Tanzia iliyochelewa: Dkt. Edith Kitambi

Tanzia iliyochelewa: Dkt. Edith Kitambi

Prince...
Kujisikia maana yake kuumwa.

Taazia ni kumbukumbu ya marehemu si kitu cha kutania.

Wafikirie ndugu wa marehemu.
Wewe ni babu yangu. Maana baba yangu hata kazi Bado ajastaafu🙏🙏🙏 Kwa jibu Hilo mzee Mohamed Said inajidhihilisha ni jinsi Gani ulivyo na hekma na busara...haki vile Huwa najifunza mengi mno Kila nikisoma mabandiko Yako.

Hayo mengine Huwa tunaandika tukijua wewe ni babu na sisi ni wajukuu zako 🤣🤣🤣🤣​
 
Wewe ni babu yangu. Maana baba yangu hata kazi Bado ajastaafu🙏🙏🙏 Kwa jibu Hilo mzee Mohamed Said inajidhihilisha ni jinsi Gani ulivyo na hekma na busara...haki vile Huwa najifunza mengi mno Kila nikisoma mabandiko Yako.

Hayo mengine Huwa tunaandika tukijua wewe ni babu na sisi ni wajukuu zako 🤣🤣🤣🤣​
Prince...
Sichukui kile kisicho haki yangu.

Hakuna anaenijua mimi babu kwani hapa niko zaidi ya miaka 10 na wengi wananijua.

Mjukuu wangu mkubwa ana miaka 10.
Wewe kwangu ni mwana.

Nakuomba nipe heshima ya baba.
 
Prince...
Sichukui kile kisicho haki yangu.

Hakuna anaenijua mimi babu kwani hapa niko zaidi ya miaka 10 na wengi wananijua.

Mjukuu wangu mkubwa ana miaka 10.
Wewe kwangu ni mwana.

Nakuomba nipe heshima ya baba.
Una miaka 71, mjukuu wa kwanza ana miaka 10.. je ni wewe ulichelewa kupata watoto, au watoto wako ndio wamechelewa kupata watoto?
 
Una miaka 71, mjukuu wa kwanza ana miaka 10.. je ni wewe ulichelewa kupata watoto, au watoto wako ndio wamechelewa kupata watoto?
Maka...
Nakujibu kwa kuwa ni ustaarabu kwangu kufanya hivyo.

Iwe iwavyo kuwa na mjukuu wa umri wa vijana mlio hapa kwangu ni vigumu.

Wote vijana mlio hapa mna makamo ya wanangu.

Laiti mngekuwa na umri wa ujukuu ningekupokeeni kwa hizo staha zenu ndiyo maana kwa kuwa mna umri wa kuwa wanangu nazungumza nanyi kama watoto wangu.

Nadhani lipo tatizo la kufunza adabu katika jamii yetu ndiyo maana mmekuwa wakaidi hata pale mnapoelekezwa adabu.
 
Prince...
Sichukui kile kisicho haki yangu.

Hakuna anaenijua mimi babu kwani hapa niko zaidi ya miaka 10 na wengi wananijua.

Mjukuu wangu mkubwa ana miaka 10.
Wewe kwangu ni mwana.

Nakuomba nipe heshima ya baba.
Shukrani mzee wangu...🙏🙏🙏 Ila ukipata kinafasi hata Cha kufagia barabara TU huko ughaibuni nipigie pasi mwanao...!
 
Maka...
Nakujibu kwa kuwa ni ustaarabu kwangu kufanya hivyo.

Iwe iwavyo kuwa na mjukuu wa umri wa vijana mlio hapa kwangu ni vigumu.

Wote vijana mlio hapa mna makamo ya wanangu.

Laiti mngekuwa na umri wa ujukuu ningekupokeeni kwa hizo staha zenu ndiyo maana kwa kuwa mna umri wa kuwa wanangu nazungumza nanyi kama watoto wangu.

Nadhani lipo tatizo la kufunza adabu katika jamii yetu ndiyo maana mmekuwa wakaidi hata pale mnapoelekezwa adabu.
Hakuna sehemu nimekukosea adabu mzee wangu.
Nimekuuliza tu kwa umri wa miaka 71 una mjukuu wa miaka 10(ndio) wa kwanza, ndio nauliza ni wewe ulichelewa kupata watoto au wanao ndio walichelewa kupata watoto.. wengine wa umri wako tayari wana wajukuu wa miaka 20+ hivi.

Kama nimekukosea, niwie radhi mzee wangu
 
Pole sana Mzee kwa msiba wa rafiki yako Edith. Pia nakupongeza mno kwa kuweza kuandika uzi bila kuwataja kina Sykes wala kuingiza mambo ya kidini. Hakika mzee umeupiga mwingi.
Nikishangaa sana hakumtia Sykes wala mambo ya msikiti.
 
Hua nikisoma namna unaandika naona nasoma riwaya ya Shafi Adam Shafi ya Vuta n'kuvute
 
Nikishangaa sana hakumtia Sykes wala mambo ya msikiti.
Ngongo,
Rudi nyuma soma utamkuta Sykes, Waislam na Uislam:

Angalia post #5.
Nakuwekea:

Pole sana Mzee kwa msiba wa rafiki yako Edith. Pia nakupongeza mno kwa kuweza kuandika uzi bila kuwataja kina Sykes wala kuingiza mambo ya kidini. Hakika mzee umeupiga mwingi.
Mama...
Wewe si wa kwanza kujaribu kuwafuta Sykes katika historia ya Waafrika wa Tanganyika na harakati za uhuru.

Unaweza kuandika historia ya vijiji vya ujamaa bila ya kumtaja Nyerere?

Jibu ni wazi kabisa haiwezekani.

Unaweza kuandika historia ya uhuru wa Kenya bila ya kuwataja Wakikuyu na Mau Mau?

Haiwezekani.

Ndivyo ilivyo kwa Sykes.

Huwezi kuandika historia ya uhuru wa Tanganyika bila kuwataja Sykes.

Hapo juu ni taazia.

Sykes anaingije katika taazia ya Dr. Edith Kitambi?

Ingekuwa historia ya Wissman na Deutsch-Ostafrika na African Association na TANU ningewataja Sykes.

Hili nimeliweka mwisho kwa makusudi.

Mimi nimo katika Cambridge Journal of African History na nimo katika Dictionary of African Biography na kilichoniingiza humo ni kutafiti na kuandika historia ya Sykes kuanzia mwishoni mwa 1800 hadi mwanzoni 2000.

Ningekuwa naandika dini nisingeweza kuwa katika viwanja hivyo.

Lakini kitu kimoja tambua hata ikiwa hupendezewi kama wengi walivyokuwa hawakupenda kabla yako, mchango wa Waislam katika kupigania uhuru wa Tanganyika hauna mfanowe.

Sykes ndiyo walioasisi Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) 1933 baada ya kuasisi African Association 1929.

Historia hii inakuudhi?

Quote Reply
Select for moderation Report Edit Delete
Reactions:makaveli10, Offshore Seamen, Myangu and 7 others
[IMG alt="Board member"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/650/650981.jpg?1633697091[/IMG]

Board member

Member​

Sep 24, 2021 42 67
Jibu zuri sana.
Kwamba hauwaandiki kina Sykes kwa sababu ni waislam wenzako, bali ni kwa sabab walipigania uhuru na historia inayofundishwa na watawala haiwataji.

