Nikishangaa sana hakumtia Sykes wala mambo ya msikiti.
Ngongo,
Rudi nyuma soma utamkuta Sykes, Waislam na Uislam:
Angalia post #5.
Nakuwekea:
Pole sana Mzee kwa msiba wa rafiki yako Edith. Pia nakupongeza mno kwa kuweza kuandika uzi bila kuwataja kina Sykes wala kuingiza mambo ya kidini. Hakika mzee umeupiga mwingi.
Mama...
Wewe si wa kwanza kujaribu kuwafuta Sykes katika historia ya Waafrika wa Tanganyika na harakati za uhuru.
Unaweza kuandika historia ya vijiji vya ujamaa bila ya kumtaja Nyerere?
Jibu ni wazi kabisa haiwezekani.
Unaweza kuandika historia ya uhuru wa Kenya bila ya kuwataja Wakikuyu na Mau Mau?
Haiwezekani.
Ndivyo ilivyo kwa Sykes.
Huwezi kuandika historia ya uhuru wa Tanganyika bila kuwataja Sykes.
Hapo juu ni taazia.
Sykes anaingije katika taazia ya Dr. Edith Kitambi?
Ingekuwa historia ya Wissman na Deutsch-Ostafrika na African Association na TANU ningewataja Sykes.
Hili nimeliweka mwisho kwa makusudi.
Mimi nimo katika Cambridge Journal of African History na nimo katika Dictionary of African Biography na kilichoniingiza humo ni kutafiti na kuandika historia ya Sykes kuanzia mwishoni mwa 1800 hadi mwanzoni 2000.
Ningekuwa naandika dini nisingeweza kuwa katika viwanja hivyo.
Lakini kitu kimoja tambua hata ikiwa hupendezewi kama wengi walivyokuwa hawakupenda kabla yako, mchango wa Waislam katika kupigania uhuru wa Tanganyika hauna mfanowe.
Sykes ndiyo walioasisi Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) 1933 baada ya kuasisi African Association 1929.
Historia hii inakuudhi?
Quote Reply
Select for moderation
Report Edit Delete
Reactions:
makaveli10, Offshore Seamen, Myangu and 7 others
[IMG alt="Board member"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/650/650981.jpg?1633697091[/IMG]
Member
Sep 24, 2021 42 67
Jibu zuri sana.
Kwamba hauwaandiki kina Sykes kwa sababu ni waislam wenzako, bali ni kwa sabab walipigania uhuru na historia inayofundishwa na watawala haiwataji.
Binafsi naomba unisaidie kufaham, hiv kwanini baadhi ya wapigania uhuru wa nchi yetu wamesahauliwa? Dossa Aziz, Tewa Said Tewa, Suleiman Takadir nikiwataja kwa uchache.
By the way naomba nifikishie salam kwa mama yangu mhe. Ridhiki Shahali Ngwali, japo hanifahamu ila nilikua tayari kumchagua kuwa m/kiti wa CUF taifa katika uchaguzi uliovurugika wa 2016.
Thanks Quote Reply
Select for moderation
Report
Reactions:
makaveli10, Offshore Seamen and Myangu
[IMG alt="MamaSamia2025"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/75/75738.jpg?1674077163[/IMG]
JF-Expert Member
Mar 29, 2012 6,871 14,089
Mama...
Wewe si wa kwanza kujaribu kuwafuta Sykes katika historia ya Waafrika wa Tanganyika na harakati za uhuru.
Unaweza kuandika historia ya vijiji vya ujamaa bila ya kumtaja Nyerere?
Jibu ni wazi kabisa haiwezekani.
Unaweza kuandika historia ya uhuru wa Kenya bila ya kuwataja Wakikuyu na Mau Mau?
Haiwezekani.
Ndivyo ilivyo kwa Sykes.
Huwezi kuandika historia ya uhuru wa Tanganyika bila kuwataja Sykes.
Hapo juu ni taazia.
