TANZIA: Ephraim Kibonde afiwa na Mke wake Sara Kibonde

Nimesoma kwa umakini salamu hizi za rambirambi na nina imani kama hujaandika neno "dally kimoko" basi wale kule juu ni wachinmvi na wanafiki waliotukuka. Bwana ametwaa Jina lake libarikiwe.
 
Pole sana mkuu
 
Pole Ndugu Kibonde, hatua za maisha za kila mwanadamu... Mungu akutie nguvu.
 
Mtangazaji maarufu na kada maarufu wa çcm wa kipindi cha jahaz kinachorushwa na clouds fm ndg ephraim kibonde amefiwa na mkewe usiku wa kuamkia leo alikokua anapatiwa matibabu ktk hosptali ya hindu mandal.pole sana ndg kibonde kumpoteza mkeo Sara RIP
 
Kuanzia jana usiku naona nyuzi zinazidi kuongezeka na kufufuliwa kumhusu Kibonde.
R.i.P Sara Kibs
 
Nimesoma kwa umakini salamu hizi za rambirambi na nina imani kama hujaandika neno "dally kimoko" basi wale kule juu ni wachinmvi na wanafiki waliotukuka. Bwana ametwaa Jina lake libarikiwe.

Kwani Wewe ninavyokuwa naandika hilo neno langu ' pendwa ' kabisa la ' Dally Kimoko ' huwa unaelewa nini? Tuanzie hapa Kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…