Binafsi naomba unisaidie kufaham, hiv kwanini baadhi ya wapigania uhuru wa nchi yetu wamesahauliwa? Dossa Aziz, Tewa Said Tewa, Suleiman Takadir nikiwataja kwa uchache.

By the way naomba nifikishie salam kwa mama yangu mhe. Ridhiki Shahali Ngwali, japo hanifahamu ila nilikua tayari kumchagua kuwa m/kiti wa CUF taifa katika uchaguzi uliovurugika wa 2016.

Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
Reactions:makaveli10, Offshore Seamen and Myangu
[IMG alt="MamaSamia2025"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/75/75738.jpg?1674077163[/IMG]

MamaSamia2025

JF-Expert Member​

Mar 29, 2012 6,871 14,089
Mama...
Wewe si wa kwanza kujaribu kuwafuta Sykes katika historia ya Waafrika wa Tanganyika na harakati za uhuru.

Unaweza kuandika historia ya vijiji vya ujamaa bila ya kumtaja Nyerere?

Jibu ni wazi kabisa haiwezekani.

Unaweza kuandika historia ya uhuru wa Kenya bila ya kuwataja Wakikuyu na Mau Mau?

Haiwezekani.

Ndivyo ilivyo kwa Sykes.

Huwezi kuandika historia ya uhuru wa Tanganyika bila kuwataja Sykes.

Hapo juu ni taazia.

Sykes anaingije katika taazia ya Dr. Edith Kitambi?

Ingekuwa historia ya Wissman na Deutsch-Ostafrika na African Association na TANU ningewataja Sykes.

Hili nimeliweka mwisho kwa makusudi.

Mimi nimo katika Cambridge Journal of African History na nimo katika Dictionary of African Biography na kilichoniingiza humo ni kutafiti na kuandika historia ya Sykes kuanzia mwishoni mwa 1800 hadi mwanzoni 2000.

Ningekuwa naandika dini nisingeweza kuwa katika viwanja hivyo.

Lakini kitu kimoja tambua hata ikiwa hupendezewi kama wengi walivyokuwa hawakupenda kabla yako, mchango wa Waislam katika kupigania uhuru wa Tanganyika hauna mfanowe.

Sykes ndiyo walioasisi Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) 1933 baada ya kuasisi African Association 1929.

Historia hii inakuudhi?
Click to expand...
Dingi si ungesema tu Sykes hahusiki na stori ya Dr Edith? 🤣🤣🤣. Mimi naona ulipitiwa ila ungeshajikuta unasema bibi yake na Dr Edith alikuwa shogake na mke wa Sykes.. yaani huwa kwa namna yoyote ile lazima uchomekee jina Sykes kwenye uzi.

Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
Reactions:Ngongo, Division One, steveachi and 3 others
[IMG alt="Ushimen"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/107/107971.jpg?1554225930[/IMG]

Ushimen

JF-Expert Member​

Oct 24, 2012 35,354 78,896
R.i.P Classmate....😥

Maybe we should underpaid politicians and overpaid teachers, then they would be smarter people and less stupid laws...🤗🤗
Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
Reactions:Offshore Seamen
[IMG alt="Mohamed Said"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/12/12431.jpg?1487429425[/IMG]

Mohamed Said

JF-Expert Member​

Nov 2, 2008 19,727 28,463
Jibu zuri sana.
Kwamba hauwaandiki kina Sykes kwa sababu ni waislam wenzako, bali ni kwa sabab walipigania uhuru na historia inayofundishwa na watawala haiwataji.

Binafsi naomba unisaidie kufaham, hiv kwanini baadhi ya wapigania uhuru wa nchi yetu wamesahauliwa? Dossa Aziz, Tewa Said Tewa, Suleiman Takadir nikiwataja kwa uchache.

By the way naomba nifikishie salam kwa mama yangu mhe. Ridhiki Shahali Ngwali, japo hanifahamu ila nilikua tayari kumchagua kuwa m/kiti wa CUF taifa katika uchaguzi uliovurugika wa 2016.
Click to expand...
Dingi si ungesema tu Sykes hahusiki na stori ya Dr Edith? 🤣🤣🤣. Mimi naona ulipitiwa ila ungeshajikuta unasema bibi yake na Dr Edith alikuwa shogake na mke wa Sykes.. yaani huwa kwa namna yoyote ile lazima uchomekee jina Sykes kwenye uzi.
Mama...
Suala la historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika na wahusika wa harakati hizi ni kitu kilikuwa nyeti sana katika miaka iliyopita.

Hapa naona wewe umeligeuza jambo hili kuwa somo la kunikejeli na kuweka picha za vichekesho.

Sykes siwachomeki katika historia ya Tanganyika.

Vipi utamchomeka Kleist Sykes mzalendo aliyeasisi African Association 1929 na Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika 1933 na vyama hivi vyote vilipambana na ukoloni?

Vipi utamchomeka Abdul Sykes na nduguze wazalendo waliokuwa wafadhili, viongozi na waasisi wa TANU na walimpokea Nyerere na kuishi na yeye?

Nimeandika kitabu kizima kuhusu Sykes (1998) na kitabu kimechapwa matoleo manne.

Kila aliyesoma kitabu hiki kimemuathiri.

Kitabu hiki kimebadili historia kwanza ya uhuru wa Tanganyika na pia historia ya Julius Nyerere.

Waliowatoa Sykes katika historia leo wanajifunza upya historia ya uhuru wa Tanganyika na historia ya Nyerere.

Quote Reply
Select for moderation Report Edit Delete
Reactions:makaveli10
[IMG alt="Mohamed Said"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/12/12431.jpg?1487429425[/IMG]

Mohamed Said

JF-Expert Member​

Nov 2, 2008 19,727 28,463
Mama...
Nasikitika kwa kunipa jina "Dingi."

Mimi siko hapa kufanya vichekesho bali nipo hapa kusomesha.

Unapenda baki darasani usome.
La unaona historia hii inakuchoma moyo achananayo.

Suala la historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika na wahusika wa harakati hizi ni kitu kilikuwa nyeti sana katika miaka iliyopita.

Hapa naona wewe umeligeuza jambo hili kuwa somo la kunikejeli na kuweka picha za vichekesho.

Sykes siwachomeki katika historia ya Tanganyika.

Vipi utamchomeka Kleist Sykes mzalendo aliyeasisi African Association 1929 na Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika 1933 na vyama hivi vyote vilipambana na ukoloni?

Vipi utamchomeka Abdul Sykes na nduguze wazalendo waliokuwa wafadhili, viongozi na waasisi wa TANU na walimpokea Nyerere na kuishi na yeye?

Nimeandika kitabu kizima kuhusu Sykes (1998) na kitabu kimechapwa matoleo manne.

Kila aliyesoma kitabu hiki kimemuathiri.

Kitabu hiki kimebadili historia kwanza ya uhuru wa Tanganyika na pia historia ya Julius Nyerere.

Waliowatoa Sykes katika historia leo wanajifunza upya historia ya uhuru wa Tanganyika na historia ya Nyerere.
Click to expand...

