Truth Teller
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 1,623
- 2,892
Hata njia ya Mungu aliiacha Muda. Wapo viongozi ambao aliwaziba midomo kwa kiburi cha pesa zakeTanzania Assemblies of God sio kanisa la kata, ni kanisa kubwa sio tu Tanzania bali ulimwengu mzima, kanisa hili lina misingi kamili na imara lakini huyu mtumishi alichepuka na kulifanya lake kuwa ministry baada ya kujijenga. Huwenda likarudishwa kwa kanisa mama
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakumbuka mwaka 2008 kipindi Mama Rwakatale anachaguliwa Ubunge alikabidhi kanisa TAG na ikatokea mgogoro.Tanzania assemblies of God haihusiki hata kidogo
♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
Sio kweli Mtu akifa hati ya kifo ya hospital huonyesha kafa kwa ajili ya nini acha porojo huyo kafia hospital sio nyumbaniKwenye haya masuala familia huwa haisikilizwi ....competent authority ni Maabara ya Taifa au Pathologist ....ndugu yeyote atapenda kusema tofauti kukwepa kadhia ya kwenda kuwekwa karantini nyumba nzima ...huo ndio uzoefu ,,,ni bora wakasubiri majibu toka maabara kuu ya taifa au kwa chief pathologist wa serikali
It won't save any purpose marehemu hawarudi.Watu wengi hawamjui mama Rwakatare , ndio mmiliki wa Kituo cha Radio cha Jijini Dar es salaam Prise FM.
Ndio mwanzilishi wa shule za St Marys Tanzania. Kwa kweli mama alikuwa na kipawa ameacha alama duniani.
Tujiulize Mimi na wewe tutaacha alama ipi huku duniani pindi tutakapoita na Mwenyenzi Yote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yote maishaHili jina la Arthur kitonga limenifikirisha nimejaribu kuunganisha dont na Hardware ya Kitonga Hardware ya Jijini Arusha mmiliki ni Arthur Shayo . duka ni kitonga
Sent using Jamii Forums mobile app
RIP sioReturn If Possible
Mie mwenyewe nilikua namwelewa..amezichanga sana huyu mama! Atazikwa kitajiri had raha!..
Huyu mama kapigana sana na hili life na nadhani ni moja ya wanawake wenye majina Tz hii kwa kazi zake tu... ntamiss ule ukavu ukavu na muungurumo wa sauti 😊
wewe unasali kanisa gani?Nilikuwa namuuliza wife Jana kama wanaosali kwenye vioski wenyewe wanaita makanisa kama zimo kichwani
Sent using Jamii Forums mobile app
😅😅nilifikiria mbali! Ukavu ukavu .oh yeayeah sauti yake ni unique aisee
Sasa hiyo hati ya kifo huwa inaandaliwa na familia? maana hoja yako ilikuwa bora familia wamesema ! familia kwenye hili sio competent authority na hati ya kifo hutoka baada ya vipimo vya pathologist.So kweli MTU akifa hati ya kifo ya hospital huonyesha kafa kwa ajili ya nini acha porojo huyo kafia hospital sio nyumbani