KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Sijui kanisa litaongozwa na nani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui kanisa litaongozwa na nani!
Waweke picha🤣Sasa unatoa RIP na uhakika huna!?
Mbona baba wa taifa amefariki na taifa lake linaendeleaHaya sasa, hilo kanisa lake sijui litaendelea? Maana mmiliki ameshafariki.
Ndio shida ya kanisa kumilikiwa na mtu mmoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshika mawili moja humponyoka
Sasa hapa siasa na dini zimetoka wapi, hapa habari ni mama amefariki baas, acha udini na usiasa wako.Sijawahi kukubali Watumishi wa Mungu kuwa wanasiasa kabisa mshika mawili mmoja humponyoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya sasa, hilo kanisa lake sijui litaendelea? Maana mmiliki ameshafariki.
Ndio shida ya kanisa kumilikiwa na mtu mmoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Atachukua Askofu wake Askofu Arthur Kitonga Wa Kenya aliyemlea na kumfikisha hapo na kumwezesha kuanzisha mashule na uendeshaji wakeHaya sasa, hilo kanisa lake sijui litaendelea? Maana mmiliki ameshafariki.
Ndio shida ya kanisa kumilikiwa na mtu mmoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamfahamu Yusuf wa kwenye Biblia? Mume wa Bikira MariaSijawahi kukubali Watumishi wa Mungu kuwa wanasiasa kabisa mshika mawili mmoja humponyoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli ndugu yangu. Tujifunze kutenda mema tunapoishi.