Quote Reply
Select for moderation Report Edit Delete
[IMG alt="Mpaji Mungu"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/707/707090.jpg?1682357071[/IMG]

Mpaji Mungu

JF-Expert Member​

Apr 24, 2023 2,665 7,220
🙄🙄🙄🙄ina maaana Leo andiko lote hamna Sykes na uislamu? Ngoja nirudie kusoma

Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
Reactions:Ngongo, MamaSamia2025, steveachi and 1 other person
[IMG alt="Prince Mhando"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/366/366422.jpg?1594075688[/IMG]

Prince Mhando

JF-Expert Member​

Mar 25, 2014 8,087 9,030
Babu shikamoo, nyie wenzetu mlibahatika mlipata elimu ya first grade. Lakini siku hizi elimu imechakachuliwa sana na sijui ni kwanini...? Ila Babu sema ukweli Dkt. Edith Kitambi {mwenyezi Mungu amlaze mahala pema peponi} hakuwa bibi yetu kweli huyu...?

Kama ni kweli Babu uliopoa 🥰🤣🙈🙈

I only tRuSt yOu GoD.
Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
Reactions:makaveli10, MamaSamia2025, Division One and 2 others
[IMG alt="MENEMENE TEKERI NA PERESI"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/662/662750.jpg?1695552437[/IMG]

MENEMENE TEKERI NA PERESI

JF-Expert Member​

Mar 11, 2022 1,489 3,514
Babu shikamoo, nyie wenzetu mlibahatika mlipata elimu ya first grade. Lakini siku hizi elimu imechakachuliwa sana na sijui ni kwanini...? Ila Babu sema ukweli Dkt. Edith Kitambi {mwenyezi Mungu amlaze mahala pema peponi} hakuwa bibi yetu kweli huyu...?

Kama ni kweli Babu uliopoa
emoji3059.png
emoji1787.png
emoji85.png
emoji85.png
Unamtafuta mzee asubuhi yote hii
emoji3.png
emoji3.png


Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
Reactions:Prince Mhando
[IMG alt="Mohamed Said"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/12/12431.jpg?1487429425[/IMG]

Mohamed Said

JF-Expert Member​

Nov 2, 2008 19,727 28,463
🙄🙄🙄🙄ina maaana Leo andiko lote hamna Sykes na uislamu? Ngoja nirudie kusoma
Mpaji...
Nakuwekea wapi utamsoma Nyerere kutoka kalamu yangu na wapi utawasoma Waislam na Uislam kutoka kwangu:

''Tanganyika ilipopata uhuru wake mwaka 1961 Salum Abdallah Popo aliachana mkono na Nyerere kama wengi walivyofanya na aliwekwa kizuizini na serikali chini ya sheria ya Preventive Dentetion Act of 1962 kwa ajili ya msimamo wake wa kuamini kuwa vyama vya wafanyakazi viwe huru.

Akiwa mwenyekiti wa Tanganyika Railways African Union (TRAU) alipinga vyama vya wafanyakazi kuwekwa chini ya Tanganyika African National Union (TANU)...''

(Kutoka kitabu cha Abdul Sykes).

Huyu Salum Abdallah ni babu yangu na picha yake hiyo hapo chini:

1696564760332.png

Kulia: Kassanga Tumbo (Katibu) anemfuatia ni Salum Abdallah (Mwenyekiti) TRAU miaka ya 1950 wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika
Sasa tusome Uislam na Waislam:

Waikela alinieleza jinsi Waislam kwa umoja wao walivyomuunga mkono Julius Nyerere na harakati za uhuru.

Vilevile alinieleza kwa muhtasari siku zake kizuizini pamoja na babu yangu katika gereza la Uyui, Tabora kwa kile kilichoitwa kosa la ‘’kuchanganya dini na siasa.’’

1696565253718.png

Waliosimama nyuma kulia wa kwanza ni Bilal Rehani Waikela chini yake ni Julius Nyerere alipokwenda Tabora mwaka wa 1955 katika juhudi za kuijenga TANU.
Nina deni kubwa kwake kwa Mzee Waikela kwa kunipa picha za wakati ule na nyaraka zake binafsi juu ya ‘’mgogoro,’’ wa EAMWS uliozushwa mara baada ya uhuru.

Bwana Mpaji,
Huenda historia hii inakukera kama ilivyowaudhi wengi hadi kufika kuweka mikakati wakaifuta.

Kwangu mimi kama ulivyosoma hapo juu ni historia ya wazee wangu wengine kwa nasaba na wengine kwa ujamaa wa karibu sana.

Sikuweza kustahamili kuona historia iliyopo si ya kweli ikabidi nitafiti na nimeandika kitabu kizima.

Historia hii sasa ipo huu mwaka wa 25 na ibra kubwa ni kuwa watu hawachoki kuihadithia na kuniuliza maswali na baadhi kama wewe kunikejeli.

Nasikitika kuwa huna hata ustaarabu wa kuweka staha na heshima kwenye taazia ya marehemu Dr. Edith Kitambi.

Quote Reply
Select for moderation Report Edit Delete
Reactions:makaveli10 and Prince Mhando
[IMG alt="Sir John Roberts"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/419/419229.jpg?1500970585[/IMG]

Sir John Roberts

JF-Expert Member​

Mar 1, 2017 6,140 8,856
Babu shikamoo, nyie wenzetu mlibahatika mlipata elimu ya first grade. Lakini siku hizi elimu imechakachuliwa sana na sijui ni kwanini...? Ila Babu sema ukweli Dkt. Edith Kitambi {mwenyezi Mungu amlaze mahala pema peponi} hakuwa bibi yetu kweli huyu...?

Kama ni kweli Babu uliopoa
emoji3059.png
emoji1787.png
emoji85.png
emoji85.png
"Tukazoeana sana nikawa nimepata pia daktari kidogo nikijisikia namwendea."

Jibu lako lipo hapa.

Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
Reactions:makaveli10, MamaSamia2025, alubati and 3 others
[IMG alt="Prince Mhando"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/366/366422.jpg?1594075688[/IMG]

Prince Mhando

JF-Expert Member​

Mar 25, 2014 8,087 9,030
"Tukazoeana sana nikawa nimepata pia daktari kidogo nikijisikia namwendea."

Jibu lako lipo hapa.
Hata Mimi niliposoma hapo nikajua tu. Babu alipata bibi ughaibuni. Walau na sisi wajukuu tukibahatika kwenda huko tuna pakufikia🤣🤣🤣

I only tRuSt yOu GoD.
Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
Reactions:makaveli10, Division One and Sir John Roberts
[IMG alt="Shimba ya Buyenze"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/265/265664.jpg?1679152661[/IMG]

Shimba ya Buyenze

JF-Expert Member​

Dec 22, 2014 170,119 1,014,831
🙄🙄🙄🙄ina maaana Leo andiko lote hamna Sykes na uislamu? Ngoja nirudie kusoma
Dr. Edith hakuwa mwislamu na wala hakuwa na uhusiano na akina Skyes. Sasa akina Skyes na Uislamu vingetajwaje?

Ila umenichekesha sana. JF bana! 😁😁😁

Yote ni Kujilisha Upepo
(Mh 1:17)

Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
Reactions:Division One
[IMG alt="Mpaji Mungu"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/707/707090.jpg?1682357071[/IMG]

Mpaji Mungu

JF-Expert Member​

Apr 24, 2023 2,665 7,220
Dr. Edith hakuwa mwislamu na wala hakuwa na uhusiano na akina Skyes. Sasa akina Skyes na Uislamu vingetajwaje?

