TANZIA: Ephraim Kibonde afiwa na Mke wake Sara Kibonde

TANZIA: Ephraim Kibonde afiwa na Mke wake Sara Kibonde

Mtangazaji maarufu na kada maarufu wa çcm wa kipindi cha jahaz kinachorushwa na clouds fm ndg ephraim kibonde amefiwa na mkewe usiku wa kuamkia leo alikokua anapatiwa matibabu ktk hosptali ya hindu mandal.pole sana ndg kibonde kumpoteza mkeo Sara RIP
Pole kibonde .
RIP Sara
 
Duh! Pole nyingi kwa familia ya marehemu na wote waluoguswa na msiba. Tangulia Sarah ukatuwahie maeneo mbinguni kwa Mungu baba.
 
Pole sana mkuu..
nakutana nae maeneo ya Mebs mikocheni pale nyuma ya clouds...
very funny guy indeed.
 
Pole sana Ephraim pamoja na familia yako,ndugu na jamaa wote walioguswa na msiba huu. Tumshukuru Mungu katika kila jambo. Heri wafao katika Kristu maana...
RIP Sarah.
 
.
Screenshot_20180711-073023_1531283848866.jpg
 
Back
Top Bottom