Sykes anaingije katika taazia ya Dr. Edith Kitambi?
Ingekuwa historia ya Wissman na Deutsch-Ostafrika na African Association na TANU ningewataja Sykes.
Hili nimeliweka mwisho kwa makusudi.
Mimi nimo katika Cambridge Journal of African History na nimo katika Dictionary of African Biography na kilichoniingiza humo ni kutafiti na kuandika historia ya Sykes kuanzia mwishoni mwa 1800 hadi mwanzoni 2000.
Ningekuwa naandika dini nisingeweza kuwa katika viwanja hivyo.
Lakini kitu kimoja tambua hata ikiwa hupendezewi kama wengi walivyokuwa hawakupenda kabla yako, mchango wa Waislam katika kupigania uhuru wa Tanganyika hauna mfanowe.
Sykes ndiyo walioasisi Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) 1933 baada ya kuasisi African Association 1929.
Historia hii inakuudhi?
Click to expand...
Dingi si ungesema tu Sykes hahusiki na stori ya Dr Edith? 🤣🤣🤣. Mimi naona ulipitiwa ila ungeshajikuta unasema bibi yake na Dr Edith alikuwa shogake na mke wa Sykes.. yaani huwa kwa namna yoyote ile lazima uchomekee jina Sykes kwenye uzi.
Thanks Quote Reply
Select for moderation
Report
Reactions:
Ngongo, Division One, steveachi and 3 others
[IMG alt="Ushimen"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/107/107971.jpg?1554225930[/IMG]
JF-Expert Member
Oct 24, 2012 35,354 78,896
R.i.P Classmate....😥
Maybe we should underpaid politicians and overpaid teachers, then they would be smarter people and less stupid laws...🤗🤗
Thanks Quote Reply
Select for moderation
Report
Reactions:
Offshore Seamen
[IMG alt="Mohamed Said"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/12/12431.jpg?1487429425[/IMG]
JF-Expert Member
Nov 2, 2008 19,727 28,463
Jibu zuri sana.
Kwamba hauwaandiki kina Sykes kwa sababu ni waislam wenzako, bali ni kwa sabab walipigania uhuru na historia inayofundishwa na watawala haiwataji.
Binafsi naomba unisaidie kufaham, hiv kwanini baadhi ya wapigania uhuru wa nchi yetu wamesahauliwa? Dossa Aziz, Tewa Said Tewa, Suleiman Takadir nikiwataja kwa uchache.
By the way naomba nifikishie salam kwa mama yangu mhe. Ridhiki Shahali Ngwali, japo hanifahamu ila nilikua tayari kumchagua kuwa m/kiti wa CUF taifa katika uchaguzi uliovurugika wa 2016.
Click to expand...
Dingi si ungesema tu Sykes hahusiki na stori ya Dr Edith? 🤣🤣🤣. Mimi naona ulipitiwa ila ungeshajikuta unasema bibi yake na Dr Edith alikuwa shogake na mke wa Sykes.. yaani huwa kwa namna yoyote ile lazima uchomekee jina Sykes kwenye uzi.
Mama...
Suala la historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika na wahusika wa harakati hizi ni kitu kilikuwa nyeti sana katika miaka iliyopita.
Hapa naona wewe umeligeuza jambo hili kuwa somo la kunikejeli na kuweka picha za vichekesho.
Sykes siwachomeki katika historia ya Tanganyika.
Vipi utamchomeka Kleist Sykes mzalendo aliyeasisi African Association 1929 na Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika 1933 na vyama hivi vyote vilipambana na ukoloni?
Vipi utamchomeka Abdul Sykes na nduguze wazalendo waliokuwa wafadhili, viongozi na waasisi wa TANU na walimpokea Nyerere na kuishi na yeye?
Nimeandika kitabu kizima kuhusu Sykes (1998) na kitabu kimechapwa matoleo manne.