Ila umenichekesha sana 😁😁😁
At least kidogo umenifungua macho nkajua nimesoma kwa pupa nikaruka baadhi ya mistari

Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
Reactions:Division One and Shimba ya Buyenze
[IMG alt="MENEMENE TEKERI NA PERESI"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/662/662750.jpg?1695552437[/IMG]

MENEMENE TEKERI NA PERESI

JF-Expert Member​

Mar 11, 2022 1,489 3,514
Hata Mimi niliposoma hapo nikajua tu. Babu alipata bibi ughaibuni. Walau na sisi wajukuu tukibahatika kwenda huko tuna pakufikia
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
Babu mbona hizi komenti kama hazioni .
Aje atueleze tujue sio mimi nafika Cardiff nianze kulala mitaroni wakati ndugu zetu wapo
emoji3.png


Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
Reactions:makaveli10, Capt Tamar and Division One
[IMG alt="Mohamed Said"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/12/12431.jpg?1487429425[/IMG]

Mohamed Said

JF-Expert Member​

Nov 2, 2008 19,727 28,463
Unamtafuta mzee asubuhi yote hii
emoji3.png
emoji3.png
Mene...
Mimi ni kwa umri wangu wa miaka 71 wewe ni mwanangu si mjukuu.

Watoto wako ndiyo wajukuu zangu.
Kwa mila zetu wewe huwezi kunitania.

Watani zangu ni wanao.

Quote Reply
Select for moderation Report Edit Delete
Reactions:Mtu Alie Nyikani, makaveli10, Offshore Seamen and 4 others
Next

BoldItalicFont sizeMore options…
ListAlignment
  • Align left
  • Align center
  • Align right
  • Justify text
Paragraph format
Insert linkInsert imageMore options…
UndoMore options…
Preview

Text colorFont familyStrike-throughUnderlineInline codeInline spoiler
SmiliesInsert videoMediaQuoteInsert tableInsert horizontal lineSpoilerCode
RedoRemove formattingToggle BB codeDrafts
Nikishangaa sana hakumtia Sykes wala mambo ya msikiti.
Ngongo,
Rudi nyuma soma utamkuta Sykes, Waislam na Waislam
Post reply

Attach files

Similar Discussions​

Share:
FacebookTwitterRedditWhatsAppEmailLink
  • We strongly recommend enabling push notific
 

Attachments

  • 1696621974157.gif
    1696621974157.gif
    42 bytes · Views: 2
  • 1696621973425.gif
    1696621973425.gif
    42 bytes · Views: 3
  • 1696621973803.gif
    1696621973803.gif
    42 bytes · Views: 3
  • 1696621974539.gif
    1696621974539.gif
    42 bytes · Views: 2
  • 1696621973493.gif
    1696621973493.gif
    42 bytes · Views: 2
  • 1696621974022.gif
    1696621974022.gif
    42 bytes · Views: 1
  • 1696621973293.gif
    1696621973293.gif
    42 bytes · Views: 1
  • 1696621974258.gif
    1696621974258.gif
    42 bytes · Views: 1
  • 1696621973729.gif
    1696621973729.gif
    42 bytes · Views: 1
  • 1696621973228.gif
    1696621973228.gif
    42 bytes · Views: 1
  • 1696621973886.gif
    1696621973886.gif
    42 bytes · Views: 1
  • 1696621973095.gif
    1696621973095.gif
    42 bytes · Views: 1
  • 1696621973161.gif
    1696621973161.gif
    42 bytes · Views: 1
  • 1696621973560.gif
    1696621973560.gif
    42 bytes · Views: 1
  • 1696621974472.gif
    1696621974472.gif
    42 bytes · Views: 2
  • 1696621974090.gif
    1696621974090.gif
    42 bytes · Views: 1
  • 1696621974406.gif
    1696621974406.gif
    42 bytes · Views: 1
  • 1696621973029.gif
    1696621973029.gif
    42 bytes · Views: 1
  • 1696621973656.gif
    1696621973656.gif
    42 bytes · Views: 1
  • 1696621974339.gif
    1696621974339.gif
    42 bytes · Views: 1
  • 1696621972963.gif
    1696621972963.gif
    42 bytes · Views: 2
  • 1696621972873.gif
    1696621972873.gif
    42 bytes · Views: 1
  • 1696621973360.gif
    1696621973360.gif
    42 bytes · Views: 1
  • 1696621972731.gif
    1696621972731.gif
    42 bytes · Views: 1
  • 1696621972803.gif
    1696621972803.gif
    42 bytes · Views: 1
Nikishangaa sana hakumtia Sykes wala mambo ya msikiti.
Ngongo,
Rudi nyuma soma utamkuta Sykes, Waislam na Waislam:
Pole sana Mzee kwa msiba wa rafiki yako Edith. Pia nakupongeza mno kwa kuweza kuandika uzi bila kuwataja kina Sykes wala kuingiza mambo ya kidini. Hakika mzee umeupiga mwingi.
Mama...
Wewe si wa kwanza kujaribu kuwafuta Sykes katika historia ya Waafrika wa Tanganyika na harakati za uhuru.

Unaweza kuandika historia ya vijiji vya ujamaa bila ya kumtaja Nyerere?

Jibu ni wazi kabisa haiwezekani.

Unaweza kuandika historia ya uhuru wa Kenya bila ya kuwataja Wakikuyu na Mau Mau?

Haiwezekani.

Ndivyo ilivyo kwa Sykes.

Huwezi kuandika historia ya uhuru wa Tanganyika bila kuwataja Sykes.

Hapo juu ni taazia.

Sykes anaingije katika taazia ya Dr. Edith Kitambi?

Ingekuwa historia ya Wissman na Deutsch-Ostafrika na African Association na TANU ningewataja Sykes.

Hili nimeliweka mwisho kwa makusudi.

Mimi nimo katika Cambridge Journal of African History na nimo katika Dictionary of African Biography na kilichoniingiza humo ni kutafiti na kuandika historia ya Sykes kuanzia mwishoni mwa 1800 hadi mwanzoni 2000.

Ningekuwa naandika dini nisingeweza kuwa katika viwanja hivyo.

Lakini kitu kimoja tambua hata ikiwa hupendezewi kama wengi walivyokuwa hawakupenda kabla yako, mchango wa Waislam katika kupigania uhuru wa Tanganyika hauna mfanowe.

Sykes ndiyo walioasisi Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) 1933 baada ya kuasisi African Association 1929.

Historia hii inakuudhi?

Quote Reply
Select for moderation Report Edit Delete
  • Thanks
  • Kicheko
Reactions:makaveli10, Offshore Seamen, Myangu and 7 others
[IMG alt="Board member"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/650/650981.jpg?1633697091[/IMG]

Board member

Member​

Sep 24, 2021 42 67
Jibu zuri sana.
Kwamba hauwaandiki kina Sykes kwa sababu ni waislam wenzako, bali ni kwa sabab walipigania uhuru na historia inayofundishwa na watawala haiwataji.

Binafsi naomba unisaidie kufaham, hiv kwanini baadhi ya wapigania uhuru wa nchi yetu wamesahauliwa? Dossa Aziz, Tewa Said Tewa, Suleiman Takadir nikiwataja kwa uchache.

By the way naomba nifikishie salam kwa mama yangu mhe. Ridhiki Shahali Ngwali, japo hanifahamu ila nilikua tayari kumchagua kuwa m/kiti wa CUF taifa katika uchaguzi uliovurugika wa 2016.

Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
  • Thanks
Reactions:makaveli10, Offshore Seamen and Myangu
[IMG alt="MamaSamia2025"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/75/75738.jpg?1674077163[/IMG]

MamaSamia2025

JF-Expert Member​

Mar 29, 2012 6,871 14,089
Mama...
Wewe si wa kwanza kujaribu kuwafuta Sykes katika historia ya Waafrika wa Tanganyika na harakati za uhuru.

