Dunia hii wanaofanikiwa ni kwa sababu ya ujinga wa wengine. Mijitu mizima unaikuta front seat kumbe inafuatilia deals. Bahati mbaya wema wanajikuta mikononi mwa watu kama hawa.Mama si alikuwa anawombea watu wasiumwe yy mbona kaumwa na kufa .yy alikuwa anafufua watu basi naye ajifufue
Tanzania Assemblies of God sio kanisa la kata, ni kanisa kubwa sio tu Tanzania bali ulimwengu mzima, kanisa hili lina misingi kamili na imara lakini huyu mtumishi alichepuka na kulifanya lake kuwa ministry baada ya kujijenga. Huwenda likarudishwa kwa kanisa mama
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo umeandika nini? Hii corona iishe shule zifunguliweRip ...makanisa yafungwe
Kutumia kipawa alichokupa Kuhudumia wengine iwe kwa kulipwa au kutoa bure.Niliwai kujiuliza lengo la kuishi duniani ni nini hasa, mpaka leo sijapata jibu
Hill alisajili kama Mikocheni B Assemblies of God sio Tanzania Assemblies of God !!!!
Hakuna mvutano Wa kisheria hapo ni makanisa mawili tofauti yenye majina tofauti yenye hati tofauti
Wale wa kujimwambafy waliwekeza kwenye ndumba kuliko kwa Jehovah wanaodanganywa na masangoma kuwatabiria ya kesho yao hii salama hawawezi kuelewa.Zinasaidia kujua maisha ni mzunguko leo kwa yule kesho kwako
Nadhani sasa Tanzania Assemblies of God wataanzisha mchakato wa kuchukua kanisa lao. Muda si mrefu mgogoro utaanza.
acha masiala aiseee, serious?