na mkewe usiku huu katika hospitali ya Hindu Mandal. Bwana ametoa Bwana ametwaa. Amen.

======

Mke wa Mtangazaji wa Clouds Fm katika kipindi cha Jahazi, Ephraim Kibonde amefariki.
View attachment 806825
Kwa mujibu wa Mtangazaji mwenzie Gadner G. Habash amesema Mke wa Kibonde aitwae Sara Kibonde amefariki usiku huu akiwa anapatiwa matibabu ktk hospitali ya Hindu Mandal. R.I.P
 
Eeh ,bro Kibs wakiwa na mkewe pale London pub au escape one,utadhani ndio wanaanza uchumba ,binafsi bro Kibs alikua MC ktk harusi yangu,na mkewe Sarah alinitengenezea Keki na vyote walifanya kishikaji tu km rafiki yao ,nasikitika niko mbali ila msiba umeniuma sana huu
Mungu ni mwema ana mipango yake
 
Back
Top Bottom