Unaweza kuandika historia ya vijiji vya ujamaa bila ya kumtaja Nyerere?

Jibu ni wazi kabisa haiwezekani.

Unaweza kuandika historia ya uhuru wa Kenya bila ya kuwataja Wakikuyu na Mau Mau?

Haiwezekani.

Ndivyo ilivyo kwa Sykes.

Huwezi kuandika historia ya uhuru wa Tanganyika bila kuwataja Sykes.

Hapo juu ni taazia.

Sykes anaingije katika taazia ya Dr. Edith Kitambi?

Ingekuwa historia ya Wissman na Deutsch-Ostafrika na African Association na TANU ningewataja Sykes.

Hili nimeliweka mwisho kwa makusudi.

Mimi nimo katika Cambridge Journal of African History na nimo katika Dictionary of African Biography na kilichoniingiza humo ni kutafiti na kuandika historia ya Sykes kuanzia mwishoni mwa 1800 hadi mwanzoni 2000.

Ningekuwa naandika dini nisingeweza kuwa katika viwanja hivyo.

Lakini kitu kimoja tambua hata ikiwa hupendezewi kama wengi walivyokuwa hawakupenda kabla yako, mchango wa Waislam katika kupigania uhuru wa Tanganyika hauna mfanowe.

Sykes ndiyo walioasisi Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) 1933 baada ya kuasisi African Association 1929.

Historia hii inakuudhi?
Click to expand...
Dingi si ungesema tu Sykes hahusiki na stori ya Dr Edith? 🤣🤣🤣. Mimi naona ulipitiwa ila ungeshajikuta unasema bibi yake na Dr Edith alikuwa shogake na mke wa Sykes.. yaani huwa kwa namna yoyote ile lazima uchomekee jina Sykes kwenye uzi.

Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
  • Kicheko
  • Thanks
Reactions:Ngongo, Division One, steveachi and 3 others
[IMG alt="Ushimen"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/107/107971.jpg?1554225930[/IMG]

Ushimen

JF-Expert Member​

Oct 24, 2012 35,354 78,896
R.i.P Classmate....😥

Maybe we should underpaid politicians and overpaid teachers, then they would be smarter people and less stupid laws...🤗🤗
Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
  • Kicheko
Reactions:Offshore Seamen
[IMG alt="Mohamed Said"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/12/12431.jpg?1487429425[/IMG]

Mohamed Said

JF-Expert Member​

Nov 2, 2008 19,727 28,463
Jibu zuri sana.
Kwamba hauwaandiki kina Sykes kwa sababu ni waislam wenzako, bali ni kwa sabab walipigania uhuru na historia inayofundishwa na watawala haiwataji.

Binafsi naomba unisaidie kufaham, hiv kwanini baadhi ya wapigania uhuru wa nchi yetu wamesahauliwa? Dossa Aziz, Tewa Said Tewa, Suleiman Takadir nikiwataja kwa uchache.

By the way naomba nifikishie salam kwa mama yangu mhe. Ridhiki Shahali Ngwali, japo hanifahamu ila nilikua tayari kumchagua kuwa m/kiti wa CUF taifa katika uchaguzi uliovurugika wa 2016.
Click to expand...
Dingi si ungesema tu Sykes hahusiki na stori ya Dr Edith? 🤣🤣🤣. Mimi naona ulipitiwa ila ungeshajikuta unasema bibi yake na Dr Edith alikuwa shogake na mke wa Sykes.. yaani huwa kwa namna yoyote ile lazima uchomekee jina Sykes kwenye uzi.
Mama...
Suala la historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika na wahusika wa harakati hizi ni kitu kilikuwa nyeti sana katika miaka iliyopita.

Hapa naona wewe umeligeuza jambo hili kuwa somo la kunikejeli na kuweka picha za vichekesho.

Sykes siwachomeki katika historia ya Tanganyika.

Vipi utamchomeka Kleist Sykes mzalendo aliyeasisi African Association 1929 na Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika 1933 na vyama hivi vyote vilipambana na ukoloni?

Vipi utamchomeka Abdul Sykes na nduguze wazalendo waliokuwa wafadhili, viongozi na waasisi wa TANU na walimpokea Nyerere na kuishi na yeye?

Nimeandika kitabu kizima kuhusu Sykes (1998) na kitabu kimechapwa matoleo manne.

Kila aliyesoma kitabu hiki kimemuathiri.

Kitabu hiki kimebadili historia kwanza ya uhuru wa Tanganyika na pia historia ya Julius Nyerere.

Waliowatoa Sykes katika historia leo wanajifunza upya historia ya uhuru wa Tanganyika na historia ya Nyerere.

Quote Reply
Select for moderation Report Edit Delete
  • Thanks
Reactions:makaveli10
[IMG alt="Mohamed Said"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/12/12431.jpg?1487429425[/IMG]

Mohamed Said

JF-Expert Member​

Nov 2, 2008 19,727 28,463
Mama...
Nasikitika kwa kunipa jina "Dingi."

Mimi siko hapa kufanya vichekesho bali nipo hapa kusomesha.

Unapenda baki darasani usome.
La unaona historia hii inakuchoma moyo achananayo.

Suala la historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika na wahusika wa harakati hizi ni kitu kilikuwa nyeti sana katika miaka iliyopita.

Hapa naona wewe umeligeuza jambo hili kuwa somo la kunikejeli na kuweka picha za vichekesho.

Sykes siwachomeki katika historia ya Tanganyika.

Vipi utamchomeka Kleist Sykes mzalendo aliyeasisi African Association 1929 na Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika 1933 na vyama hivi vyote vilipambana na ukoloni?

Vipi utamchomeka Abdul Sykes na nduguze wazalendo waliokuwa wafadhili, viongozi na waasisi wa TANU na walimpokea Nyerere na kuishi na yeye?

Nimeandika kitabu kizima kuhusu Sykes (1998) na kitabu kimechapwa matoleo manne.

Kila aliyesoma kitabu hiki kimemuathiri.

Kitabu hiki kimebadili historia kwanza ya uhuru wa Tanganyika na pia historia ya Julius Nyerere.

Waliowatoa Sykes katika historia leo wanajifunza upya historia ya uhuru wa Tanganyika na historia ya Nyerere.
Click to expand...

Quote Reply
Select for moderation Report Edit Delete
[IMG alt="Mpaji Mungu"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/707/707090.jpg?1682357071[/IMG]

Mpaji Mungu

JF-Expert Member​

Apr 24, 2023 2,665 7,220
🙄🙄🙄🙄ina maaana Leo andiko lote hamna Sykes na uislamu? Ngoja nirudie kusoma

Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
  • Kicheko
  • Thanks
Reactions:Ngongo, MamaSamia2025, steveachi and 1 other person
[IMG alt="Prince Mhando"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/366/366422.jpg?1594075688[/IMG]

Prince Mhando

JF-Expert Member​

Mar 25, 2014 8,087 9,030
Babu shikamoo, nyie wenzetu mlibahatika mlipata elimu ya first grade. Lakini siku hizi elimu imechakachuliwa sana na sijui ni kwanini...? Ila Babu sema ukweli Dkt. Edith Kitambi {mwenyezi Mungu amlaze mahala pema peponi} hakuwa bibi yetu kweli huyu...?