Kila aliyesoma kitabu hiki kimemuathiri.
Kitabu hiki kimebadili historia kwanza ya uhuru wa Tanganyika na pia historia ya Julius Nyerere.
Waliowatoa Sykes katika historia leo wanajifunza upya historia ya uhuru wa Tanganyika na historia ya Nyerere.
Quote Reply
Select for moderation
Report Edit Delete
Reactions:
makaveli10
[IMG alt="Mohamed Said"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/12/12431.jpg?1487429425[/IMG]
JF-Expert Member
Nov 2, 2008 19,727 28,463
Mama...
Nasikitika kwa kunipa jina "Dingi."
Mimi siko hapa kufanya vichekesho bali nipo hapa kusomesha.
Unapenda baki darasani usome.
La unaona historia hii inakuchoma moyo achananayo.
Suala la historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika na wahusika wa harakati hizi ni kitu kilikuwa nyeti sana katika miaka iliyopita.
Hapa naona wewe umeligeuza jambo hili kuwa somo la kunikejeli na kuweka picha za vichekesho.
Sykes siwachomeki katika historia ya Tanganyika.
Vipi utamchomeka Kleist Sykes mzalendo aliyeasisi African Association 1929 na Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika 1933 na vyama hivi vyote vilipambana na ukoloni?
Vipi utamchomeka Abdul Sykes na nduguze wazalendo waliokuwa wafadhili, viongozi na waasisi wa TANU na walimpokea Nyerere na kuishi na yeye?
Nimeandika kitabu kizima kuhusu Sykes (1998) na kitabu kimechapwa matoleo manne.
Kila aliyesoma kitabu hiki kimemuathiri.
Kitabu hiki kimebadili historia kwanza ya uhuru wa Tanganyika na pia historia ya Julius Nyerere.
Waliowatoa Sykes katika historia leo wanajifunza upya historia ya uhuru wa Tanganyika na historia ya Nyerere.
Click to expand...
Quote Reply
Select for moderation
Report Edit Delete
[IMG alt="Mpaji Mungu"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/707/707090.jpg?1682357071[/IMG]
JF-Expert Member
Apr 24, 2023 2,665 7,220
🙄🙄🙄🙄ina maaana Leo andiko lote hamna Sykes na uislamu? Ngoja nirudie kusoma
Thanks Quote Reply
Select for moderation
Report
Reactions:
Ngongo, MamaSamia2025, steveachi and 1 other person
[IMG alt="Prince Mhando"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/366/366422.jpg?1594075688[/IMG]
JF-Expert Member
Mar 25, 2014 8,087 9,030
Babu shikamoo, nyie wenzetu mlibahatika mlipata elimu ya first grade. Lakini siku hizi elimu imechakachuliwa sana na sijui ni kwanini...? Ila Babu sema ukweli Dkt. Edith Kitambi {mwenyezi Mungu amlaze mahala pema peponi} hakuwa bibi yetu kweli huyu...?
Kama ni kweli Babu uliopoa 🥰🤣🙈🙈
I only tRuSt yOu GoD.
Thanks Quote Reply
Select for moderation
Report
Reactions:
makaveli10, MamaSamia2025, Division One and 2 others
[IMG alt="MENEMENE TEKERI NA PERESI"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/662/662750.jpg?1695552437[/IMG]
JF-Expert Member
Mar 11, 2022 1,489 3,514
Babu shikamoo, nyie wenzetu mlibahatika mlipata elimu ya first grade. Lakini siku hizi elimu imechakachuliwa sana na sijui ni kwanini...? Ila Babu sema ukweli Dkt. Edith Kitambi {mwenyezi Mungu amlaze mahala pema peponi} hakuwa bibi yetu kweli huyu...?
