TANZIA: George Tyson Afariki - Msiba mwingine Tasnia ya Filamu

nini nairobi?? Had kwenye msiba walikuwepo yeye, mama yake na mtoto wake, nasikia walikuwa hawalali msiban, walikuwa wanalala hotelin ila hasubuh wanashinda msiban

Binamu hadi ya huko unayo mmmmmhhhh nimekuaminiaaa
 
nini nairobi?? Had kwenye msiba walikuwepo yeye, mama yake na mtoto wake, nasikia walikuwa hawalali msiban, walikuwa wanalala hotelin ila hasubuh wanashinda msiban

anajishaua huyo mona
 
nini nairobi?? Had kwenye msiba walikuwepo yeye, mama yake na mtoto wake, nasikia walikuwa hawalali msiban, walikuwa wanalala hotelin ila hasubuh wanashinda msiban

Lakini si alishasema kilichokuwa kinasababisha walale hotelini?? Ni kwamba wenzetu Wakenya misiba yao siyo kama sisi, walipopokea maiti ya ndugu yao wakaiweka mochwari then wakawa busy na mambo yao hata msibani hawaonekani na ilipangwa wakutane siku moja kabla ya mazishi.

Sasa hapo wewe utakaa unajiliza nini sasa!? Wenyewe hawalali wenye mtoto ukalale wewe ili...??
 
Binamu hadi ya huko unayo mmmmmhhhh nimekuaminiaaa

Umbea kipaji changu jamanii, had leo hujanizoea binamu??,

Wambea wenzangu wakamuuliza kulikon unalala hotelin msiba wa aliyekuwa mumeo, bibie na mdom wake sasa kama flampen asianze kuchonga nn?? Taarabu tukaandikiwa had instagram Akasema misiba ya kenya tofaut na uku, kule kila mt kivyak, misibi n jumamos tu,siku za kawaida wat n mishe zao
 


Ukweni washamsusa niniii
 
Ukweni washamsusa niniii

Mmh itakuwa mwenzangu, maana haingii akilin kabisa, labda walisema hawamjui yeye wala mtoto wawapishe, maana si unajua wakenya ambavy sio wanafiki??, labd walipew madongo mwenzang
 
Mmh itakuwa mwenzangu, maana haingii akilin kabisa, labda walisema hawamjui yeye wala mtoto wawapishe, maana si unajua wakenya ambavy sio wanafiki??, labd walipew madongo mwenzang


Eti katika picha ya watt wa marehemu mbona sijamuona mtoto wa Monalisa??? kulikoni
 

Ndo wakenya wengi wanavyofanya,sisi pia tushawahi safirisha maiti ya mkenya kwenda nairobi,yani ilikuwa kutoka airport mpaka mortuary..tukapelekwa hotelini kulala na kuambiwa siku ya mazishi.wao wenyewe waliendelea na shughuli zao kama kawa,mpaka siku ya mazishi.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwa kawaida Wakenya huwa hawaziki mapema,mara nyingi maiti inaweza kuchukua wiki mbili hadi kuzikwa,tena basi kama aliyekufa alikuwa tajiri basi si chini ya wiki hata tatu na pia huko watu wana mapingamizi ya jinsi ya kuzika balaa inakuwa kama ndoa ni kati ya Mjaluo na Mkikuyu,Wajaluo hudai lazima wazikwe kwao walikozaliwa wakati Wakikuyu wanapenda nao wazikwe kwao au Nairobi sasa hapo ndipo hukimbilia mahakama kuamua kesi na kesi inachukua muda mrefu,maiti nyingi za watu maarufu zimewahi kukaa hata zaidi ya mwaka zikiwa chumba cha maiti zikusubiri maamuzi ya mahakama,sasa kwa hiyo marehemu wetu wiki moja au mbili ni kawaida huko kwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…