Kama ni kweli Babu uliopoa 🥰🤣🙈🙈

I only tRuSt yOu GoD.
Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
  • Kicheko
  • Thanks
Reactions:makaveli10, MamaSamia2025, Division One and 2 others
[IMG alt="MENEMENE TEKERI NA PERESI"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/662/662750.jpg?1695552437[/IMG]

MENEMENE TEKERI NA PERESI

JF-Expert Member​

Mar 11, 2022 1,489 3,514
Babu shikamoo, nyie wenzetu mlibahatika mlipata elimu ya first grade. Lakini siku hizi elimu imechakachuliwa sana na sijui ni kwanini...? Ila Babu sema ukweli Dkt. Edith Kitambi {mwenyezi Mungu amlaze mahala pema peponi} hakuwa bibi yetu kweli huyu...?

Kama ni kweli Babu uliopoa
emoji3059.png
emoji1787.png
emoji85.png
emoji85.png
Unamtafuta mzee asubuhi yote hii
emoji3.png
emoji3.png


Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
  • Thanks
Reactions:Prince Mhando
[IMG alt="Mohamed Said"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/12/12431.jpg?1487429425[/IMG]

Mohamed Said

JF-Expert Member​

Nov 2, 2008 19,727 28,463
🙄🙄🙄🙄ina maaana Leo andiko lote hamna Sykes na uislamu? Ngoja nirudie kusoma
Mpaji...
Nakuwekea wapi utamsoma Nyerere kutoka kalamu yangu na wapi utawasoma Waislam na Uislam kutoka kwangu:

''Tanganyika ilipopata uhuru wake mwaka 1961 Salum Abdallah Popo aliachana mkono na Nyerere kama wengi walivyofanya na aliwekwa kizuizini na serikali chini ya sheria ya Preventive Dentetion Act of 1962 kwa ajili ya msimamo wake wa kuamini kuwa vyama vya wafanyakazi viwe huru.

Akiwa mwenyekiti wa Tanganyika Railways African Union (TRAU) alipinga vyama vya wafanyakazi kuwekwa chini ya Tanganyika African National Union (TANU)...''

(Kutoka kitabu cha Abdul Sykes).

Huyu Salum Abdallah ni babu yangu na picha yake hiyo hapo chini:

1696564760332.png

Kulia: Kassanga Tumbo (Katibu) anemfuatia ni Salum Abdallah (Mwenyekiti) TRAU miaka ya 1950 wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika
Sasa tusome Uislam na Waislam:

Waikela alinieleza jinsi Waislam kwa umoja wao walivyomuunga mkono Julius Nyerere na harakati za uhuru.

Vilevile alinieleza kwa muhtasari siku zake kizuizini pamoja na babu yangu katika gereza la Uyui, Tabora kwa kile kilichoitwa kosa la ‘’kuchanganya dini na siasa.’’

1696565253718.png

Waliosimama nyuma kulia wa kwanza ni Bilal Rehani Waikela chini yake ni Julius Nyerere alipokwenda Tabora mwaka wa 1955 katika juhudi za kuijenga TANU.
Nina deni kubwa kwake kwa Mzee Waikela kwa kunipa picha za wakati ule na nyaraka zake binafsi juu ya ‘’mgogoro,’’ wa EAMWS uliozushwa mara baada ya uhuru.

Bwana Mpaji,
Huenda historia hii inakukera kama ilivyowaudhi wengi hadi kufika kuweka mikakati wakaifuta.

Kwangu mimi kama ulivyosoma hapo juu ni historia ya wazee wangu wengine kwa nasaba na wengine kwa ujamaa wa karibu sana.

Sikuweza kustahamili kuona historia iliyopo si ya kweli ikabidi nitafiti na nimeandika kitabu kizima.

Historia hii sasa ipo huu mwaka wa 25 na ibra kubwa ni kuwa watu hawachoki kuihadithia na kuniuliza maswali na baadhi kama wewe kunikejeli.

Nasikitika kuwa huna hata ustaarabu wa kuweka staha na heshima kwenye taazia ya marehemu Dr. Edith Kitambi.

Quote Reply
Select for moderation Report Edit Delete
  • Thanks
Reactions:makaveli10 and Prince Mhando
[IMG alt="Sir John Roberts"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/419/419229.jpg?1500970585[/IMG]

Sir John Roberts

JF-Expert Member​

Mar 1, 2017 6,140 8,856
Babu shikamoo, nyie wenzetu mlibahatika mlipata elimu ya first grade. Lakini siku hizi elimu imechakachuliwa sana na sijui ni kwanini...? Ila Babu sema ukweli Dkt. Edith Kitambi {mwenyezi Mungu amlaze mahala pema peponi} hakuwa bibi yetu kweli huyu...?

Kama ni kweli Babu uliopoa
emoji3059.png
emoji1787.png
emoji85.png
emoji85.png
"Tukazoeana sana nikawa nimepata pia daktari kidogo nikijisikia namwendea."

Jibu lako lipo hapa.

Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
  • Kicheko
  • Thanks
Reactions:makaveli10, MamaSamia2025, alubati and 3 others
[IMG alt="Prince Mhando"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/366/366422.jpg?1594075688[/IMG]

Prince Mhando

JF-Expert Member​

Mar 25, 2014 8,087 9,030
"Tukazoeana sana nikawa nimepata pia daktari kidogo nikijisikia namwendea."

Jibu lako lipo hapa.
Hata Mimi niliposoma hapo nikajua tu. Babu alipata bibi ughaibuni. Walau na sisi wajukuu tukibahatika kwenda huko tuna pakufikia🤣🤣🤣

I only tRuSt yOu GoD.
Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
  • Thanks
  • Kicheko
Reactions:makaveli10, Division One and Sir John Roberts
[IMG alt="Shimba ya Buyenze"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/265/265664.jpg?1679152661[/IMG]

Shimba ya Buyenze

JF-Expert Member​

Dec 22, 2014 170,119 1,014,831
🙄🙄🙄🙄ina maaana Leo andiko lote hamna Sykes na uislamu? Ngoja nirudie kusoma
Dr. Edith hakuwa mwislamu na wala hakuwa na uhusiano na akina Skyes. Sasa akina Skyes na Uislamu vingetajwaje?

Ila umenichekesha sana. JF bana! 😁😁😁

Yote ni Kujilisha Upepo
(Mh 1:17)

Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
  • Thanks
Reactions:Division One
[IMG alt="Mpaji Mungu"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/707/707090.jpg?1682357071[/IMG]

Mpaji Mungu

JF-Expert Member​

Apr 24, 2023 2,665 7,220
Dr. Edith hakuwa mwislamu na wala hakuwa na uhusiano na akina Skyes. Sasa akina Skyes na Uislamu vingetajwaje?