Kama ni kweli Babu uliopoa
Unamtafuta mzee asubuhi yote hii
Thanks Quote Reply
Select for moderation
Report
Reactions:
Prince Mhando
[IMG alt="Mohamed Said"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/12/12431.jpg?1487429425[/IMG]
JF-Expert Member
Nov 2, 2008 19,727 28,463
🙄🙄🙄🙄ina maaana Leo andiko lote hamna Sykes na uislamu? Ngoja nirudie kusoma
Mpaji...
Nakuwekea wapi utamsoma Nyerere kutoka kalamu yangu na wapi utawasoma Waislam na Uislam kutoka kwangu:
''Tanganyika ilipopata uhuru wake mwaka 1961 Salum Abdallah Popo aliachana mkono na Nyerere kama wengi walivyofanya na aliwekwa kizuizini na serikali chini ya sheria ya Preventive Dentetion Act of 1962 kwa ajili ya msimamo wake wa kuamini kuwa vyama vya wafanyakazi viwe huru.
Akiwa mwenyekiti wa Tanganyika Railways African Union (TRAU) alipinga vyama vya wafanyakazi kuwekwa chini ya Tanganyika African National Union (TANU)...''
(Kutoka kitabu cha Abdul Sykes).
Huyu Salum Abdallah ni babu yangu na picha yake hiyo hapo chini:
Kulia: Kassanga Tumbo (Katibu) anemfuatia ni Salum Abdallah (Mwenyekiti) TRAU miaka ya 1950 wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika
Sasa tusome Uislam na Waislam:
Waikela alinieleza jinsi Waislam kwa umoja wao walivyomuunga mkono Julius Nyerere na harakati za uhuru.
Vilevile alinieleza kwa muhtasari siku zake kizuizini pamoja na babu yangu katika gereza la Uyui, Tabora kwa kile kilichoitwa kosa la ‘’kuchanganya dini na siasa.’’
Waliosimama nyuma kulia wa kwanza ni Bilal Rehani Waikela chini yake ni Julius Nyerere alipokwenda Tabora mwaka wa 1955 katika juhudi za kuijenga TANU.
Nina deni kubwa kwake kwa Mzee Waikela kwa kunipa picha za wakati ule na nyaraka zake binafsi juu ya ‘’mgogoro,’’ wa EAMWS uliozushwa mara baada ya uhuru.
Bwana Mpaji,
Huenda historia hii inakukera kama ilivyowaudhi wengi hadi kufika kuweka mikakati wakaifuta.
Kwangu mimi kama ulivyosoma hapo juu ni historia ya wazee wangu wengine kwa nasaba na wengine kwa ujamaa wa karibu sana.
Sikuweza kustahamili kuona historia iliyopo si ya kweli ikabidi nitafiti na nimeandika kitabu kizima.
Historia hii sasa ipo huu mwaka wa 25 na ibra kubwa ni kuwa watu hawachoki kuihadithia na kuniuliza maswali na baadhi kama wewe kunikejeli.
Nasikitika kuwa huna hata ustaarabu wa kuweka staha na heshima kwenye taazia ya marehemu Dr. Edith Kitambi.
Quote Reply
Select for moderation
Report Edit Delete
Reactions:
makaveli10 and Prince Mhando
[IMG alt="Sir John Roberts"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/419/419229.jpg?1500970585[/IMG]
JF-Expert Member
Mar 1, 2017 6,140 8,856
Babu shikamoo, nyie wenzetu mlibahatika mlipata elimu ya first grade. Lakini siku hizi elimu imechakachuliwa sana na sijui ni kwanini...? Ila Babu sema ukweli Dkt. Edith Kitambi {mwenyezi Mungu amlaze mahala pema peponi} hakuwa bibi yetu kweli huyu...?
Kama ni kweli Babu uliopoa
"Tukazoeana sana nikawa nimepata pia daktari kidogo nikijisikia namwendea."
Jibu lako lipo hapa.