Ila umenichekesha sana 😁😁😁
At least kidogo umenifungua macho nkajua nimesoma kwa pupa nikaruka baadhi ya mistari

Thanks Quote Reply
Select for moderation Report
  • Thanks
  • Kicheko
Reactions:Division One and Shimba ya Buyenze
[IMG alt="MENEMENE TEKERI NA PERESI"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/662/662750.jpg?1695552437[/IMG]

MENEMENE TEKERI NA PERESI

JF-Expert Member​

Mar 11, 2022 1,489 3,514
Hata Mimi niliposoma hapo nikajua tu. Babu alipata bibi ughaibuni. Walau na sisi wajukuu tukibahatika kwenda huko tuna pakufikia
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
Babu mbona hizi komenti kama hazioni .
Aje atueleze tujue sio mimi nafika Cardiff nianze kulala mitaroni wakati ndugu zetu wapo
emoji3.png



 

Attachments

  • 1696621560995.gif
    1696621560995.gif
    42 bytes · Views: 1
  • 1696621561054.gif
    1696621561054.gif
    42 bytes · Views: 1
  • 1696621561138.gif
    1696621561138.gif
    42 bytes · Views: 1
  • 1696621561205.gif
    1696621561205.gif
    42 bytes · Views: 1
  • 1696621561270.gif
    1696621561270.gif
    42 bytes · Views: 2
Miaka 30 Toka afe ,babu ndo usikie Leo au Mimi sijaelewa
Kina...
Kwa umri wangu wa miaka 71 mimi kwako ni baba.

Leo tumejadili hili hapa.
Huenda mjadala umekupita.

Umuhimu wa kuweka staha mahali pake ni katika kuchunga mipaka.

Nikishakukubali kuwa wewe ni mjukuu wangu na si mwanangu kwa mila zetu nitakuwa nimekufungulia mlango ambao kama mtoto usingepita.

Utakuwa una haki ya kunitania nk.

Bahati nzuri wewe ni kijana wa umri wa wanangu kwa hiyo mimi ni baba kwako.

Kwa ajili hii uniheshimu kama baba yako.

Ukiniita "babu" ilhali mimi naweza kukuzaa inakuwa kejeli kwangu.

Jiulize mama yako ataniita nani?

Mama yako anamuita baba yako babu?

Wanao ndiyo wa kuniita mimi babu yao.

Nimeondoka Uingereza miaka mingi na sikuwa na mawasiliano na Dr. Edith Kitambi wala jamaa wengine tuliokuwa pamoja miaka ile.

Edith hajafa miaka 30 iliyopita.
Inaelekea kafariki miaka ya karibuni sana.

Bahati mbaya sikupata taarifa ya kifo chake.
 
Kwanza nisamehe kukuita babu

Lakini
Mama angu hawezi kukuita kaka

Ili
Mimi nikuite mjomba pia au nakosea
 
Nimesoma kuhusu kifo cha Dr. Edith Kitambi leo keshafariki muda mrefu na watu wameandika kama kumbukumbu.

Kwangu mimi ikawa ni msiba mpya na machungu yake naomboleza wakati wenzangu weshapoa.

Nilimfahamu Edith University of Wales Cardiff mwaka wa 1991 sote tukiwa Postgraduate Students kutoka Tanzania.

Alinizoea zaidi alipojua kuwa mimi na Ledgar Tenga aliyekuwa mchezaji wa Yanga na Timu ya Taifa ni marafiki.

Tenga ni kaka yake.

Alikuwa bint mzuri wa tabia na sura.

Nakumbuka yeye ndiye aliyenipa jina la "Sheikh" pale Cardiff na likaniganda kiasi jina langu likafa na wanafunzi kutoka Tanzania wote wakawa wananiita, "Sheikh."

Ukisikia Sheikh basi hakuna mwengine ila mimi.

Sababu ya jina hili ni kuwa ilikuwa kila Jumamosi kuna mahali nadhani ilikuwa club wanafunzi wengi wakienda kucheza disco na kujiburudisha na vinywaji.

Cardiff ni mji mdogo sana ukifananisha na London na miji mingine ya Uingereza kama Liverpool hivyo hata sehemu za starehe si nyingi watu hukutana mahali pamoja siku zote.

Ikawa siku zinapita wanafunzi wenzangu hawanioni kujumuika na wao.

Ulaya kwa mgeni ni mahali pa upweke sana ingawa mimi nilikuwa nimeshafika Uingereza kabla na napaelewa kwa kiasi kidogo.

Siku moja Edith akaniuliza kulikoni?

Nikistarehe sana kuzungumza na Edith sababu yeye tofauti na wengine wote alikuwa akisema Kiswahili kwa "accent" ya Dar es Salaam kabisa, utasema mwanamke wa Kizaramo wa Kariakoo.

Nilipata kumuuliza imekuwaje akaniambia kuwa yeye lau ni Mchagga lakini kazaliwa na kukulia Dar-es-Salaam.

Ikawa sasa hata tukiwa na party za Watanzania 9 Desemba au Sabasaba hanioni kucheza muziki na Edith akitaka kuninyanyua kucheza namtuliza kwa kumwambia Sheikh hachezi dansi.

Yeye akiishia kucheka.

Na Edith akifanya hivi kwa kutumwa na wenzake ili wapate kucheka kwa kumuona sheikh anamwagika kwenye "dance floor."

Miaka ile kulikuwa na bendi kutoka Kenya, "Virunga," "Mazembe" ambazo miziki yake ikipendwa na kuvuma hadi Ulaya katika jumuiya za watu weusi.

Nakumbuka hawa Virunga walipata kufika Cardiff na wanafunzi kutoka Kenya wakawa wanauza tiketi za dansi.

Kulikuwa katika party zile muziki wa Judy Baucher sina hakika na hili jina yeye alikuwa na nyimbo za "blues" hizi zikiwatoa fahamu vijana wengi khasa mashairi yake ya mapenzi.

Nyimbo hizi zilikuwa lazima zipigwe.
Party za Watanzania zikinoga sana.

Vijana wa Kizungu walikuwa haziwapiti wakiwapenda sana dada zetu zaidi wanavyojua kucheza.

Ulaya ukialikwa party unakwenda na kinywaji chako.

Edith masikini akipenda kunitania nami siku zote nikimchekesha kwa kumwambia mie mzee na sheikh siwezi kucheza muziki afanye staha.

Tukazoeana sana nikawa nimepata pia daktari kidogo nikijisikia namwendea.

Edith alikuwa anafanya shahada ya pili katika Public Health.

Nakumbuka alipata kuniambia kuwa kwa tatizo nililokuwanalo la tumbo atanitibia kwa njia ya "food elimination," na akaniwekea orodha ya kutokula vyakula fulani kimoja baada ya kingine kwa muda mfupi niangalie tatizo langu kama litaendelea au la.

Nilipona.

Alipata siku moja kunipa mhadhara mzima wa ukimwi.

Akaniambia ni tabu mtu kupata ukimwi akiwa kajituliza lakini ni rahisi kuugua akiwa kinyume chake.

Akanieleza kuwa yeye katibia wagonjwa wengi na hili kaligundua kutokana na utafiti wake katika "lifestyles."

Nilimwacha Dr. Edith Kitambi Cardiff lakini nilipata kurudi tena Uingereza, London kwa muda mfupi nilimtembelea nyumbani kwake.

Baada ya hapo sikupata taarifa zake hadi leo zaidi ya miaka 30 kupita nasikia amefariki.

Nitaingia Maktaba kuangalia picha za Cardiff nikipata picha yake In Shaa Allah nitaiweka hapa.

View attachment 2773081
Kulia Mwandishi na anefuatia ni Dr. Edith Kitambi
Ulikuwa unapiga demu mzuri Sana, "beauty with brain".Hadi leo kuwa na demu mkali dizaini ya Dr Edith inahitaji uwe Mzee wa kujiongeza...🤜🤛Kongole Mzee Mohamed
 
Ulikuwa unapiga demu mzuri Sana, "beauty with brain".Hadi leo kuwa na demu mkali dizaini ya Dr Edith inahitaji uwe Mzee wa kujiongeza...🤜🤛Kongole Mzee Mohamed
Red...
Kwa nini unasema maneno ya ovyo?