Thanks Quote Reply
Select for moderation
Report
Reactions:
makaveli10, MamaSamia2025, alubati and 3 others
[IMG alt="Prince Mhando"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/366/366422.jpg?1594075688[/IMG]
JF-Expert Member
Mar 25, 2014 8,087 9,030
"Tukazoeana sana nikawa nimepata pia daktari kidogo nikijisikia namwendea."
Jibu lako lipo hapa.
Hata Mimi niliposoma hapo nikajua tu. Babu alipata bibi ughaibuni. Walau na sisi wajukuu tukibahatika kwenda huko tuna pakufikia🤣🤣🤣
I only tRuSt yOu GoD.
Thanks Quote Reply
Select for moderation
Report
Reactions:
makaveli10, Division One and Sir John Roberts
[IMG alt="Shimba ya Buyenze"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/265/265664.jpg?1679152661[/IMG]
JF-Expert Member
Dec 22, 2014 170,119 1,014,831
🙄🙄🙄🙄ina maaana Leo andiko lote hamna Sykes na uislamu? Ngoja nirudie kusoma
Dr. Edith hakuwa mwislamu na wala hakuwa na uhusiano na akina Skyes. Sasa akina Skyes na Uislamu vingetajwaje?
Ila umenichekesha sana. JF bana! 😁😁😁
Yote ni Kujilisha Upepo
(Mh 1:17)
Thanks Quote Reply
Select for moderation
Report
Reactions:
Division One
[IMG alt="Mpaji Mungu"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/707/707090.jpg?1682357071[/IMG]
JF-Expert Member
Apr 24, 2023 2,665 7,220
Dr. Edith hakuwa mwislamu na wala hakuwa na uhusiano na akina Skyes. Sasa akina Skyes na Uislamu vingetajwaje?
Ila umenichekesha sana 😁😁😁
At least kidogo umenifungua macho nkajua nimesoma kwa pupa nikaruka baadhi ya mistari
Thanks Quote Reply
Select for moderation
Report
Reactions:
Division One and Shimba ya Buyenze
[IMG alt="MENEMENE TEKERI NA PERESI"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/662/662750.jpg?1695552437[/IMG]
JF-Expert Member
Mar 11, 2022 1,489 3,514
Hata Mimi niliposoma hapo nikajua tu. Babu alipata bibi ughaibuni. Walau na sisi wajukuu tukibahatika kwenda huko tuna pakufikia
Babu mbona hizi komenti kama hazioni .
Aje atueleze tujue sio mimi nafika Cardiff nianze kulala mitaroni wakati ndugu zetu wapo
Thanks Quote Reply
Select for moderation
Report
Reactions:
makaveli10, Capt Tamar and Division One
[IMG alt="Mohamed Said"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/12/12431.jpg?1487429425[/IMG]
JF-Expert Member
Nov 2, 2008 19,727 28,463
Unamtafuta mzee asubuhi yote hii
Mene...
Mimi ni kwa umri wangu wa miaka 71 wewe ni mwanangu si mjukuu.
Watoto wako ndiyo wajukuu zangu.
Kwa mila zetu wewe huwezi kunitania.
Watani zangu ni wanao.
Quote Reply
Select for moderation
Report Edit Delete
Reactions:
Mtu Alie Nyikani, makaveli10, Offshore Seamen and 4 others
Next
BoldItalicFont sizeMore options…
ListAlignment
- Align left
- Align center
- Align right
- Justify text
Paragraph format
Insert linkInsert imageMore options…
UndoMore options…
Preview
Text colorFont familyStrike-throughUnderlineInline codeInline spoiler
SmiliesInsert videoMediaQuoteInsert tableInsert horizontal lineSpoilerCode
RedoRemove formattingToggle BB codeDrafts
Nikishangaa sana hakumtia Sykes wala mambo ya msikiti.
Ngongo,
Rudi nyuma soma utamkuta Sykes, Waislam na Waislam
Post reply
Attach files
Similar Discussions
Share:
FacebookTwitterRedditWhatsAppEmailLink
- We strongly recommend enabling push notific