Hiyo ndiyo tafsiri yako ya taazia yake?

Nakuwekea taazia nyingine usome labda itakusaidia:

Sheikh Mtoro,
Dunia ni ndogo sana.

Siku nne kabla ya Eyshe kufariki alinipigia simu na alikuwa na kawaida ya kunipigia simu sana na tukizungumza muda mrefu khasa alipokuwa kalazwa hospitali.

Basi tulizungumza na akaniomba kuzungumza na mke wangu na walizungumza kwa muda mrefu pia.

Eyshe tumejuana shule St. Joseph's Convent 1969 yeye akitokea St. Xavier na tulikuwa very close.

Kwa kuzaliwa Eyshe alikuwa amenitangulia mwaka mmoja yeye kazaliwa 1951.

Maisha yalitutenganisha kila mtu akenda njia yake.

Miaka ikapita.

Siku moja kiasi cha kama miaka kumi na zaidi iliyopita Dr. Ramadhani Dau akanipigia simu kutoka Geneva nikiwa Tanga akanambia kuna mtu hapa anasema anakujua sana na angependa kuzungumza na wewe.

Alikuwa Eyshe na Dr. Dau alikuwa kampelekea zawadi kitabu cha Sykes akiwa hajui kuwa mimi na Eyshe tunafahamiana.

Hapo ndipo palipoanza mawasiliano yetu yaliyodumu hadi kifo chake na ni Eyshe ndiye aliyenifunza kutumia Skype kupiga simu.

Mwaka 2011 nilikuwa Berlin kiasi cha mwezi mmoja. Eyshe akanipigia simu kunialika nende nikamtembelee Geneva.

Nilikwenda baada ya kupita Amsterdam kwa mmoja wa ndugu zake, Bi. Haki.

Kwa hakika Bi. Haki ni dada yetu sote na nilipomwambia kuwa nakwenda Geneva kwa Eyshe alifurahi sana akanambia kuwa kila akizungumza na Eyshe heshi kunitaja.

Wakati huo mimi nilikuwa natokea The Hague kwa kaka yangu Prof. Mgone.

Eyshe tulikuwa hatujaonana muda mrefu sana tariban miaka 35 ukitoa siku nilipokwenda kumpa pole alipofiwa na mama yake na yeye akaja Dar es Salaam kuzika.

Ninachotaka kukuambia ni kuwa Eyshe alikujakuwa mcha Mungu wa kupigiwa mfano.

Katika ukaribu wetu miaka hii kumi iliyopita Eyshe alinieleza mengi katika maisha yake na akataka tuandike kitabu.

Kuna nyakati katika hii miaka alikuwa akishangaa sana wakati nikimsomea vipande katika shajara (diary) yangu ambamo nimemtaja mathalan siku moja nilimwambia tarehe fulani uliniaga unakwenda Dodoma.

Nikamwambia kuwa hiyo ni ''entry,'' katika shajara yangu ya 1969, basi alishangaa sana.

Hakika utoto una raha zake.

Kuna hulka za binadamu hazibadiliki.

Alipokuja kunipokea Geneva, ''train station,'' nilimuona ni Eyshe yule yule tuliyejuana udogoni.

Kuanzia kiatu chake hadi nguo zake amevaa, ''designer,'' nguo makhsusi kwa watu makhsusi zinazouzwa katika maduka makubwa.

Utanashati wake katika mavazi ulikuwa pale pale juu ya kuwa miaka ilikuwa imesogea.

Eyshe akifanyakazi ILO na alikuwa, ''fluent in French.''

Muda wote niliokuwa Geneva nikimuona akizungumza Kifaransa na wajukuu zake na hata na wahudumu katika migahawa aliyokuwa akinipeleka.

Siku moja Geneva alinichukua, mgahawa mmoja akiwa na binti yake anaitwa Jamila pamoja na wajukuu zake Kauthar na Rawdha.

Akanambia angependa mimi nimueleza mwanae, Bi. Jamila yeye alikuwaje tulipokuwa tunakua Dar es Salaam ya 1960.

Nilijua kuna kitu anataka mwanae ajifunze kutoka kwake. Basi mimi nilimweleza Jamila jinsi nilivyomjua mama yake na vipi tulivyokuwa shule.

Nilimwambia kuwa katika wasichana wazuri pale St. Joseph's Eyshe alikuwa mmojawao.

Nikamwambia pia alikuwa na kipaji cha kucheza dansi vizuri sana na cha michezo na timu yao ya Mkoa wa Dar es Salaam Basket Ball ilichukua kikombe 1968 (picha ya timu hii ninayo yuko Eyshe, Baby Ernest na Jennifer Gordon na hawa wote waliondoka Tanzania kwenda kutafuta maisha Ulaya).

Nashindwa kuiweka picha hii hapa kwa kuwa wasichana wote wako katika, ‘’shorts,’’ yaani kaptula. Huko ndiko tulikotoka.

Nilimweleza Jamila mengi na nikamwambia kuwa Eyshe ndiye aliyenifanya mimi niache mpira kwa muda niende kucheza Basket Ball.

Sisi tulikuwa ‘’co- education,’’ na timu ya Basket Ball tukifanya mazoezi pamoja na wasichana.

Siku tunaagana alinichukua mgahawa mwingine na kabla ya hapo tulikwenda kwenye ''mall,'' akamnunulia mke wangu zawadi na akanipa salamu akasema, ''Mwambie Riziki mimi ni nduguye,'' (Riziki ni mke wangu).

Siku nilizokaa pale Geneva kwa kweli nilifurahi sana na siku nyingine tukivuka mpaka wa Switzerland kuingia France akinipeleka kwenye mgahawa alioupenda.

Alitaka kulipa hoteli yangu nilipofikia nikamwambia hapana mimi natoka kwa Wajerumani nimefanya kazi na wamenilipa mapesa ya kutosha.

Hii hoteli alinichagulia yeye na akanambia iko karibu ya msikiti na akasisitiza kuwa niswali Fajr jamaa hapo msikitini na alinipeleka hadi msikitini niuone.

Eyshe alikuwa hasikizi muziki hata tukiwa kwenye gari yake na akanambia haangalii hata televisheni ila vipindi vya Qur'an.

Namshukuru Allah kwa kunikutanisha na Eyshe tukiwa watu wazima na namshukuru Allah kwa kumkuta ndugu yangu ameikamata dini kisawasawa.

Lakini Eyshe, ‘’way back then 2011,’’ alinidokeza kuwa alikuwa mgonjwa.

Ukisoma hapo chini emal aliyonitumia 2014 wakati mimi nakwenda Hijja utaona anasema kuwa emal yangu ilimpita kwa kuwa alikuwa kalazwa hospitali.

Allah amghufirie madhambi yake na amlipe pepo Firdaus. Amin.

Soma emal moja aliyoniandikia wakati nakwenda hija 2014 Eyshe Max

<eyshem@yahoo.com>:

To Mohamed Said 10/22/14 at 12:40 AM

As salaam Aleykum,
I am sorry sikuona email yako in time before you left.

Nilikuwa hospital, I hope all went well and that Allah akutakabaliye Hajj yako.

Hajj Mabroor wa Dhambi maghfur - Aamin.

You will let me know your experience, I know you have already done Hajj but this one is something else.

1696654195432.png

Eyshe Abbas Max amefariki na kuzikwa Geneva

 
Back
Top Bottom